OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,189
- 103,708
Gazeti la Mwananchi ni dhaifu?linanukuliwa likieleza kuwa katika cabinet ya Mh.Mbowe inayotarajiwa kurekebisha ",Mbowe kupangua baraza kivuli la Mawaziri".....eti Mh.Kabwe na T.Lissu wanategemewa kutolewa ktk nafasi zao.Linawezekanaje huu ni utabiri wa kidhaifu,inawezekanaje watu wanaofanya vizuri ktk nafasi zao watolewe.Iv kuna waziri hata wa JK anayefanya vizuri kama hawa majamaa. Haingii akilini kum-Ngereja Mr.Silly Season. Tutumie nafasi hii pia kutoa mapendekezo yetu kwa Mh.Mbowe