Jana akiwa Arusha NMC, Mheshimiwa Mbowe alitoa kauli ifuatayo:-
"nakwenda kulifanyia mabadiliko baraza lake la mawaziri vivuli ili kuliandaa vizuri na kuwasilisha bajeti mbadala kwenye Bunge lijalo linalotarajiwa kukutana mwezi Juni".
Je ni nani ataendelea an nani atatishwa ili aendane na kasi ya mabadiliko ya JK?
"nakwenda kulifanyia mabadiliko baraza lake la mawaziri vivuli ili kuliandaa vizuri na kuwasilisha bajeti mbadala kwenye Bunge lijalo linalotarajiwa kukutana mwezi Juni".
Je ni nani ataendelea an nani atatishwa ili aendane na kasi ya mabadiliko ya JK?