bluetooth23
JF-Expert Member
- Apr 8, 2013
- 348
- 324
Ndugu wapigania haki, leo jioni mbunge wa Mbulu mjini Mustapha Akonnay na mbunge wa Karatu Israel Natse walikuwa kata ya Dongobesh wilayani Mbulu kumnad mgombea udiwani wa chadema. Hakika kwa uelewa na utambuzi watanzania hasa wa vijijini wanaoendelea kuupata na kuenea, CCM haina chake mwaka 2015. Tarehe 13 mwezi huu mwenyekit wa taifa wa Chadema Freeman Mbowe, mzee Ndesamburo na jembe Godbless Lema watakuwa katika kata hyo ya Dongobesh wilayan Mbulu, uchaguz utafanyika tarehe 16 mwez huu kuzba nafasi ya mbunge wa Chadema aliyefariki dunia. Ni mashambuliz ya kutoka kona zote, mwendo ni kukaba mpaka penati na mpaka vivuli had wez na wakolon weusi CCM waondoke. NB. Correction kwenye tittle ya post, ni tarehe 13.06.2013 na siyo 13.06.2014