Kididimo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 3,791
- 3,360
Hivi karibuni Mh. Mbowe aliweka wazi kuwa baadhi ya watu wanaumia, wanaonewa hawana uhuru wananungunika! Hii ni kauli akiwa mbele ya Mh. Rais wetu tar 9.12.19 pale Mwanza. Na aliomba maridhiano ya Kitaifa. Ukipitia maoni ya wengi mitandaoni, wanashutumu kauli ya Mbowe.
Hata hivyo, kwa maoni yangu, bado ninasisitiza,alikuwa sahihi. Mfano rahisi ni Uchaguzi wa Serikai za mitaa. uliopita. Nina jirani yangu Mwenyekiti wa mtaa - ccm amenisimulia anavyoshindwa kuunganisha watu wake, kisa manunguniko . Wanasema hawajamchagua ! Waliyemtaka aliondolewa jina . Huu ni mfano mdogo tuu. Siku za mwisho za Gadaffi ( inajua siyo mfano mzuri). Alilaumu raia wake kwa kukosa fadhila za kupewa bara bara nzuri,elimu na afya bure, niliozesha vijana wenu bure nk.
Leo mmeamua kuungana na makafiri Wazungu kuniua, nilijua hamtaweza kumbe sikuwasikiliza!!!! Manunguniko katika jamii zetu hata kama yatatoka kwa wachache,hukua na kupata waungaji mkono ambao huwa tishio mbeleni. Sipendi nchi yangu ifike huko, muda ni huu kama ali vyoshauri Mh. Mbowe.
Hata hivyo, kwa maoni yangu, bado ninasisitiza,alikuwa sahihi. Mfano rahisi ni Uchaguzi wa Serikai za mitaa. uliopita. Nina jirani yangu Mwenyekiti wa mtaa - ccm amenisimulia anavyoshindwa kuunganisha watu wake, kisa manunguniko . Wanasema hawajamchagua ! Waliyemtaka aliondolewa jina . Huu ni mfano mdogo tuu. Siku za mwisho za Gadaffi ( inajua siyo mfano mzuri). Alilaumu raia wake kwa kukosa fadhila za kupewa bara bara nzuri,elimu na afya bure, niliozesha vijana wenu bure nk.
Leo mmeamua kuungana na makafiri Wazungu kuniua, nilijua hamtaweza kumbe sikuwasikiliza!!!! Manunguniko katika jamii zetu hata kama yatatoka kwa wachache,hukua na kupata waungaji mkono ambao huwa tishio mbeleni. Sipendi nchi yangu ifike huko, muda ni huu kama ali vyoshauri Mh. Mbowe.