Nimemuona Freeman Mbowe mwenyekiti wa Chadema taifa akitumia gari la serkali (KUB) kwenye kampeni za udiwani maeneo mengi nchini, nikajiuliza sheria inasemaje wadau.......
Nimemuona Freeman Mbowe mwenyekiti wa Chadema taifa akitumia gari la serkali (KUB) kwenye kampeni za udiwani maeneo mengi nchini, nikajiuliza sheria inasemaje wadau.......
Nimemuona Freeman Mbowe mwenyekiti wa Chadema taifa akitumia gari la serkali (KUB) kwenye kampeni za udiwani maeneo mengi nchini, nikajiuliza sheria inasemaje wadau.......
Sio gari la serikali! mbowe ni kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani! kwa wadhifa wake amepewa gari! sioni tatizo lolote ni wivu tuu wa kike tuu!
Vipi ile thread yako ya lema kupigwa bado tunasubiri uturushie mapichaKwani kalichukua lini tena?