MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,006
- 2,166
Pole boss! Tuachane na haya maana ni mambo uliyotakiwa kuyafahamu darasa la 4 na 5.Kumbe unahisi. Nilidhani una uhakika, pole
Pole boss! Tuachane na haya maana ni mambo uliyotakiwa kuyafahamu darasa la 4 na 5.Kumbe unahisi. Nilidhani una uhakika, pole
Catchword ni fungulieni kesi wahusika. Very illogical and disorganized; pertur!Sorry siko interested na hizo siasa lakini sasa niseme tu mko so childish.
Kama vile ww ndio muanzilishi wa hilo kanisa nchini?
Na ubaya wake umeanza kuonekana baada ya mbowe kutolewa.
Yaani wkt mbowe yuko gerezani hakukuwa na chambuzi za kijinga kama hizi.
Lets say mko right, fungulieni kesi wahusika pelekeni mahakamani badala ya kulalama huku
Sisi wenye elimu, hiyo tunaita ni polite language. Naona imekupa comfort pamoja na makosa yote hayo ya lugha.Kumbe unahisi. Nilidhani una uhakika, pole
Uko sahihi 2015 nilipita makanisa mengi ya ya KKKT Moshi nilishangaa yalikuwa na mabango makubwa eneo la kanisa karibu na mlango wa kuingia kanisani yanasomeka Pombe haitakiwi hapaWala usitumie nguvu
Wala usihuzunike
Wala usiwalaumu
Wala usiwaonee wivu
Waache waendelee kufanya mambo yao. Maana kwa kufanya hivyo wanakuwa wamejitia alama kuwa wao ni watu wa namna gan!!
KKKT inakubali kutumika kuw kichaka cha wana siasa. Wasipoangalia watapoteza sifa nzuri waliokuwa nayo kwamba wao hawana chama.
Hebu angalia katika picha, nguo walizovalia. Hebu chunguza zaidi alama wanazoonesha ya vidole viwili. Tangu lini KKKT wakawa na ishara ya aina hiyo!!??
KKKT mjitathmini na kujichunguza. Vinginevyo mtatiwa alama na watu wanaoshuhudia.
FREEMAN MBOWE UMEANZA TENA
Leo jumapili Terehe 20/03/2022 Mwenyekiti wa chadema Ndugu Freeman Mbowe aliungana na familia yake na wafuasi wake kutoa sadaka ya SHUKURANI katika kanisa la KKKT Dayosisi ya Kaskazini, ushariki wa Nshara machame
View attachment 2158285
Umemsahau enzi za Mwendazake akipewa madhabahu pale st.Peter alikuwa anasema nini?
just because umehisi? Come on man hiyo nayo ni point ya kujiona umesoma?Sisi wenye elimu, hiyo tunaita ni polite language. Naona imekupa comfort pamoja na makosa yote hayo ya lugha.
just because umehisi? Come on man hiyo nayo ni point ya kujiona umesoma?
Ni kitu cha kawaida sana kwa sisi ambao si washamba wa hivyo vitu
na huyu shetani wenu anafanya nini hapa anaimba au anacheza lizombeFREEMAN MBOWE UMEANZA TENA
Leo jumapili Terehe 20/03/2022 Mwenyekiti wa chadema Ndugu Freeman Mbowe aliungana na familia yake na wafuasi wake kutoa sadaka ya SHUKURANI katika kanisa la KKKT Dayosisi ya Kaskazini, ushariki wa Nshara machame
Kuna baadhi ya mambo yamenza kuonekana ambayo hayana dalili nzurii tuendako
1. Mbowe kwa kujua au kutokujua ameamua kulitumia tukio la sadaka ya shukrani kama sehemu ya mkutano wake wa siasa, akiwa na kundi la wanachama wake waliamua kwa makusudi kabisa kuvaa sare za chadema na wengine kuvaa kofia zisizo rasmi kanisani na kufanya ibada ambayo mavazi yao hayakuwa ya uchaji Mungu zaidi ya mavazi ya mikutano ya kisiasa (tazama ushahidi wa picha chini)
Tazama kianbatanisho cha picha za kanisani na nje ya lango kuu la kanisa
Mytake
1. Hivi leo mwenyekiti wa CCM Mhe Rais Samia Suluhu Hassan akisema anakwenda kutoa sadaka ya SHUKURANI msikitini na kuchukua maelfu ya wanachama wa CCM hivi dunia itasema nini?
2. Mbowe asidhani Mhe Rais Samia hajui anachofanya, narudia kusema acha wakati utaongea
USHAURI KWA KANISA KKKT
1. Askofu Mkuu wa kkkt Tanzania Dkt. Shoo ambae pia ni askofu wa dayosisi ya kaskazini ambako tukio hili liketokea leo tunaomba ujitafakari sana na mwenendo wa Mbowe ambae siku zote amekuwa akilitumia kanisa vibaya
-Mkuu wa jimbo la Hai Mchungaji msomi Biniel Maliyo usikubali jimbo lako kutwezwa na kutumiwa na wana siasa hata kama kuna shinikizo kutoka kwa Askofu wako simama katika
nafasi yako mana vyeo huja na kupita ila utukufu wa Mungu upo
- Sijawai kuona Mhe. Mbunge wa Hai Saashisha Mafuwe akienda kanisani na wanachama wa ccm wakiwa wamevaa nguo za kijani leo iweje tukio hili liwezekane kwa chadema ibadani?
2. Mbowe amekuwa akitumia kivuli cha kanisa kufanya siasa za hila mfano alipotoka gerezani alikwenda kanisani KKKT usharika wa Azania front na kuongea maneno ambayo hayakuwa ya kimadhabauni at all
3. Askofu Shoo anapaswa kutambua miongoni mwa waumini wa kkkt wapo pia wa vyama vingine leo ccm wakiamua kwenda kusali na mavazi ya kijani itakuwaje si ni vurugu?
USHAURI KWA MBOWE
Huu ni wakati wako wa kutulia na kutafakari hatima ya maisha yako kisiasa na kifamilia, unapotoka katika changamoto kubwa unashauriwa ujipe muda wa kutulia na kutafakari sana mana ni katika kipindi hiki unaweza kufanya mambo ya ajabu zaidi ukawa kituko zaidi, jipe muda tulia tafakari
USHAURI KWA WASAIDIZI WA RAIS SAMIA
Naomba mumshauri Mhe Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na dhamira yake nzuri ta kutengeneza mazingira wezeshe ya kufanya siasa nchini atambue wako binadamu kamwe hata ukiwatengeneza mazingira mazuri watayaharibu wenyewe kwa makusudi, ni wakati sasa wa Mhe Rais kuwa macho na watu wasiolitakia taifa mema.
Nyuki kamwe hakumbatiwi
Makala na
Mangi kiongozi
Narumu machame
20/03/2022
View attachment 2158282
View attachment 2158283
View attachment 2158284
View attachment 2158285
kabla kumshauri MWAMBA kaa na mumeo mshauriane jinsi ya kukuzalisha kwa uzazi wa mpango afu akili zikikurudi ndo uje kanisani kama umebatizwaFREEMAN MBOWE UMEANZA TENA
Leo jumapili Terehe 20/03/2022 Mwenyekiti wa chadema Ndugu Freeman Mbowe aliungana na familia yake na wafuasi wake kutoa sadaka ya SHUKURANI katika kanisa la KKKT Dayosisi ya Kaskazini, ushariki wa Nshara machame
Kuna baadhi ya mambo yamenza kuonekana ambayo hayana dalili nzurii tuendako
1. Mbowe kwa kujua au kutokujua ameamua kulitumia tukio la sadaka ya shukrani kama sehemu ya mkutano wake wa siasa, akiwa na kundi la wanachama wake waliamua kwa makusudi kabisa kuvaa sare za chadema na wengine kuvaa kofia zisizo rasmi kanisani na kufanya ibada ambayo mavazi yao hayakuwa ya uchaji Mungu zaidi ya mavazi ya mikutano ya kisiasa (tazama ushahidi wa picha chini)
Tazama kianbatanisho cha picha za kanisani na nje ya lango kuu la kanisa
Mytake
1. Hivi leo mwenyekiti wa CCM Mhe Rais Samia Suluhu Hassan akisema anakwenda kutoa sadaka ya SHUKURANI msikitini na kuchukua maelfu ya wanachama wa CCM hivi dunia itasema nini?
2. Mbowe asidhani Mhe Rais Samia hajui anachofanya, narudia kusema acha wakati utaongea
USHAURI KWA KANISA KKKT
1. Askofu Mkuu wa kkkt Tanzania Dkt. Shoo ambae pia ni askofu wa dayosisi ya kaskazini ambako tukio hili liketokea leo tunaomba ujitafakari sana na mwenendo wa Mbowe ambae siku zote amekuwa akilitumia kanisa vibaya
-Mkuu wa jimbo la Hai Mchungaji msomi Biniel Maliyo usikubali jimbo lako kutwezwa na kutumiwa na wana siasa hata kama kuna shinikizo kutoka kwa Askofu wako simama katika
nafasi yako mana vyeo huja na kupita ila utukufu wa Mungu upo
- Sijawai kuona Mhe. Mbunge wa Hai Saashisha Mafuwe akienda kanisani na wanachama wa ccm wakiwa wamevaa nguo za kijani leo iweje tukio hili liwezekane kwa chadema ibadani?
2. Mbowe amekuwa akitumia kivuli cha kanisa kufanya siasa za hila mfano alipotoka gerezani alikwenda kanisani KKKT usharika wa Azania front na kuongea maneno ambayo hayakuwa ya kimadhabauni at all
3. Askofu Shoo anapaswa kutambua miongoni mwa waumini wa kkkt wapo pia wa vyama vingine leo ccm wakiamua kwenda kusali na mavazi ya kijani itakuwaje si ni vurugu?
USHAURI KWA MBOWE
Huu ni wakati wako wa kutulia na kutafakari hatima ya maisha yako kisiasa na kifamilia, unapotoka katika changamoto kubwa unashauriwa ujipe muda wa kutulia na kutafakari sana mana ni katika kipindi hiki unaweza kufanya mambo ya ajabu zaidi ukawa kituko zaidi, jipe muda tulia tafakari
USHAURI KWA WASAIDIZI WA RAIS SAMIA
Naomba mumshauri Mhe Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na dhamira yake nzuri ta kutengeneza mazingira wezeshe ya kufanya siasa nchini atambue wako binadamu kamwe hata ukiwatengeneza mazingira mazuri watayaharibu wenyewe kwa makusudi, ni wakati sasa wa Mhe Rais kuwa macho na watu wasiolitakia taifa mema.
Nyuki kamwe hakumbatiwi
Makala na
Mangi kiongozi
Narumu machame
20/03/2022
View attachment 2158282
View attachment 2158283
View attachment 2158284
View attachment 2158285
Washamba......! You mean what? I remember the famous mythical winged divine horse, pegasus! Don't make a mix-up of the Trojan Horse for the Greek entering Troy!just because umehisi? Come on man hiyo nayo ni point ya kujiona umesoma?
Ni kitu cha kawaida sana kwa sisi ambao si washamba wa hivyo vitu
😂 😂 😂 😂 haya wazungu na KIDHUNGU chenu pambaneni tuone wapi patavujaNImesema andika Kiswahili, kwani ni kosa? Kwa nini unalazimisaha lugha usiyoiweza? Nahisi najaribu kukunja samaki mkavu.
Umeandika: That doesnt make you special man
Andika hivi: That doesn't make you a special person
Hii ni kwa lugha ya mtaani angalau! Nikiendelea sana makosa ni makubwa maana we don't make a special person!
1kor 11: 1_16Kifungu gani cha Bible kimekataza mtu asivae Barkhashia kanisani?
FREEMAN MBOWE UMEANZA TENA
Leo jumapili Terehe 20/03/2022 Mwenyekiti wa chadema Ndugu Freeman Mbowe aliungana na familia yake na wafuasi wake kutoa sadaka ya SHUKURANI katika kanisa la KKKT Dayosisi ya Kaskazini, ushariki wa Nshara machame
Kuna baadhi ya mambo yamenza kuonekana ambayo hayana dalili nzurii tuendako
1. Mbowe kwa kujua au kutokujua ameamua kulitumia tukio la sadaka ya shukrani kama sehemu ya mkutano wake wa siasa, akiwa na kundi la wanachama wake waliamua kwa makusudi kabisa kuvaa sare za chadema na wengine kuvaa kofia zisizo rasmi kanisani na kufanya ibada ambayo mavazi yao hayakuwa ya uchaji Mungu zaidi ya mavazi ya mikutano ya kisiasa (tazama ushahidi wa picha chini)
Tazama kianbatanisho cha picha za kanisani na nje ya lango kuu la kanisa
Mytake
1. Hivi leo mwenyekiti wa CCM Mhe Rais Samia Suluhu Hassan akisema anakwenda kutoa sadaka ya SHUKURANI msikitini na kuchukua maelfu ya wanachama wa CCM hivi dunia itasema nini?
2. Mbowe asidhani Mhe Rais Samia hajui anachofanya, narudia kusema acha wakati utaongea
USHAURI KWA KANISA KKKT
1. Askofu Mkuu wa kkkt Tanzania Dkt. Shoo ambae pia ni askofu wa dayosisi ya kaskazini ambako tukio hili liketokea leo tunaomba ujitafakari sana na mwenendo wa Mbowe ambae siku zote amekuwa akilitumia kanisa vibaya
-Mkuu wa jimbo la Hai Mchungaji msomi Biniel Maliyo usikubali jimbo lako kutwezwa na kutumiwa na wana siasa hata kama kuna shinikizo kutoka kwa Askofu wako simama katika
nafasi yako mana vyeo huja na kupita ila utukufu wa Mungu upo
- Sijawai kuona Mhe. Mbunge wa Hai Saashisha Mafuwe akienda kanisani na wanachama wa ccm wakiwa wamevaa nguo za kijani leo iweje tukio hili liwezekane kwa chadema ibadani?
2. Mbowe amekuwa akitumia kivuli cha kanisa kufanya siasa za hila mfano alipotoka gerezani alikwenda kanisani KKKT usharika wa Azania front na kuongea maneno ambayo hayakuwa ya kimadhabauni at all
3. Askofu Shoo anapaswa kutambua miongoni mwa waumini wa kkkt wapo pia wa vyama vingine leo ccm wakiamua kwenda kusali na mavazi ya kijani itakuwaje si ni vurugu?
USHAURI KWA MBOWE
Huu ni wakati wako wa kutulia na kutafakari hatima ya maisha yako kisiasa na kifamilia, unapotoka katika changamoto kubwa unashauriwa ujipe muda wa kutulia na kutafakari sana mana ni katika kipindi hiki unaweza kufanya mambo ya ajabu zaidi ukawa kituko zaidi, jipe muda tulia tafakari
USHAURI KWA WASAIDIZI WA RAIS SAMIA
Naomba mumshauri Mhe Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na dhamira yake nzuri ta kutengeneza mazingira wezeshe ya kufanya siasa nchini atambue wako binadamu kamwe hata ukiwatengeneza mazingira mazuri watayaharibu wenyewe kwa makusudi, ni wakati sasa wa Mhe Rais kuwa macho na watu wasiolitakia taifa mema.
Nyuki kamwe hakumbatiwi
Makala na
Mangi kiongozi
Narumu machame
20/03/2022
View attachment 2158282
View attachment 2158283
View attachment 2158284
View attachment 2158285