Mbowe, mkanye Lissu

Yote anayofanya Tundu Lissu yana baraka za chama!
Sio za Chama pekee, bali za Watanzania na Mungu pia.
Mungu aliyemponya ndio anayempa uwezo wa kifikra kujulisha taifa jinsi nchi hii takatifu ya Tanzania lilivyokuwa limeanguka mikononi mwa agent wa yule muovu katika miaka mitano iliyopita.
Hivi hamjiulizi kwa nini kaamua kumuondoa katika umri mdogo wa 61 yrs? Someni hadithi ya mfalme Sauli ndio mtaelewa!
 
Ndo maana tunamfikishia salamu mwenyekiti asipokua makini itakimaliza
Yule ni msomi pia akumbuke alishafikia level ya upresident haimpasi kushindwa kuzuia hisia zake
I hope so!
Upuuzi mtupu huo
Wewe ni bogus, unamuwakilisha nani hapa? Unaandika kama kuna watu wamekutama. Umewahi kupigwa risasi hata moja wewe?(tena sio 16) na aliyewatuma au kuruhusu wasishikwe anasifiwa eti mtakatifu?
Wajinga kuwavua ujinga ni kazi kubwa
 
Atapambana Hadi na kivuli .

Si mlifurahi yeye afe na mkamfanye awe kilema .

Lissu endelea kuwachapa

Image ya chama waliharibu covid19,lowassa na wemgineo itakuwa lissu

Shwain

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Watu kama Lissu wanaishi Tanzania ambayo ipo zaidi mitandaoni haswa JF na Twitter, Tanzania flani ya kufikirika. Kuna ukweli wanauona ila wamegoma kuukubali.

Watanzania ni wapole wapo kimya ila wanajua ukweli na uongo, ukiwapa nafasi watoe maamuzi yao utawaona.

Mara nyingi watanzania wanazungumza kwenye maboksi ya kura na matukio kama haya tulioona wakimlilia Magufuli.
Hata marehemh alijua nguvu ya TANZANIA ya mtandao Hadi kutumia mabilioni kuminya watu wasipate internet na social media we Ni Nani kutuvimbia

Shwain

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Popote ulipo mwenyekiti wa chama.

Tunakufikishia salamu hizi sisi Watanzania tusio na chama na wanachama wa CHADEMA.

Mwambie Tundu Lissu akae kimya wakati huu, aache tabia za kuropoka ropoka na kujibishana asiye jibishane naye.

Mwambie kwenye msiba tamaduni zetu ni kuungana na kua wamoja huo utofauti anaoulazimisha utazidi kumuumbua na kukiumbua chama chenu.

Mwambie hata kama ana uchungu na kisasi kwa yale aliyofanyiwa mwambie kwa nafasi yake hastahili kufanya anayoyafanya labda kama hana mpango wakugombea.

Mwambie anaharibu image ya chama, kama anajua hatarudi wala kugombea mwambie anawaponza wenzake. Mbona wewe (Mbowe) hupost post au anadhani huna bando au smartphone?

Mwambie au mumkanye adharani au mumfute uanachama. Tundu Lissu behave like gentleman.
Mimi na wewe tunashangaa kwa sababu tunazingatia maadili na utu wenzetu hiyo siyo issue, anaanzaje kumfukuza, thubutu!
 
Popote ulipo mwenyekiti wa chama.

Tunakufikishia salamu hizi sisi Watanzania tusio na chama na wanachama wa CHADEMA.

Mwambie Tundu Lissu akae kimya wakati huu, aache tabia za kuropoka ropoka na kujibishana asiye jibishane naye.

Mwambie kwenye msiba tamaduni zetu ni kuungana na kua wamoja huo utofauti anaoulazimisha utazidi kumuumbua na kukiumbua chama chenu.

Mwambie hata kama ana uchungu na kisasi kwa yale aliyofanyiwa mwambie kwa nafasi yake hastahili kufanya anayoyafanya labda kama hana mpango wakugombea.

Mwambie anaharibu image ya chama, kama anajua hatarudi wala kugombea mwambie anawaponza wenzake. Mbona wewe (Mbowe) hupost post au anadhani huna bando au smartphone?

Mwambie au mumkanye adharani au mumfute uanachama. Tundu Lissu behave like gentleman.
Kuna mambo yanafanya na huyu wa iramba na genge lake,siku zinakuja wanajitengenezea fimbo wenyewe
 
WanaCCM, Salaam!

Nimepitia maandishi kadhaa ya Tundu Lissu kuhusu anavyochukulia kifo cha Rais John Pombe Magufuli - haya ni baadhi tu ya maneno yake.

Tundu Lissu "nitarejea nchini iwapo tu uongozi wa Tanzania utaniruhusu kuorodhesha na kuanika maovu ya Hayati Dkt John Pombe Magufuli".

Kwetu sisi wanaccm hii ni Dhihaka iliyopitiliza dhidi ya mpendwa wetu - ni matusi kwa CCM - ni dharau kwa CCM na viongozi wetu wa chama na Serikali. Iwapo ataruhusiwa kuanika mambo ambayo yeye anayaita mabaya. Je, anayemtuhumu atakuwa na uwezo wa kukanusha? Je, mambo hayo mabaya anayafahamu Lissu sisi tusiyajuwe?

Nawaomba vijana wa CCM kote nchini tudhibiti mihemuko ya huyu Tundu Lissu kwa maneno na vitendo. Amebwabwaja sana sasa kwa kauli moja tuseme inatosha "karibu Tanzania Tundu Lissu ili upewe majibu ya uhuni wako".

CCM is stronger than ever!
Tutakudhibiti kwa nguvu moja
 
Back
Top Bottom