Mbowe, Lowassa kuwanadi wagombea wa CHADEMA nchi nzima

Wewe ndo kila anachotaka ufanye unafanya but c mimi hapa and sitakuja kuwa mtumwa wa namna hiyo
Una impact gan mkuu kwa serikali iliyopo madarakani ?

naamini kwa matumizi yetu ya majina fake hapa jf ni ushahidi tosha kuwa huna uthubutu wa kupinga agizo lolote la serikali hadharani.
 
Una impact gan mkuu kwa serikali iliyopo madarakani ?

naamini kwa matumizi yetu ya majina fake hapa jf ni ushahidi tosha kuwa huna uthubutu wa kupinga agizo lolote la serikali hadharani.
Ogopa sana kitu kinachoitwa passive resistance..wakati wa ukoloni wakoloni walikuwa wanawachukua watumwa na kuwatumikisha kwenye mashamba yao mfano kulima,kupanda,kupalilia and kuvuna... Mfano wa mbinu moja ambayo ni passive resistance watumwa walikuwa wanazichemsha mbegu kabda ya kuzipanda and wakoloni hio hawakulijua ila mwisho wa siku ilifahamika tu...ogopa sana kitu kinachoitwa passive resistance...ni hatari sana kuliko active resistance ambayo inaonekana we ndo unaiamini sana..hadi hapo nafkiri ushanielewa
 
Ogopa sana kitu kinachoitwa passive resistance..wakati wa ukoloni wakoloni walikuwa wanawachukua watumwa na kuwatumikisha kwenye mashamba yao mfano kulima,kupanda,kupalilia and kuvuna... Mfano wa mbinu moja ambayo ni passive resistance watumwa walikuwa wanazichemsha mbegu kabda ya kuzipanda and wakoloni hio hawakulijua ila mwisho wa siku ilifahamika tu...ogopa sana kitu kinachoitwa passive resistance...ni hatari sana kuliko active resistance ambayo inaonekana we ndo unaiamini sana..hadi hapo nafkiri ushanielewa
Sawa
lakini naomba tuwe realistic, hivi tangu viongozi wameanza kujifanyia mambo wanavyotaka chini ya serikali za ccm, kuna jambo lipi unadhani ni threat kwa serikali hii ya magufuli ambalo litatokana na passive resistance ?


Mimi binafsi ni Pro Active resistance.
 
pic+chadema.jpg


Viongozi wa juu wa Chadema , Freeman Mbowe na Edward Lowassa wataongoza kampeni za uchaguzi mdogo wa nafasi za udiwani kwenye kata 43.

Chama hicho kimeunda Kamati za Kitaifa 10, zitakazoongeza nguvu, hamasa na mikakati ya kampeni za uchaguzi wa marudio kwenye nafasi hizo kuanzia kesho hadi siku ya uchaguzi.

Timu hizo ambazo zitafanya kazi kwa kushirikiana na kamati zingine za hamasa katika ngazi za kanda, mikoa, majimbo, kata na matawi katika maeneo yenye uchaguzi huo, zitaongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa, Freeman Mbowe.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa chama hicho Tumaini Makene imeeleza kuwa Mbowe ataanza kuzindua kampeni kesho katika Kata ya Saranga, jijini Dar es Salaam.

Makene ametaja watakaoongoza timu hizo zilizopangwa kwa makundi A hadi G, kuwa ni Mwenyekiti wa Chama Taifa Freeman Mbowe, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa, Makamu Mwenyekiti Taifa (Bara), Profesa Abdallah Safari, Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa (Zanzibar) Said Issa Mohamed, Katibu Mkuu wa Chama Dk. Vincent Mashinji.

Amewataja wengine watakaoongoza timu hizo kuwa ni Naibu Katibu Mkuu wa Chama (Bara), John Mnyika, Naibu Katibu Mkuu wa Chama (Zanzibar), Salum Mwalimu.

Amesema timu hizo zitasaidiwa kwa ukaribu na timu zingine tatu chini ya uratibu na mikakati ya mabaraza ya chama, ikiwamo Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha), Baraza la Vijana wa Chadema (Bavicha) na Baraza la Wazee wa Chadema.

Timu hizo zitazunguka katika maeneo yote ya uchaguzi wa kata hizo 43, lengo ni kuwafikia wananchi wote kuelekea uchaguzi huo.

“Chadema tutaweza kuwafikia na kuzungumza na wananchi katika majimbo 37, halmashauri 36, mikoa 19 nchi nzima.

“Chama kimedhamiria kuweka ushindani mkubwa na kushinda kata hizo 43 ambazo chama kimeweka wagombea, tunaamini ushindi upo na ndiyo maana tunakutana na wananchi kuwahamasisha na kuwasikiliza wanataka nini ” amesema Makene.
 
Sawa
lakini naomba tuwe realistic, hivi tangu viongozi wameanza kujifanyia mambo wanavyotaka chini ya serikali za ccm, kuna jambo lipi unadhani ni threat kwa serikali hii ya magufuli ambalo litatokana na passive resistance ?


Mimi binafsi ni Pro Active resistance.
Mkuu mimi najizungumzia mimi kama mimi...now nipo nafanya passive resistance ambayo ni hatari sana...matokeo yake nafikir yataoneka mbeleni...tunatumia I'd fake so ni ngumu kujuana huyu ni nani and ana effect gani
 
Mkuu mimi najizungumzia mimi kama mimi...now nipo nafanya passive resistance ambayo ni hatari sana...matokeo yake nafikir yataoneka mbeleni...tunatumia I'd fake so ni ngumu kujuana huyu ni nani and ana effect gani
Hapo nimekusoma sasa

Tuko pamoja
 
Dar es Salaam. Aliyekuwa mbunge wa Singida Kaskazini Lazaro Nyalandu kesho ataungana na viongozi wa Chadema kwenye kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani utakaofanyika katika kata 43 nchi.

Akizungumza leo Novemba 11, kwenye ufunguzi wa kampeni hizo Kimara Suka jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amesema amempokea Nyalandu na ataungana naye kwenye mkutano mwingine kama huo utakaofanyika Mtwara mjini hapo kesho.

‘’Kila anayeondoka chama tawala anaitwa fisadi, potelea mbali wamempokea na wengine wengi watahamia kuleta mabadiliko’’ amesema na kuongeza

"Mabadiliko hayaji ghafla yanakuja taratibu na ujio wao ndiyo mwanzo wa mabadiliko tulipoanza na tulipo sasa kuna tofauti kubwa" amesema Mbowe.

Amefafanua kwamba haungi mkono nchi kuwa na wezi, lakini anashauri sheria iachwe iamue haki badala ya kuingiliwa kama inavyofanyika kwa mahakama.Huku akidai kwamba watawala wana hofu ndiyo maana hawataki ushauri.

Amesema wataendelea kupigania haki ya kupigania haki ya kufanya mikutano ya kisiasa na ipo siku wataingia mtaani kuidai bila kuogopa vifaru.

Amesema huu siyo wakati wa kuogopa na kukaa kimya ni wakati wa kusimama na kutetea haki ya kufanya siasa.

Kuhusu uchumi kusinyaa amesema ni kweli umesinyaa na inaonekana wazi jinsi maisha yalivyo wananchi, wafanyabiashara, watawala wote wanalia njaa hakuna mwenye nafuu.

Meya wa Manispaa ya Ubungo, Boniface Jacob amesema anahitaji kuongeza nguvu ya kuleta maendeleo katika manispaa hiyo, hivyo mgombea udiwani kata ya Saranga Ephram Kinyafu anatosha.

Naye Mjumbe wa Kamati Kuu na Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani Frederick Sumaye amehoji kuhusu hali za wananchi kuendelea kuwa mbaya.
"Tumeamua na tunamaanisha wakati huu ushindi ni lazima, na mtakaotupa ushindi ni nyie wananchi" amesema Sumaye.
 
Hapo ndio utaona tofauti ya ccm na chadema. Mwenyekiti Taifa kwenda kwenye kampeni ndogo ya udiwani kupambana na mwenyekiti wa wilaya wa ccm.
 
Hapo ndio utaona tofauti ya ccm na chadema. Mwenyekiti Taifa kwenda kwenye kampeni ndogo ya udiwani kupambana na mwenyekiti wa wilaya wa ccm.
Nadhani unajisahaulisha tu kuwa mwenyekiti wako aligeuza shughuli za kijeshi kuwa za kichama kwa kuwapokea madiwani hewa waliowanunua toka CDM kule Arusha...

Wakati mwenyekiti wa huku anapambana madiwani wake wachaguliwe... mwenyekiti mwingine anapokea madiwani walionunuliwa

Ushasahau kauli takatifu ya mwenyekiti.... "Wako wapi wale watu wako??... Wapumbavu kabisa"
 
Back
Top Bottom