Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,007
- 5,446
- Thread starter
- #381
ungejua mi ni nani usingeandika upupu huoQuite the opposite. Wewe unakula vumbi tu. Hope upo chattle ukibugia vumbi
ungejua mi ni nani usingeandika upupu huoQuite the opposite. Wewe unakula vumbi tu. Hope upo chattle ukibugia vumbi
Nipo neutral napenda kuona upinzani imara kuifanya gvt accountable, anapaswa kubadili mbinu sanaKima inampotomosha mbona mnahangaika?
Sio za Chama pekee, bali za Watanzania na Mungu pia.Yote anayofanya Tundu Lissu yana baraka za chama!
Acha Mkwara wewe! Huelewi kituNdo maana tunamfikishia salamu mwenyekiti asipokua makini itakimaliza
Ndo maana tunamfikishia salamu mwenyekiti asipokua makini itakimaliza
Yule ni msomi pia akumbuke alishafikia level ya upresident haimpasi kushindwa kuzuia hisia zake
I hope so!
Wewe ni bogus, unamuwakilisha nani hapa? Unaandika kama kuna watu wamekutama. Umewahi kupigwa risasi hata moja wewe?(tena sio 16) na aliyewatuma au kuruhusu wasishikwe anasifiwa eti mtakatifu?Upuuzi mtupu huo
Hata marehemh alijua nguvu ya TANZANIA ya mtandao Hadi kutumia mabilioni kuminya watu wasipate internet na social media we Ni Nani kutuvimbiaWatu kama Lissu wanaishi Tanzania ambayo ipo zaidi mitandaoni haswa JF na Twitter, Tanzania flani ya kufikirika. Kuna ukweli wanauona ila wamegoma kuukubali.
Watanzania ni wapole wapo kimya ila wanajua ukweli na uongo, ukiwapa nafasi watoe maamuzi yao utawaona.
Mara nyingi watanzania wanazungumza kwenye maboksi ya kura na matukio kama haya tulioona wakimlilia Magufuli.
Wewe unabehave Kama mtoto wa chekechekeaJamaa sio matuared.....
anabeheve kama mtoto wa sekondari
Ni kweli kabisa, bado mechi ya Yule "maniac bipolar" imechezwa nusu, second half mechi inaisha mapemaaaaaaKila mtu ashinde mechi zake simple tu mbona.
Popote ulipo mwenyekiti wa chama.
Tunakufikishia salamu hizi sisi Watanzania tusio na chama na wanachama wa CHADEMA.
Mwambie Tundu Lissu akae kimya wakati huu, aache tabia za kuropoka ropoka na kujibishana asiye jibishane naye.
Mwambie kwenye msiba tamaduni zetu ni kuungana na kua wamoja huo utofauti anaoulazimisha utazidi kumuumbua na kukiumbua chama chenu.
Mwambie hata kama ana uchungu na kisasi kwa yale aliyofanyiwa mwambie kwa nafasi yake hastahili kufanya anayoyafanya labda kama hana mpango wakugombea.
Mwambie anaharibu image ya chama, kama anajua hatarudi wala kugombea mwambie anawaponza wenzake. Mbona wewe (Mbowe) hupost post au anadhani huna bando au smartphone?
Mwambie au mumkanye adharani au mumfute uanachama. Tundu Lissu behave like gentleman.
Mimi na wewe tunashangaa kwa sababu tunazingatia maadili na utu wenzetu hiyo siyo issue, anaanzaje kumfukuza, thubutu!
Kuna mambo yanafanya na huyu wa iramba na genge lake,siku zinakuja wanajitengenezea fimbo wenyewePopote ulipo mwenyekiti wa chama.
Tunakufikishia salamu hizi sisi Watanzania tusio na chama na wanachama wa CHADEMA.
Mwambie Tundu Lissu akae kimya wakati huu, aache tabia za kuropoka ropoka na kujibishana asiye jibishane naye.
Mwambie kwenye msiba tamaduni zetu ni kuungana na kua wamoja huo utofauti anaoulazimisha utazidi kumuumbua na kukiumbua chama chenu.
Mwambie hata kama ana uchungu na kisasi kwa yale aliyofanyiwa mwambie kwa nafasi yake hastahili kufanya anayoyafanya labda kama hana mpango wakugombea.
Mwambie anaharibu image ya chama, kama anajua hatarudi wala kugombea mwambie anawaponza wenzake. Mbona wewe (Mbowe) hupost post au anadhani huna bando au smartphone?
Mwambie au mumkanye adharani au mumfute uanachama. Tundu Lissu behave like gentleman.
sawa muelewa vituAcha Mkwara wewe! Huelewi kitu
anaponzwa na wajinga wa mtandaoniKuna mambo yanafanya na huyu wa iramba na genge lake,siku zinakuja wanajitengenezea fimbo wenyewe
Nafahamu hamjawahi shindwa kitu nyie,muda utaongea
🤣 🤣 🤣ungejua mi ni nani usingeandika upupu huo