Mbowe kutikisa Viwanja vya Kware Jumapili hii

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
116,441
215,215
Habari ndio kama mnavyoiona

- TumeHuruyaUchaguzi  - NoHateNoFear  - Chadema ( 457 X 640 ).jpg
 
Masikio ya Sabaya yote yatakuwa kwenye huo mkutano, anamvizia Mbowe aseme tunataka tume huru wamkamate kwa uchochezi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Fikiria kuwa hotuba za wapinzani zinavyopendwa na wanaCCM,wanawatuma agents wao kurekodi zote ili wafanye references za kilichoongelewa.Uzuri ujumbe unawafikia bila chenga.
Wapinzani ni watetezi wa haki,ukweli na uwazi,mambo haya ndiyo yanawafanya waendelee kupata uungaji mkono.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom