mjomba wa kale
JF-Expert Member
- Jan 18, 2012
- 266
- 56
Kumbeee!!! Tulipigwa changa la macho. Haki ya mungu Lowassa hapati kura zetu.
Ndio maana hata haoneshi alama ya vidole viwili...hata havai kombati kwakuwa amekinunua chama ili kuupata urais itikadi ya chama ikafie mbali...
Utamnyima wewe na familia yako ----- wewe