Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Nimesikia Watu Zaidi ya Kumi Sasa wakilaumu Kwa Nini Magereza siku hizi wanamwacha Mbowe free bila pingu na kuruhusu asalimiane na Watu? Hii imetokea siku chache baada ya wanachadema kuimba mahakamani huku watuhumiwa wakiwa wanafurahi.
Mzee Mmoja mstaafu anaishi jirani kwangu hapa ameenda mbali nakusema kitendo cha watuhumiwa kupeana mikono na wananchi huku wakitabasamu nikuonyesha dharau kwa viongozi nakuonyeaha kwamba adhabu waliyopewa ni ndogo.
Nikajiuliza wamepewa adhabu gani? Nadhani mnaelewa Hawa wazee wanaojihita wa system waliostaafu wanavyojionaga first class citizen na wao ndio waliosoma ujasusi sijui urusi sijui Israel nk. Kilichonishtua ni kusikia suala hili linataiwa kupelekwa Kwa Waziri nikamtolea uvuvi huyo Mzee nikamuuliza " wewe Mzee unajua umebakiza miaka mingapi kuishi?
Badala utubu unajiandaa kwenda kuzimu na dhambi zako? Sisi wazee tunapaswa kuongea maridhiano siyo chuki na mipango yakishetani.........naamini alinielewa na akisoma huu uzi utabaini nimekasirika na Naamini atorudia Tena kuongea utumbo Kwa kutumia retirement package yake. Sisi wazee tunachangia sana kuporomoa maadili ya nchi tumejaa ubinafsi.
Watu kama Hawa wanaotamani watoto wetu wawe jela siku Ndugu zao wakitiwa ndani ndo Huwa wanaopata kiarusi, binadamu tuna roho mbaya sana, tumeweka familia na matumbo mbele Hadi uzeeni.
Mkiona watuhumiwa wameongezewa pingu tambueni kamati ya fitna imekaa Kati, siku mkiona askari Magereza wamebadilika wakaondoa binadamu tambueni tabasamu la akina adamoo linawatesa wenye madaraka na wastaafu.
Tuna kila sababu kufunga na kuomba Hawa watu awamjui Mungu wanajua madaraka na Fedha , usione wanazungumzia uchawi uchawi upo kweli.
Usione uspika watu 60+ ni ishara Kwamba wanawaza Kinga wasishtakiwe, usine Naibu anachukua fomu hii ni ishara Kwamba tumekuwa na uchu wa madaraka kutekeleza usemi wa kufa kufaana.
Mzee Mmoja mstaafu anaishi jirani kwangu hapa ameenda mbali nakusema kitendo cha watuhumiwa kupeana mikono na wananchi huku wakitabasamu nikuonyesha dharau kwa viongozi nakuonyeaha kwamba adhabu waliyopewa ni ndogo.
Nikajiuliza wamepewa adhabu gani? Nadhani mnaelewa Hawa wazee wanaojihita wa system waliostaafu wanavyojionaga first class citizen na wao ndio waliosoma ujasusi sijui urusi sijui Israel nk. Kilichonishtua ni kusikia suala hili linataiwa kupelekwa Kwa Waziri nikamtolea uvuvi huyo Mzee nikamuuliza " wewe Mzee unajua umebakiza miaka mingapi kuishi?
Badala utubu unajiandaa kwenda kuzimu na dhambi zako? Sisi wazee tunapaswa kuongea maridhiano siyo chuki na mipango yakishetani.........naamini alinielewa na akisoma huu uzi utabaini nimekasirika na Naamini atorudia Tena kuongea utumbo Kwa kutumia retirement package yake. Sisi wazee tunachangia sana kuporomoa maadili ya nchi tumejaa ubinafsi.
Watu kama Hawa wanaotamani watoto wetu wawe jela siku Ndugu zao wakitiwa ndani ndo Huwa wanaopata kiarusi, binadamu tuna roho mbaya sana, tumeweka familia na matumbo mbele Hadi uzeeni.
Mkiona watuhumiwa wameongezewa pingu tambueni kamati ya fitna imekaa Kati, siku mkiona askari Magereza wamebadilika wakaondoa binadamu tambueni tabasamu la akina adamoo linawatesa wenye madaraka na wastaafu.
Tuna kila sababu kufunga na kuomba Hawa watu awamjui Mungu wanajua madaraka na Fedha , usione wanazungumzia uchawi uchawi upo kweli.
Usione uspika watu 60+ ni ishara Kwamba wanawaza Kinga wasishtakiwe, usine Naibu anachukua fomu hii ni ishara Kwamba tumekuwa na uchu wa madaraka kutekeleza usemi wa kufa kufaana.