bokassa
JF-Expert Member
- May 19, 2007
- 401
- 11
Ni hakika kuwa CCM imepoteza mwelekeo. Viongozi na makada wake. Nimekata tamaa kiasi cha kuombea waondolewe madarakani haraka.
Sina shaka na vyama shindani vya CCM, japo ni vichanga lakini vimeonyesha ukomavu mkubwa ki-sera. Hata hivyo mara nyingi huwa najiuliza nani baada ya kikwete. Hivi kweli Mbowe, Lipumba, Lyatonga wanaweza??? ikibidi, nani awatangulie wenzake jumba jeupee!!?
Hebu tuwajadili kwa umakini na kwa tahadhari, 2010 si mbali tusije tukafanya makosa yale yale!!!
Sina shaka na vyama shindani vya CCM, japo ni vichanga lakini vimeonyesha ukomavu mkubwa ki-sera. Hata hivyo mara nyingi huwa najiuliza nani baada ya kikwete. Hivi kweli Mbowe, Lipumba, Lyatonga wanaweza??? ikibidi, nani awatangulie wenzake jumba jeupee!!?
Hebu tuwajadili kwa umakini na kwa tahadhari, 2010 si mbali tusije tukafanya makosa yale yale!!!