.....yanga wanatamani sana kuvaa jezi zisizo na rangi yoyote ya kijani kwa sasa ila wanashindwa. juzi juzi walivaa njano tupu. wameigomea kijani kabisa. sema njano nayo ipo kwenye bendera ya ccm basi tu hawana jinsi. but you can tell ishu ya manji imefawanya yanga kutoipenda ccm angalau kwa wakati huu. nadhani kesho mtashuhudia yanga watakua kwenye pure yellow. hakuna kijani.
Tangu lini huyo Hemed Ally amemreplace Tumaini Makete?Mwenyekiti Freeman Mbowe , Mh Edward Lowassa waziri mkuu Mstaafu na Mjumbe wa kamati ,Mh Bulaya, Mayor Ubungo Boniface Jacob na Viongozi Mbali mbali wa Chama akiwepo Mrembo wa Tanzania 2006 watahudhuria Mechi Baina ya Simba Vs Yanga Uwanja wa Taifa. Karibuni tujionee maendeleo ya soka na ligi kuu yetu
Hemed Ally
Mwenezi CHADEMA- TAIFA.
Hawa ndugu zetu akili zao sijui huwa wanaziacha wapi ,sasa wameanza kufikiri kuwa Wema ndiye atakayewapeleka ikulu.Political analyst at his best!
Tanzania kuna vituko!
Bakiza maneno ,usije kana maneno yako!!!!Naomba kueleweshwa tu kama chadema ni chama cha wahalifu au la.
Kila anayetuhumiwa ndani ya ccm kwa uhalifu uwe ni ufisadi au dawa za kulevya utamsikia anakimbilia chadema. Ni vema Chadema mkajitafakari kabla ya Watanzania kufanya uamuzi juu yenu mwaka 2020 na kujikuta hampati hata 5% ya wapiga kura wote.
Si kila ndege huliwa la hasha wengine wana sumu kali.
Yanga ina wapenzi na washabiki zaidi ya milioni 20, Wema Sepetu peke yake ana followers milioni 2.5 kwenye Insta, Uchaguzi wa mwaka jana mshindi alipata kura milioni nane tu!
Iwapo robo ya mashabiki wa Yanga plus nusu ya Washabiki wa Wema wamuunge mkono mgombea yoyote wa kisiasa nchini!, uchaguzi utakuwa mtamu
Huyu ni Timu Nanihii..Katibu Mwenezi wa chadema anaitwa Hemed Ally....Ameanza lini kutumikia hiyo nafasi.
Wamekosea kuitangaza mapemaHujaelewa tu? Unadhani wanakwenda bure? Wait and see, labda move yao iharibiwe na kitengo!
Amefanana na Daudi Bashite akiwa mdogo
Amefanana na Daudi Bashite akiwa mdogo
Hapana sijakoseaumekosea badala ya CHADEMA umeandika CHAWEMA, ama?