Samia mwenyewe ni masalia ya JPM.
Bila kutajwa na JPM asingekuwa hapo alipo.
Hao masalia wanaoharibu utawala wa mama ni akina nani?
Hata mapacha hawafanani tabia, mmoja anaweza awe mlevi mwingine mchamungu
cha msingi tumsaidie mama aipeleke nchi tunapo pahitaji, na ameshaanza kuweka nchi kwny mwelekeo mzuri kuliko huyo "bila yeye"