johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,868
- 141,804
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema chama chao kina haki ya kumpokea mwanachama kutoka vyama vingine endapo anakidhi vigezo.
Mbowe amedai kuwa chama chake kimepata funzo kutokana na kupokea wanasiasa wa vyama vingine hivyo kwa sasa watakuwa makini zaidi.
Membe ana haki zote za kujiunga na chama akipendacho na endapo atapenda kujiunga nasi hiyo ni haki yake lakini pasiwepo masharti alisema Mbowe
Source Ayo tv
Maendeleo hayana vyama!
Mbowe amedai kuwa chama chake kimepata funzo kutokana na kupokea wanasiasa wa vyama vingine hivyo kwa sasa watakuwa makini zaidi.
Membe ana haki zote za kujiunga na chama akipendacho na endapo atapenda kujiunga nasi hiyo ni haki yake lakini pasiwepo masharti alisema Mbowe
Source Ayo tv
Maendeleo hayana vyama!