Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 17,056
- 18,405
Labda usipige lumumba.
Ahsante sana!!! %%%$$madilikooo.
kwani lowassa ndo ananiwekea salio? simbilisi wewe!
Lowasa..
wewe kweli ni sexer na una mahaba kama jina lako .Watanzania ukipigiwa/ukipiga simu usiseme hallo sema 'mabadiliko' upande wa pili utajibu 'Lowassa' afu sema 'Lowassa' upande wa pili utajibu 'Lowassa'
Ni hayo tu.
Sheria ya mtandao itaanza na wewe......!!Watanzania ukipigiwa/ukipiga simu usiseme hallo sema 'mabadiliko' upande wa pili utajibu 'Lowassa' afu sema 'Lowassa' upande wa pili utajibu 'mabadiliko'
Ni hayo tu.
upuuzii huuu
Sheria ya mtandao itaanza na wewe......!!
Watanzania ukipigiwa/ukipiga simu usiseme hallo sema 'mabadiliko' upande wa pili utajibu 'Lowassa' afu sema 'Lowassa' upande wa pili utajibu 'mabadiliko'
Ni hayo tu.
Na ukiulizwa Ilani iko wapi?
kwenye tovutiNa ukiulizwa Ilani iko wapi?