Mbowe: Mabomu yamerushwa na Polisi kwa maagizo ya Serikali

BONGOLALA

JF-Expert Member
Sep 14, 2009
16,507
11,883
Mbowe: Mabomu yamerushwa na Polisi kwa maagizo ya Serikali

Amesema hivyo na ushahidi wa video upo, silaha 3 zilihusika.

Source: ITV
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema polisi wanahusika na milipuko katika mkutano wa CHADEMA na kuua watu watatu.

Mh Mbowe amesema ana ushahidi na picha za video za tukio hilo.

Mh Mbowe alisema hayo akihojiwa na ITV.
Mwenyekiti wa CHADEMA,Freeman Aikaeli Mbowe (Mb) na Mbunge wa Arusha Mjini,Godbless Lema wamedai kuwa wana ushahidi wa kutosha juuya tukio la bomu katika Mkutano wa Kampeni wa CHADEMA-Arusha.

Akihojiwa na BBC, Mbowe amesema kuwa wao wana ushahidi wa kutosha ambao hatahivyo hawatautoa kwa vyombo vya ndani vya kiuchunguzi. Amesema kuwa wako tayari kushirikiana na vyombo vya kiuchunguzi vya kimataifa katika kuona ukweli wa tukio husika.

Naye Lema,akihojiwa na VOA, amesema kuwa wana ushahidi wakutosha ikiwemo video iliyopatikana siku ya tukio inayomtanabaisha mhusika watukio hilo la bomu.

Ukweli utajulikana tu. Nami niko njiani kwenda Arusha kufanya kinachonipasa kama mtanzania wa kawaida. Hatuwezi kukaa tukifungwa mikono yetu huku tukishuhudia wapendwa wetu wakiangamia. Mambo haya yatakoma sasa!
 
Akihojiwa na ITV, Mh Mbowe alisema muda utapofika atauweka ukweli wote hadharani kwani wanauhakika wa picha na video,ni tukio ambalo lilipangwa na makada wa ccm,aliongeza kwa kusema aliyeripua bomu alikuwa ni askari FFU ambaye alikuwa amevaa sare pia alitaja silaha iliyotumika ni bastola,SMG na grenade

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mwenyekiti wa chadema mh Freeman Mbowe amesema polisi wanahusika na milipuko katika mkutano wa chadema na kuua watu watatu.Mh Mbowe amesema ana ushahidi na picha za video za tukio hilo.Mh Mbowe alisema hayo akihojiwa na Itv.
 
Amesema
hivyo na ushahidi wa video upo.silaha 3 zilihusika.source ITV

Mbowe ni miongoni mwa viongozi waliofilisika kisiasa,we mtu ni kiongozi
wa juu wa chama, anawezaje kukamilisha uchunguzi kwa siku 2 tu,na kutoa
maelekezo kwa wafuasi wa chadema eti kuwa ni polisi wamehusika? once a dj
always a dj,ye anadhani pale ancheza santuri na kuzigeuza! C'mon, we
are talking about humans life here not blar blar!
 
Amesema hivyo na ushahidi wa video upo.silaha 3 zilihusika.source ITV
Mkuu na mimi nimeona habari hii ITV ndo inaendelea. Cha msingi hapa hatuna haja ya kupoteza fedha za serikali kuunda tume wkt mambo yako wazi na ushahidi kumbe upo. Hapa moja kwa moja wahusika wafikishwe mahakani. Ushahid Mbowe ana hatuna sababu ya kupoteza muda kutafuta ushahidi. Mbowe siyo kichaa audangaye umma
 
Mkuu na mimi nimeona habari hii ITV ndo inaendelea. Cha msingi hapa hatuna haja ya kupoteza fedha za serikali kuunda tume wkt mambo yako wazi na ushahidi kumbe upo. Hapa moja kwa moja wahusika wafikishwe mahakani. Ushahid Mbowe ana hatuna sababu ya kupoteza muda kutafuta ushahidi. Mbowe siyo kichaa audangaye umma
na nape nae umeckia pumba zake?
 
Mbowe ni miongoni mwa viongozu waliofilisika kisiasa,we mtu ni kiongozi wa juu wa chama, anawezaje kukamilisha uchunguzi kwa siku 2 tu,na kutoa maelekezo kwa wafuasi wa chadema eti kuwa ni polisi wamehusika? one a dj always a dj,ye anadhani pale ancheza santuri na kuzigeuza! C'mon, we are talking about humans life here not blar blar!

your wrong! hujamuelewa vizuri
 
Mbowe ni miongoni mwa viongozu waliofilisika kisiasa,we mtu ni kiongozi wa juu wa chama, anawezaje kukamilisha uchunguzi kwa siku 2 tu,na kutoa maelekezo kwa wafuasi wa chadema eti kuwa ni polisi wamehusika? one a dj always a dj,ye anadhani pale ancheza santuri na kuzigeuza! C'mon, we are talking about humans life here not blar blar!

We ndio umefilisika kifikra sasa kama alishuhudia kuna haja gani achukue muda kusema ukweli.. Ushazoea hadi muunde tume hata kwa vitu vilivyowazi, hata mkeo akizaa nje we utaunda tume kuchunguza wakati unaona kabisa we msukuma mtoto muhindi... Sio kila kitu hadi kichukue muda kupatikana ukweli vingine vipo wazi.
 
Ipo kazi kwakweli,kama video ilimfunga Afisa usalama wa chadema akipanga mauaji kwa siku zote hizo alizokaa rumade sasa video hii ya aliyerusha bomu na kuua atafanyajwe..!!!?? Yangu macho
 
Mbowe ni miongoni mwa viongozi waliofilisika kisiasa,we mtu ni kiongozi
wa juu wa chama, anawezaje kukamilisha uchunguzi kwa siku 2 tu,na kutoa
maelekezo kwa wafuasi wa chadema eti kuwa ni polisi wamehusika? once a dj
always a dj,ye anadhani pale ancheza santuri na kuzigeuza! C'mon, we
are talking about humans life here not blar blar!
umezoea uchunguzi kuchukua siku ngapi?ndio maana tanzania haiendelei kutokana watu wenye akili mgando kama zako.jambo linalowezekana leo kwa nini lisubiri kesho?Haya tupe majibu ya uchunguzi bomu la awali kanisani, sii imechukua siku nyingi?
 
Mkuu na mimi nimeona
habari hii ITV ndo inaendelea. Cha msingi hapa hatuna haja ya kupoteza
fedha za serikali kuunda tume wkt mambo yako wazi na ushahidi kumbe upo.
Hapa moja kwa moja wahusika wafikishwe mahakani. Ushahid Mbowe ana
hatuna sababu ya kupoteza muda kutafuta ushahidi. Mbowe siyo kichaa
audangaye umma

We unadhani Mbowe ni mzima! kiongozi gani mwenye akili timamu anaweza kuchongenisha dola na raia haraka namna hii kwa ushahidi wa hisia? hivi angekuwa Raisi wa nchi huyu,tungetokewa na missunderstanding ndogo tu huyu si angeamrisha vita huyu ye anadhani pale ana "scrach cd" asituchanganye hapa!
 
akaenda mbali zaidi kusema aina za silaha zilizotumika na wajihi wa aliyerusha bomu na mwisho akasema watajumuisha ushahidi wote na kuutoa kwa umma.
 
Mbowe ni miongoni mwa viongozi waliofilisika kisiasa,we mtu ni kiongozi
wa juu wa chama, anawezaje kukamilisha uchunguzi kwa siku 2 tu,na kutoa
maelekezo kwa wafuasi wa chadema eti kuwa ni polisi wamehusika? once a dj
always a dj,ye anadhani pale ancheza santuri na kuzigeuza! C'mon, we
are talking about humans life here not blar blar!
Mkuu mimi nadhani huo ushahidi autoe na ufanyiwe uchunguzi na wataalamu ikiwezekana hata kutoka nje ili kuondoa dhana ya uchakachuaji ili tuone ukweli wa ushahidi huo. Na tukigundua huo ushahidi ni wa uongo, afungwe kwa mujibu wa sheria kwani hili si suala la kitoto atudanganye sisi. akichukuliwa hatua kama ataonekana kadanganya, siku nyingine hatarudia kamwe
 
Ccm wamejijengea chuki na visasi,Nape,Mwigulu ipo siku watakutwa wamekauka tu

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
your wrong! hujamuelewa vizuri

Nimemuelewa sana na kadai eti ushahidi anao! kama utakumbuka,mchana kuna thread iliwekwa na mtu aliyekuwapo eneo la mlipuko nadhani ameongea vizuri,kwani alikuwa mtu wa 8 toka pale lilipoanguka bomu,na kasema bomu lilikuwa katika kitu cheusi aidha ni mfuko au soksi na ndio ikapelekea polisi na raia kuvaana bila kujua chanzo,sasa huyu Dj anapata wapi uongo huu?
 
Tafadhali cdm unganisheni matukio yote pamoja ili mambo yawe wazi kwa wananchi...
 
We ndio umefilisika
kifikra sasa kama alishuhudia kuna haja gani achukue muda kusema
ukweli.. Ushazoea hadi muunde tume hata kwa vitu vilivyowazi, hata mkeo
akizaa nje we utaunda tume kuchunguza wakati unaona kabisa we msukuma
mtoto muhindi... Sio kila kitu hadi kichukue muda kupatikana ukweli
vingine vipo wazi.

Viko wazi kiasi gani? au unadhani kesi inaendeshwa kwa mawazo ya mtu mmoja tu mkuu? tena Dj?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom