Mbowe kupeta tena CHADEMA, ziara ya Zitto kwa Lissu ilikuwa muhimu kuliko uwepo wa Msigwa,Lema nk huko Nairobi

Hawa jamaa wana mwenye kiti dictator kweli ukimpinga tu wewe ni msaliti....
 
Kama watu wanakamatwa hadi whatssap basi Wakudadavuwa inatakiwa akamatwe akatoe ushahidi,huu ushenzi wa propaganda za Lumumba ni uhuni usiokubalika.

Huyo wa Kudadavua, kwa wanaomfahamu ni mtu wa namna gani? Maana sijawahi kusoma makala yake hata moja inayoonesha kuwa anaweza kuwa angalao hata na ile akili ya kiwango cha chimi kabisa ya mtu wa kawaida. Ni kweli kuwa hana akili kabisa kama anavyoandika au anajifanya kutokuwa na akili?
 
The most useless thread. Hakuna mtu wa chadema mwenye roho mbaya kiasi cha alichofanyiwa Lissu. You cannot run away from it mleta mada! Na shut up usikasirishe watu zaidi.
Get well Lissu. Mara muje na story hii mara ile na hakuna yenye mshiko.
Nani alikuambia kuwa Lissu alitaka kuwa rais? Ndiyo woga wenu? Watu waliomba sana kwamba mwenye kutoa habari ya Lissu ni Mbowe tu. Kwa hiyo acheni kumtajataja.
 
Uzuri wa cdm wapo makini sana kwenye maandishi yao, lakini hawa wa lumumba story zao za kimakinikia tu!!!
 
SIRIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO IPO KENYA KWA MUDA. MSIWAZE SANA ITARUDI NCHINI HIVI KARIBUNI. WANANCHI MSIWE NA SHAKA
 
Igwe wana JF!

Kwa wajuvi wa mambo tumeshayaona, Ni Freeman Mbowe tena uenyekiti Chadema. Wengi wenye mrengo wa Lissu ndani ya Chadema waliotaka mabadiliko ya kiuongozi ndoto yao imeyeyuka kama barafu inayochemka ndani ya sufuria. Nidhamu ya uoga imewajaa wote waliokuwa wakifikiria kupata uongozi mpya ndani ya Chadema hivi karibuni.

Mwanasiasa Zitto Kabwe bila ya kinyongo aliamua kwenda kumsalimia ndugu Tundu Lissu kule hospitalini Kenya pengine ndiye mtu pekee aliyeonyesha uchungu wa dhati kuliko jopo la watalii linaloongozwa na Msigwa na Lema ambao wamekuwa ni watu wa kupiga picha na kujirekodi huku wakikebehi watu kana kwamba wamekuwa raia wa Kenya. Picha zao za selfie na video ni kielelezo cha furaha zao kutokana na uhakika ya kwamba tishio lao ndani ya Chadema limeshindwa. Hakuna shaka kama Tundu Lissu angepata nafasi ya uenyekiti Chadema kundi hili la wanasiasa ''wajanja wajanja'' lingetoswa. Niliiona Chadema ambayo ingeshindana na CCM kwa hoja na sio Chadema hii inayotumia mtindo wa 'tekeu' ama 'katuni'...yaani mbinu ya masihara na vimbwanga. Naam, Pamoja na maungufu ya Tundu Lissu hivi karibuni lakini angalau angeibadilisha Chadema.

Kwa nini ilikuwa muhimu Zitto Kabwe kuonana na Tundu Lissu? kwa wasiojua miaka mitatu iliyopita Ndg.Zitto Kabwe alipitia madhila kama ya Lissu japo kwa mtindo tofauti, hawakufanikiwa kumdhuru kwani wazee wa Kigoma walikuwa makini. Zitto alipata kutamka hadharani ''i am not a pull over, hamuwezi kunifanya kama mlivyonfanya Wangwe'' na hapa mafia hao waliufyata na wakabakiwa na silaha moja tu ambayo ni Tundu Lissu. Lissu ndiye alitumwa kuhakikisha Zitto anavuliwa uanachama ili 'Sultani' abaki salama.

Huenda Lissu baada ya kumuona Zitto kule Nairobi alikumbuka mengi na poengine walishauriana mengi likiwamo suala la usalama binafsi wa Lissu.

Hoja hupingwa kwa hoja si viroja.
mwanaume mashine
 
Igwe wana JF!

Kwa wajuvi wa mambo tumeshayaona, Ni Freeman Mbowe tena uenyekiti Chadema. Wengi wenye mrengo wa Lissu ndani ya Chadema waliotaka mabadiliko ya kiuongozi ndoto yao imeyeyuka kama barafu inayochemka ndani ya sufuria. Nidhamu ya uoga imewajaa wote waliokuwa wakifikiria kupata uongozi mpya ndani ya Chadema hivi karibuni.

Mwanasiasa Zitto Kabwe bila ya kinyongo aliamua kwenda kumsalimia ndugu Tundu Lissu kule hospitalini Kenya pengine ndiye mtu pekee aliyeonyesha uchungu wa dhati kuliko jopo la watalii linaloongozwa na Msigwa na Lema ambao wamekuwa ni watu wa kupiga picha na kujirekodi huku wakikebehi watu kana kwamba wamekuwa raia wa Kenya. Picha zao za selfie na video ni kielelezo cha furaha zao kutokana na uhakika ya kwamba tishio lao ndani ya Chadema limeshindwa. Hakuna shaka kama Tundu Lissu angepata nafasi ya uenyekiti Chadema kundi hili la wanasiasa ''wajanja wajanja'' lingetoswa. Niliiona Chadema ambayo ingeshindana na CCM kwa hoja na sio Chadema hii inayotumia mtindo wa 'tekeu' ama 'katuni'...yaani mbinu ya masihara na vimbwanga. Naam, Pamoja na maungufu ya Tundu Lissu hivi karibuni lakini angalau angeibadilisha Chadema.

Kwa nini ilikuwa muhimu Zitto Kabwe kuonana na Tundu Lissu? kwa wasiojua miaka mitatu iliyopita Ndg.Zitto Kabwe alipitia madhila kama ya Lissu japo kwa mtindo tofauti, hawakufanikiwa kumdhuru kwani wazee wa Kigoma walikuwa makini. Zitto alipata kutamka hadharani ''i am not a pull over, hamuwezi kunifanya kama mlivyonfanya Wangwe'' na hapa mafia hao waliufyata na wakabakiwa na silaha moja tu ambayo ni Tundu Lissu. Lissu ndiye alitumwa kuhakikisha Zitto anavuliwa uanachama ili 'Sultani' abaki salama.

Huenda Lissu baada ya kumuona Zitto kule Nairobi alikumbuka mengi na poengine walishauriana mengi likiwamo suala la usalama binafsi wa Lissu.

Hoja hupingwa kwa hoja si viroja.
Kuna wakati matusi tunajitakia kwa kweli..pole sana
 
Back
Top Bottom