Mbowe kwa kujua au kutokujua ameamua kuitumia Ibada ya Sadaka ya Shukrani kama sehemu ya mkutano wake wa siasa

Sorry siko interested na hizo siasa lakini sasa niseme tu mko so childish.
Kama vile ww ndio muanzilishi wa hilo kanisa nchini?
Na ubaya wake umeanza kuonekana baada ya mbowe kutolewa.
Yaani wkt mbowe yuko gerezani hakukuwa na chambuzi za kijinga kama hizi.

Lets say mko right, fungulieni kesi wahusika pelekeni mahakamani badala ya kulalama huku
Catchword ni fungulieni kesi wahusika. Very illogical and disorganized; pertur!
Watu huwa wanakuwa disciplined na jamii na siyo kesi. Mbowe akikosea ni kuna shida gani kuambiwa yuko hopelessly organized? If this is repetitive, why not we to say Mbowe's incorrigible!
 
Wala usitumie nguvu
Wala usihuzunike
Wala usiwalaumu
Wala usiwaonee wivu
Waache waendelee kufanya mambo yao. Maana kwa kufanya hivyo wanakuwa wamejitia alama kuwa wao ni watu wa namna gan!!

KKKT inakubali kutumika kuw kichaka cha wana siasa. Wasipoangalia watapoteza sifa nzuri waliokuwa nayo kwamba wao hawana chama.

Hebu angalia katika picha, nguo walizovalia. Hebu chunguza zaidi alama wanazoonesha ya vidole viwili. Tangu lini KKKT wakawa na ishara ya aina hiyo!!??

KKKT mjitathmini na kujichunguza. Vinginevyo mtatiwa alama na watu wanaoshuhudia.
Uko sahihi 2015 nilipita makanisa mengi ya ya KKKT Moshi nilishangaa yalikuwa na mabango makubwa eneo la kanisa karibu na mlango wa kuingia kanisani yanasomeka Pombe haitakiwi hapa

Nikauliza maana yake kwani watu huwa wameingia na pombe kanisani? wakasema Mgombea John Pombe Magufuli eneo hili haitakiwi kupewa kura!! Ni bango la kampeni

Ilikuwa kampeni kuwa karatasi ya kura ukiona jina Pombe usiipe kura mpe Lowasa KKKT mwenzetu

Anyway.kampeni za uchaguzi 2015 kilimanjaro makanisa mengi KKKT yalihusika moja kwa moja kuifanyia kampeni Chadema
 
Wachungaji wa mishahara hawawezi kuona athari hii ya kubrand Kanisa la Mungu/Yesu Kristo la KKKT kuwa sasa moja ya kazi zake ni kutumika kueneza siasa na harakati za kabila la Kichaga kuwa eti wao ni exceptional wa Makabila mengine zaidi ya 120 Tanzania. Na huu ujinga wao unaonekana kufanikiwa kwa kiwango cha kutisha. Kenya walikuwa wakimchekea Ruto na kuchukulia kimzaha alipokuwa anaendesha harakati zake za Kisiasa kupitia makanisani na sasa wanalipia gharama kubwa sana kujaribu kumzima.
 
FREEMAN MBOWE UMEANZA TENA

Leo jumapili Terehe 20/03/2022 Mwenyekiti wa chadema Ndugu Freeman Mbowe aliungana na familia yake na wafuasi wake kutoa sadaka ya SHUKURANI katika kanisa la KKKT Dayosisi ya Kaskazini, ushariki wa Nshara machame


View attachment 2158285

Sawa Kaka ni maisha tu ya Siasa usiogope tulia bado mbona Soon Misikiti na Makanisa yataanza kudai katiba MPYA

Longolongo za kulipweka hili is useless for now because yajayo yanatisha sana kwa utawala wa CCM

View attachment 2160657

Screenshot_2022-03-22-17-18-06-41_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Mw
Umemsahau enzi za Mwendazake akipewa madhabahu pale st.Peter alikuwa anasema nini?

Mwendazake alikuwa Rais wa JMT akipeleka ujumbe kwa Watanzania wote. Mbowe ni CDM na kwa wenye akili wa Wachaga zaidi. Na rudia wenye akili na Madhabahu za KKKT hazijawahi kuwa mali ya CDM au Wachaga ni mali ya Yesu Kristo.
 
Sisi wenye elimu, hiyo tunaita ni polite language. Naona imekupa comfort pamoja na makosa yote hayo ya lugha.
just because umehisi? Come on man hiyo nayo ni point ya kujiona umesoma?

Ni kitu cha kawaida sana kwa sisi ambao si washamba wa hivyo vitu
 
FREEMAN MBOWE UMEANZA TENA

Leo jumapili Terehe 20/03/2022 Mwenyekiti wa chadema Ndugu Freeman Mbowe aliungana na familia yake na wafuasi wake kutoa sadaka ya SHUKURANI katika kanisa la KKKT Dayosisi ya Kaskazini, ushariki wa Nshara machame

Kuna baadhi ya mambo yamenza kuonekana ambayo hayana dalili nzurii tuendako

1. Mbowe kwa kujua au kutokujua ameamua kulitumia tukio la sadaka ya shukrani kama sehemu ya mkutano wake wa siasa, akiwa na kundi la wanachama wake waliamua kwa makusudi kabisa kuvaa sare za chadema na wengine kuvaa kofia zisizo rasmi kanisani na kufanya ibada ambayo mavazi yao hayakuwa ya uchaji Mungu zaidi ya mavazi ya mikutano ya kisiasa (tazama ushahidi wa picha chini)

Tazama kianbatanisho cha picha za kanisani na nje ya lango kuu la kanisa

Mytake
1. Hivi leo mwenyekiti wa CCM Mhe Rais Samia Suluhu Hassan akisema anakwenda kutoa sadaka ya SHUKURANI msikitini na kuchukua maelfu ya wanachama wa CCM hivi dunia itasema nini?

2. Mbowe asidhani Mhe Rais Samia hajui anachofanya, narudia kusema acha wakati utaongea

USHAURI KWA KANISA KKKT
1. Askofu Mkuu wa kkkt Tanzania Dkt. Shoo ambae pia ni askofu wa dayosisi ya kaskazini ambako tukio hili liketokea leo tunaomba ujitafakari sana na mwenendo wa Mbowe ambae siku zote amekuwa akilitumia kanisa vibaya

-Mkuu wa jimbo la Hai Mchungaji msomi Biniel Maliyo usikubali jimbo lako kutwezwa na kutumiwa na wana siasa hata kama kuna shinikizo kutoka kwa Askofu wako simama katika
nafasi yako mana vyeo huja na kupita ila utukufu wa Mungu upo

- Sijawai kuona Mhe. Mbunge wa Hai Saashisha Mafuwe akienda kanisani na wanachama wa ccm wakiwa wamevaa nguo za kijani leo iweje tukio hili liwezekane kwa chadema ibadani?

2. Mbowe amekuwa akitumia kivuli cha kanisa kufanya siasa za hila mfano alipotoka gerezani alikwenda kanisani KKKT usharika wa Azania front na kuongea maneno ambayo hayakuwa ya kimadhabauni at all

3. Askofu Shoo anapaswa kutambua miongoni mwa waumini wa kkkt wapo pia wa vyama vingine leo ccm wakiamua kwenda kusali na mavazi ya kijani itakuwaje si ni vurugu?

USHAURI KWA MBOWE
Huu ni wakati wako wa kutulia na kutafakari hatima ya maisha yako kisiasa na kifamilia, unapotoka katika changamoto kubwa unashauriwa ujipe muda wa kutulia na kutafakari sana mana ni katika kipindi hiki unaweza kufanya mambo ya ajabu zaidi ukawa kituko zaidi, jipe muda tulia tafakari

USHAURI KWA WASAIDIZI WA RAIS SAMIA
Naomba mumshauri Mhe Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na dhamira yake nzuri ta kutengeneza mazingira wezeshe ya kufanya siasa nchini atambue wako binadamu kamwe hata ukiwatengeneza mazingira mazuri watayaharibu wenyewe kwa makusudi, ni wakati sasa wa Mhe Rais kuwa macho na watu wasiolitakia taifa mema.

Nyuki kamwe hakumbatiwi

Makala na
Mangi kiongozi
Narumu machame
20/03/2022

View attachment 2158282

View attachment 2158283

View attachment 2158284

View attachment 2158285
na huyu shetani wenu anafanya nini hapa anaimba au anacheza lizombe



 
FREEMAN MBOWE UMEANZA TENA

Leo jumapili Terehe 20/03/2022 Mwenyekiti wa chadema Ndugu Freeman Mbowe aliungana na familia yake na wafuasi wake kutoa sadaka ya SHUKURANI katika kanisa la KKKT Dayosisi ya Kaskazini, ushariki wa Nshara machame

Kuna baadhi ya mambo yamenza kuonekana ambayo hayana dalili nzurii tuendako

1. Mbowe kwa kujua au kutokujua ameamua kulitumia tukio la sadaka ya shukrani kama sehemu ya mkutano wake wa siasa, akiwa na kundi la wanachama wake waliamua kwa makusudi kabisa kuvaa sare za chadema na wengine kuvaa kofia zisizo rasmi kanisani na kufanya ibada ambayo mavazi yao hayakuwa ya uchaji Mungu zaidi ya mavazi ya mikutano ya kisiasa (tazama ushahidi wa picha chini)

Tazama kianbatanisho cha picha za kanisani na nje ya lango kuu la kanisa

Mytake
1. Hivi leo mwenyekiti wa CCM Mhe Rais Samia Suluhu Hassan akisema anakwenda kutoa sadaka ya SHUKURANI msikitini na kuchukua maelfu ya wanachama wa CCM hivi dunia itasema nini?

2. Mbowe asidhani Mhe Rais Samia hajui anachofanya, narudia kusema acha wakati utaongea

USHAURI KWA KANISA KKKT
1. Askofu Mkuu wa kkkt Tanzania Dkt. Shoo ambae pia ni askofu wa dayosisi ya kaskazini ambako tukio hili liketokea leo tunaomba ujitafakari sana na mwenendo wa Mbowe ambae siku zote amekuwa akilitumia kanisa vibaya

-Mkuu wa jimbo la Hai Mchungaji msomi Biniel Maliyo usikubali jimbo lako kutwezwa na kutumiwa na wana siasa hata kama kuna shinikizo kutoka kwa Askofu wako simama katika
nafasi yako mana vyeo huja na kupita ila utukufu wa Mungu upo

- Sijawai kuona Mhe. Mbunge wa Hai Saashisha Mafuwe akienda kanisani na wanachama wa ccm wakiwa wamevaa nguo za kijani leo iweje tukio hili liwezekane kwa chadema ibadani?

2. Mbowe amekuwa akitumia kivuli cha kanisa kufanya siasa za hila mfano alipotoka gerezani alikwenda kanisani KKKT usharika wa Azania front na kuongea maneno ambayo hayakuwa ya kimadhabauni at all

3. Askofu Shoo anapaswa kutambua miongoni mwa waumini wa kkkt wapo pia wa vyama vingine leo ccm wakiamua kwenda kusali na mavazi ya kijani itakuwaje si ni vurugu?

USHAURI KWA MBOWE
Huu ni wakati wako wa kutulia na kutafakari hatima ya maisha yako kisiasa na kifamilia, unapotoka katika changamoto kubwa unashauriwa ujipe muda wa kutulia na kutafakari sana mana ni katika kipindi hiki unaweza kufanya mambo ya ajabu zaidi ukawa kituko zaidi, jipe muda tulia tafakari

USHAURI KWA WASAIDIZI WA RAIS SAMIA
Naomba mumshauri Mhe Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na dhamira yake nzuri ta kutengeneza mazingira wezeshe ya kufanya siasa nchini atambue wako binadamu kamwe hata ukiwatengeneza mazingira mazuri watayaharibu wenyewe kwa makusudi, ni wakati sasa wa Mhe Rais kuwa macho na watu wasiolitakia taifa mema.

Nyuki kamwe hakumbatiwi

Makala na
Mangi kiongozi
Narumu machame
20/03/2022

View attachment 2158282

View attachment 2158283

View attachment 2158284

View attachment 2158285
kabla kumshauri MWAMBA kaa na mumeo mshauriane jinsi ya kukuzalisha kwa uzazi wa mpango afu akili zikikurudi ndo uje kanisani kama umebatizwa
 
just because umehisi? Come on man hiyo nayo ni point ya kujiona umesoma?

Ni kitu cha kawaida sana kwa sisi ambao si washamba wa hivyo vitu
Washamba......! You mean what? I remember the famous mythical winged divine horse, pegasus! Don't make a mix-up of the Trojan Horse for the Greek entering Troy!
Ukiambiwa kuna watu wanakuzidi ufahamu hapa JF, kubali yaishe na tafuta muda wa kuongeza ufahamu badala ya ubishi. Ndo maana hapa kuna thrd na fora (forums ???) nyingi ili uchague unakoweza. sasa wewe unavamia kila kitu. Pudor.

btw., soma signature hapo chini
 
NImesema andika Kiswahili, kwani ni kosa? Kwa nini unalazimisaha lugha usiyoiweza? Nahisi najaribu kukunja samaki mkavu.

Umeandika: That doesnt make you special man
Andika hivi: That doesn't make you a special person
Hii ni kwa lugha ya mtaani angalau! Nikiendelea sana makosa ni makubwa maana we don't make a special person!
😂 😂 😂 😂 haya wazungu na KIDHUNGU chenu pambaneni tuone wapi patavuja
 
FREEMAN MBOWE UMEANZA TENA

Leo jumapili Terehe 20/03/2022 Mwenyekiti wa chadema Ndugu Freeman Mbowe aliungana na familia yake na wafuasi wake kutoa sadaka ya SHUKURANI katika kanisa la KKKT Dayosisi ya Kaskazini, ushariki wa Nshara machame

Kuna baadhi ya mambo yamenza kuonekana ambayo hayana dalili nzurii tuendako

1. Mbowe kwa kujua au kutokujua ameamua kulitumia tukio la sadaka ya shukrani kama sehemu ya mkutano wake wa siasa, akiwa na kundi la wanachama wake waliamua kwa makusudi kabisa kuvaa sare za chadema na wengine kuvaa kofia zisizo rasmi kanisani na kufanya ibada ambayo mavazi yao hayakuwa ya uchaji Mungu zaidi ya mavazi ya mikutano ya kisiasa (tazama ushahidi wa picha chini)

Tazama kianbatanisho cha picha za kanisani na nje ya lango kuu la kanisa

Mytake
1. Hivi leo mwenyekiti wa CCM Mhe Rais Samia Suluhu Hassan akisema anakwenda kutoa sadaka ya SHUKURANI msikitini na kuchukua maelfu ya wanachama wa CCM hivi dunia itasema nini?

2. Mbowe asidhani Mhe Rais Samia hajui anachofanya, narudia kusema acha wakati utaongea

USHAURI KWA KANISA KKKT
1. Askofu Mkuu wa kkkt Tanzania Dkt. Shoo ambae pia ni askofu wa dayosisi ya kaskazini ambako tukio hili liketokea leo tunaomba ujitafakari sana na mwenendo wa Mbowe ambae siku zote amekuwa akilitumia kanisa vibaya

-Mkuu wa jimbo la Hai Mchungaji msomi Biniel Maliyo usikubali jimbo lako kutwezwa na kutumiwa na wana siasa hata kama kuna shinikizo kutoka kwa Askofu wako simama katika
nafasi yako mana vyeo huja na kupita ila utukufu wa Mungu upo

- Sijawai kuona Mhe. Mbunge wa Hai Saashisha Mafuwe akienda kanisani na wanachama wa ccm wakiwa wamevaa nguo za kijani leo iweje tukio hili liwezekane kwa chadema ibadani?

2. Mbowe amekuwa akitumia kivuli cha kanisa kufanya siasa za hila mfano alipotoka gerezani alikwenda kanisani KKKT usharika wa Azania front na kuongea maneno ambayo hayakuwa ya kimadhabauni at all

3. Askofu Shoo anapaswa kutambua miongoni mwa waumini wa kkkt wapo pia wa vyama vingine leo ccm wakiamua kwenda kusali na mavazi ya kijani itakuwaje si ni vurugu?

USHAURI KWA MBOWE
Huu ni wakati wako wa kutulia na kutafakari hatima ya maisha yako kisiasa na kifamilia, unapotoka katika changamoto kubwa unashauriwa ujipe muda wa kutulia na kutafakari sana mana ni katika kipindi hiki unaweza kufanya mambo ya ajabu zaidi ukawa kituko zaidi, jipe muda tulia tafakari

USHAURI KWA WASAIDIZI WA RAIS SAMIA
Naomba mumshauri Mhe Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na dhamira yake nzuri ta kutengeneza mazingira wezeshe ya kufanya siasa nchini atambue wako binadamu kamwe hata ukiwatengeneza mazingira mazuri watayaharibu wenyewe kwa makusudi, ni wakati sasa wa Mhe Rais kuwa macho na watu wasiolitakia taifa mema.

Nyuki kamwe hakumbatiwi

Makala na
Mangi kiongozi
Narumu machame
20/03/2022

View attachment 2158282

View attachment 2158283

View attachment 2158284

View attachment 2158285
index.jpg

Waitara ashiriki ibada ya Jumapili Kanisa la PEFA Gwitiryo - Sirari​

Naibu Waziri Mabula Aibukia Kanisani Na Kuhimiza Ulipaji Kodi Ya Ardhi​

index1.jpg

 
Suala hili linaonyesha mambo kadhaa makuu;
1 mwka 2020 uliibiwa sana.
2 CCM imeshikwa paya. Hali hii kwa CCM ilikuwando sehemu ya maisha ya viongozi wake wakuu, ila leo inafanywa na CHADEMA, mavi debe.
3 CCM inaendelea kuwagaa wa Tz kwa faida yake.

Ila wamekosea timing, wa Tz sasa washaichoka CCM ni vile tu inashikilia hazina yetu. CCM no treasury no power hata members at all.
 
Back
Top Bottom