William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Kuna haja ya kufanya hivyo sasa kwani
Madiwani wa vijijini wengi elimu ndogo hawapewi posho wanahongwa dili zinapitishwa.
ONGEZEKO LA VYUO HALILINGANI NA NAFASI ZA AJIRA ZINAZOTENGENEZWA HIVYO ITAAJIRI WAHITIMU KIBAO maslai watajiimarishia halmashauri zina hela
Watasaidia kupunguza uonevu unaofanywa na watendaji wa kata na vijiji. Wamejijengea jela jeshi(migambo) na vimahakama
Wanamvuto kwa vijana na wapigakura wengi ni vijana
Naamini kutakuwa na muhitimu wa chuokikuu kila kata kufikia 2015.
Kutaingiza harakati za ukombozi mpya mpaka vijijini.
ITAONGEZA UMAARUFU WA SIASA NCHINI
Madiwani wa vijijini wengi elimu ndogo hawapewi posho wanahongwa dili zinapitishwa.
ONGEZEKO LA VYUO HALILINGANI NA NAFASI ZA AJIRA ZINAZOTENGENEZWA HIVYO ITAAJIRI WAHITIMU KIBAO maslai watajiimarishia halmashauri zina hela
Watasaidia kupunguza uonevu unaofanywa na watendaji wa kata na vijiji. Wamejijengea jela jeshi(migambo) na vimahakama
Wanamvuto kwa vijana na wapigakura wengi ni vijana
Naamini kutakuwa na muhitimu wa chuokikuu kila kata kufikia 2015.
Kutaingiza harakati za ukombozi mpya mpaka vijijini.
ITAONGEZA UMAARUFU WA SIASA NCHINI