Elections 2010 Mbowe, Marando, Slaa, Zitto, Lissu, Mnyika

Luteni

JF-Expert Member
Jan 9, 2010
2,274
301
Nimeamua kuwataja nyie kwa vile naelewa mnaweza kunifikishia ujumbe wangu kwa viongozi na wana Chadema wote.

Kwanza nianze kwa kuwapongeza na kuwashukuru kwa kazi nzito mnayoifanya, pili ujumbe wangu ni mfupi tu kwa leo naomba kwa niaba ya kura zaidi ya milioni mbili za watanzania tulizowapa na zingine zikaibiwa muwe na msimamo wa pamoja.

Aliyekuwa mgombea urais Dr.Slaa(PhD) ameyakataa matokeo, nadhani wakati anaamua hivyo alikuwa na baraka zote za chama. Kama alikuwa na baraka za chama, pia chama kilikuwa na mikakati yake ya baadaye(plan-B). Sitaki kuamini kuwa mkakati wenu ulikuwa kutoyatambua matokeo tu basi baada ya hapo mkae kimya waiting for something to happen from heaven.

What I know you are still collecting data for evidence but whilst doing that please, DO NOT ATTEND THE INAUGRATION OF THE PRESIDENT'S SPEECH THIS WEEK. But if you decide otherwise you will have disappointed me and many of your supporters who voted you and Chadema on 31October 2010.

It is my plea.
 
Which speech, i know next week will be Bunge speech by Presida. I feel as well disappointed by silence progress within Chadema after rejecting results. Noise and more noise needed at this point unless someone comes with understandable plan. Guys silence kills political parties see Lipumba has killed CUF due to silence in Tanganyika after every elections
 
Hata mimi nawategemea wafanye kama walivyofanya wajumbe wa baraza la wawakilishi kupitia CUF mwaka 2005, Karume alipoingia kuhutubia, wenyewe wali match out kuonyesha ulimwengu kuwa aliiba kura na si raisi halali. Wakifanya vinginevyo na ukimya uliopo sasa sisi wananchi tuliowaamini na kuwashabikia hatutawaelewa.
 
Nimeamua kuwataja nyie kwa vile naelewa mnaweza kunifikishia ujumbe wangu kwa viongozi na wana Chadema wote.

Kwanza nianze kwa kuwapongeza na kuwashukuru kwa kazi nzito mnayoifanya, pili ujumbe wangu ni mfupi tu kwa leo naomba kwa niaba ya kura zaidi ya milioni mbili za watanzania tulizowapa na zingine zikaibiwa muwe na msimamo wa pamoja.

Aliyekuwa mgombea urais Dr.Slaa(PhD) ameyakataa matokeo, nadhani wakati anaamua hivyo alikuwa na baraka zote za chama. Kama alikuwa na baraka za chama, pia chama kilikuwa na mikakati yake ya baadaye(plan-B). Sitaki kuamini kuwa mkakati wenu ulikuwa kutoyatambua matokeo tu basi baada ya hapo mkae kimya waiting for something to happen from heaven.

What I know you are still collecting data for evidence but whilst doing that please, DO NOT ATTEND THE INAUGRATION OF THE PRESIDENT'S SPEECH THIS WEEK. But if you decide otherwise you will have disappointed me and many of your supporters who voted you and Chadema on 31October 2010.

It is my plea.

Luteni;

I have a different opinion. Wabunge wa CHADEMA wameshaapa kuitetea na kuilinda Katiba. Uzinduzi wa Bunge ni sehemu ya Matakwa ya Katiba. Wasipohudhuria wanaweza wakaleta mtafaruku wa kuanza kuleta mgawanyo kwa wanachama na mashabiki wa CHADEMA. Pia watakosa uhalali wa kuja kuchangia juu ya hiyo hotuba kikao kijacho.

CHADEMA sasa hivi ni official opposition party, lazima wawepo na waje wajibu hotuba hiyo officially.

However, naafiki kuwa Dr. Slaa kama anazo substantial evidence, asitambue matokeo kama haki yake yeye mgombea. Hii itaendelea kuwapa pyschological pressure CCM na JK. With time na kama Serikali itaendelea kufanya blunders, basi kuna uwezekano support kwa Dr. Slaa ikaongezeka.
 
nice move, huwezi kwenda kusikiliza speech ya mtu ambaye sio chaguo la wananchi
 
haihitaji kutafakari sana...CHADEMA MPs nyanyukenikwenye viti vyenu na mtoke nje mara tu JK anatakapoanza kuhutubia bunge...Mbona wamarekani UN walitoka nje mara Gadafi alipoanza kuhutubia na kuirarua katiba ya UN???acheni uwoga bana ..
 
Mkuu Luteni, I second you..!!
Hakuna kuhudhuria hotuba ya raisi wa nec.
Ni kuisusia outright kuonyesha kwamba watu wana uchungu na kubakwa kwa demokrasia.
 
Ndugu,

Mbunge ni mbunge tu tena ukishaapa ndio kabisa inakuwa safi kuchomoka (walk out)

Wanaingia bungeni kama kawaida kawa utaratibu wao wakibunge jamaa (JK) akianza tu speech wanatoka akimaliza wanarudi kama kawa, inatokea na tunaona kwenye mabunge mengi tu duniani wengine wanamzomea hata mkulu kama kachakachua!!!
 
Mii ninamtazamo sawa na superman,, kwasababu wao wamesha apa,, na katiba yetu mbovu ambayo aina mbele wala nyuma itawabana endapo wata fanya hivchop kituko,, mimi naomba wafanye kazi za kutetea changes tukianzi change of the constitution,, kwakuwa hapo ndipo watakapo umbuka watu wazima ccm.
 
Luteni;

I have a different opinion. Wabunge wa CHADEMA wameshaapa kuitetea na kuilinda Katiba. Uzinduzi wa Bunge ni sehemu ya Matakwa ya Katiba. Wasipohudhuria wanaweza wakaleta mtafaruku wa kuanza kuleta mgawanyo kwa wanachama na mashabiki wa CHADEMA. Pia watakosa uhalali wa kuja kuchangia juu ya hiyo hotuba kikao kijacho.

CHADEMA sasa hivi ni official opposition party, lazima wawepo na waje wajibu hotuba hiyo officially.

However, naafiki kuwa Dr. Slaa kama anazo substantial evidence, asitambue matokeo kama haki yake yeye mgombea. Hii itaendelea kuwapa pyschological pressure CCM na JK. With time na kama Serikali itaendelea kufanya blunders, basi kuna uwezekano support kwa Dr. Slaa ikaongezeka.

Wazo lako ni sahihi mkuu.
 
Ndugu,

Mbunge ni mbunge tu tena ukishaapa ndio kabisa inakuwa safi kuchomoka (walk out)

Wanaingia bungeni kama kawaida kawa utaratibu wao wakibunge jamaa (JK) akianza tu speech wanatoka akimaliza wanarudi kama kawa, inatokea na tunaona kwenye mabunge mengi tu duniani wengine wanamzomea hata mkulu kama kachakachua!!!

Watu, unafahamu chochote katika Bunge letu kanuni inasemaje acha ya wenzetu?
 
Luteni;

I have a different opinion. Wabunge wa CHADEMA wameshaapa kuitetea na kuilinda Katiba. Uzinduzi wa Bunge ni sehemu ya Matakwa ya Katiba. Wasipohudhuria wanaweza wakaleta mtafaruku wa kuanza kuleta mgawanyo kwa wanachama na mashabiki wa CHADEMA. Pia watakosa uhalali wa kuja kuchangia juu ya hiyo hotuba kikao kijacho.

CHADEMA sasa hivi ni official opposition party, lazima wawepo na waje wajibu hotuba hiyo officially.

However, naafiki kuwa Dr. Slaa kama anazo substantial evidence, asitambue matokeo kama haki yake yeye mgombea. Hii itaendelea kuwapa pyschological pressure CCM na JK. With time na kama Serikali itaendelea kufanya branders, basi kuna uwezekano support kwa Dr. Slaa ikaongezeka.
Nakubaliana na wewe kuwa wabunge wameapa kuilinda katiba lakini si kuhudhuria mikutano au speech za rais ambaye wamekataa kuyatambua matokeo yake.

Kumbuka move ya CUF 2005 wawakilishi waliapa kuilinda katiba baada ya kiapo wakawa mabubu kwa miaka kadhaa nafikiri, hata hivyo hakuna sheria inayomlazimisha mbunge kukaa bungeni kwa masaa yote. Mimi ninachoshauri Chadema is to speak louder na njia mojawapo ya ku shout ni kutoka nje ya bunge wakati rais atakapoanza speech then they can come back the next day.
 
Nimeamua kuwataja nyie kwa vile naelewa mnaweza kunifikishia ujumbe wangu kwa viongozi na wana Chadema wote.

Kwanza nianze kwa kuwapongeza na kuwashukuru kwa kazi nzito mnayoifanya, pili ujumbe wangu ni mfupi tu kwa leo naomba kwa niaba ya kura zaidi ya milioni mbili za watanzania tulizowapa na zingine zikaibiwa muwe na msimamo wa pamoja.

Aliyekuwa mgombea urais Dr.Slaa(PhD) ameyakataa matokeo, nadhani wakati anaamua hivyo alikuwa na baraka zote za chama. Kama alikuwa na baraka za chama, pia chama kilikuwa na mikakati yake ya baadaye(plan-B). Sitaki kuamini kuwa mkakati wenu ulikuwa kutoyatambua matokeo tu basi baada ya hapo mkae kimya waiting for something to happen from heaven.

What I know you are still collecting data for evidence but whilst doing that please, DO NOT ATTEND THE INAUGRATION OF THE PRESIDENT'S SPEECH THIS WEEK. But if you decide otherwise you will have disappointed me and many of your supporters who voted you and Chadema on 31October 2010.

It is my plea.
Asante Luteni kwa kutukumbusha hili.

Wakati wa kuionyesha dunia masikitiko yetu kwa hujuma iliyofanywa dhidi ya demokrasia ndiyo utakuwa umewadia. Mimi nashauri mlioko Bungeni jaribuni kuwashirikisha wabunge wengine toka upinzani ili ujumbe uifikie dunia kwa uzito wake ingawa wakikataa haitakuwa vibaya kulifanya hilo peke yetu.

Ingefaa pia taarifa ya Dr. Slaa juu ya ufisadi uliofanyika na tume, usalama wa taifa na vyombo vya dola dhidi ya demokrasia ikatolewa hadharani kabla ya Raisi wa kuchakachua kulihutubia Bunge. Hii itakuwa njia nyingine ya kistaarabu na amani kuonyesha kutoridhika kwetu na uhaini uliofanyika dhidi ya umma. Shame on you all who assisted Kikwete to avert the peoples decision.

God Bless Tanzania
 
Nakubaliana na wewe kuwa wabunge wameapa kuilinda katiba lakini si kuhudhuria mikutano au speech za rais ambaye wamekataa kuyatambua matokeo yake.

Kumbuka move ya CUF 2005 wawakilishi waliapa kuilinda katiba baada ya kiapo wakawa mabubu kwa miaka kadhaa nafikiri, hata hivyo hakuna sheria inayomlazimisha mbunge kukaa bungeni kwa masaa yote. Mimi ninachoshauri Chadema is to speak louder na njia mojawapo ya ku shout ni kutoka nje ya bunge wakati rais atakapoanza speech then they can come back the next day.

Luteni, hebu kwanza tutazame Kanuni za bunge zinasemaje:

SEHEMU YA TATU

MIKUTANO NA VIKAO

18.-(1) Bila ya kuathiri masharti ya Katiba, Mkutano wa Kwanza wa Bunge Jipya utaanza tarehe na saa ile ambayo Bunge jipya limeitishwa na Rais kukutana.

(2) Bila ya kuathiri masharti ya Kanuni hizi kuhusu kuanza na kufungwa kwa vikao vya Bunge, Mkutano wa Kwanza wa Bunge utaendelea kukutana kwa muda wowote ambao utahitajiwa ili kutekeleza na kukamilisha shughuli zote za Mkutano wa Kwanza wa Bunge Jipya.

19.-(1) Shughuli za Mkutano wa Kwanza wa Bunge Jipya zitakuwa kama ifuatavyo:-
(a) Uchaguzi wa Spika;
(b) Kiapo cha Uaminifu kwa Wabunge wote;
(c) Hoja ya kuthibitisha uteuzi wa Waziri Mkuu;
(d) Uchaguzi wa Naibu Spika;
(e) Ufunguzi rasmi wa Bunge Jipya utakaofanywa na Rais;
(f) Hoja ya kujadili hotuba ya Rais;


Kama Wabunge wa CHADEMA watatoka as individuals sina tatizo na hili. lakini kama watatoka wote as CHADEMA ina maana nafasi yao kama opposition katika kikao hich haitakuwepo.

Kwa mujibu wa kanuni nadhani wanaweza kupewa BAN. Then, where will we be heading?
 
Hapana hapana Dr. Slaa alisema matokeo ya Rais ndio yenye matatizo na msimo wa chama Mbowe alisema hawayatambui.

Wabunge hawakuzungumziwa sio kimakosa bali kisheria zaidi, nadhani kuna hoja ya msingi hapa wabunge wetu wasipo sikiliza hotuba ya Mkwere wata ruhusiwa kuijadili? Hapo sina uhakika kisheria au kinadharia.

Hata hivyo pale mjengoni ndipo tulipo tunzia bunduki zetu hivyo tufuate taratibu ili isije tokea nafasi finyu yenye madhara makubwa kwetu. Pia ningefurahi sana kuitosa hotuba hiyo lakini tufuate taratibu.
 
Lakini huu ukimya wa CHADEMA hauna tija, unasaliti matumaini ya wanyonge.

Mawasiliano ni muhimu kuimarisha chama, Watu walipigwa mabomu, walikesha wakilinda kura, walikatwa na mapanga ya green guards plus wengine waliswekwa lupango, watu walijitoa mhanga kwa mabadiliko ambayo chadema iliahidi. CHADEMA imewaacha gizani kama watoto yatima. Wako Dodoma wanafurahia kuingia mjengoni?

Wakati CHADEMA wako kimya hatujui CCM vijijini wanawatenda vipi wapinzani ambao inawaita "viherehere" sitashangaa kama wanalipiziwa visasi na watendaji wa vijiji, kata, halmashauri, DC, RC nk. CHADEMA wana moral and political obligation ya kusimamia na kulinda haki za supporters wao na kuwapa mwongozo sahihi. Kama kuna wanaJF ambaye yuko karibu na viongozi wa CHADEMA tafadhali wafikishieni my disappointment
 
Luteni, hebu kwanza tutazame Kanuni za bunge zinasemaje:

SEHEMU YA TATU

MIKUTANO NA VIKAO

18.-(1) Bila ya kuathiri masharti ya Katiba, Mkutano wa Kwanza wa Bunge Jipya utaanza tarehe na saa ile ambayo Bunge jipya limeitishwa na Rais kukutana.

(2) Bila ya kuathiri masharti ya Kanuni hizi kuhusu kuanza na kufungwa kwa vikao vya Bunge, Mkutano wa Kwanza wa Bunge utaendelea kukutana kwa muda wowote ambao utahitajiwa ili kutekeleza na kukamilisha shughuli zote za Mkutano wa Kwanza wa Bunge Jipya.

19.-(1) Shughuli za Mkutano wa Kwanza wa Bunge Jipya zitakuwa kama ifuatavyo:-
(a) Uchaguzi wa Spika;
(b) Kiapo cha Uaminifu kwa Wabunge wote;
(c) Hoja ya kuthibitisha uteuzi wa Waziri Mkuu;
(d) Uchaguzi wa Naibu Spika;
(e) Ufunguzi rasmi wa Bunge Jipya utakaofanywa na Rais;
(f) Hoja ya kujadili hotuba ya Rais;


Kama Wabunge wa CHADEMA watatoka as individuals sina tatizo na hili. lakini kama watatoka wote as CHADEMA ina maana nafasi yao kama opposition katika kikao hich haitakuwepo.

Kwa mujibu wa kanuni nadhani wanaweza kupewa BAN. Then, where will we be heading?
Superman

Hujaonyesha kipengere kinacholazimisha mbunge kusikiliza hotuba ya ufunguzi.
Kuhusu kutoka induvidually au as a group sidhani kama hiyo ni issue mara ngapi bunge linakuwa tupu, half full or half empty.
 
Hapana hapana Dr. Slaa alisema matokeo ya Rais ndio yenye matatizo na msimo wa chama Mbowe alisema hawayatambui.

Wabunge hawakuzungumziwa sio kimakosa bali kisheria zaidi, nadhani kuna hoja ya msingi hapa wabunge wetu wasipo sikiliza hotuba ya Mkwere wata ruhusiwa kuijadili? Hapo sina uhakika kisheria au kinadharia.

Hata hivyo pale mjengoni ndipo tulipo tunzia bunduki zetu hivyo tufuate taratibu ili isije tokea nafasi finyu yenye madhara makubwa kwetu. Pia ningefurahi sana kuitosa hotuba hiyo lakini tufuate taratibu.
Kwenye bold nakujibu ndiyo,
kuchangia hoja au hotuba ya rais si lazima siku ya hotuba uwepo vile vile unaweza kuchangia kwa maandishi hata kama wewe hauko bungeni.
 
Hapana siungi mkono ya wabunge wa CHADEMA kutoka nje kususa hotuba ya JK.

Binafsi mimi naona ni muhimu wabunge wa CHADEMA wapate nafasi ya kusikiliza na kuchanga hotuba ya rais na kupitia pale wanaweza kuleta hoja mbalimbali ikiwe hata la katiba kama nafasi na taratibu zitaruhusu....ni muhimu sana wabunge wetu wawepo ndani
 
Back
Top Bottom