Mbowe kuanza Ziara Mwanza Tarehe 14 Desemba!

Molemo

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
14,534
13,225
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe anatarajiwa kuanza ziara rasmi ya kichama katika mkoa wa Mwanza kuanzia tarehe 14 Desemba.

Taarifa kutoka Makao Makuu ya Chama Dar es Salaam na ofisi za chama Mkoani Mwanza zinasema kwamba ziara hiyo itakuwa na nia ya kuimarisha chama.

Kiongozi huyo anatarajiwa kuhutubia wanafunzi wa vyuo vikuu mkoani Mwanza ambao ni wanachama wa CHADEMA katika siku ya kwanza ya ziara yake.

Mkoa wa Mwanza ni kati ya ngome kuu za CHADEMA kanda ya ziwa na Mwenyekiti huyo amekuwa akiheshimika sana katika mkoa huo.

Source:Chademablog.
 
safi sanaaaa, mpaka mtaisoma tuu, pangeni ujuma sisi tunapangua tuanasonga mbele, goo gooo mbowe.
 
Magamba na Vijitamko uchwara ndio wajue mziki wa CHADEMA
 
Hahahhahahaaa hii cdm wababe kweli na watapitia mikoa yote ya watoa vitamko bada apo dk anenda lindi mbowe singida
 
Kiongozi Mkuu ni too local-waraka

angekuwa local sidhani kama cdm ingekuwa hivi leo,sidhani kama cdm ingeingia mitandaoni kwa hamasa kubwa hivi.sidhani kama angeweza kuweka system ya kunasa fitna za CCM zikiwa colluded na kina Zitto.unajua kwa nini hakuweza kui-face kamati kama angekuwa na hoja
 
Chadema wanapata wapi fedha za kuchezea hivi?

Hizo anazozikomalia ZZK kwamba chama hakijfanya ukaguzi zinatoka M...a..:closed_2:.a..k..:sad:....n...i kwako????? Acha uyahaya!!....na wewe unajisifu unakazi... hivi ukirudi nyumbani kwako watoto wako unawaambia unafanya kazi gani??
 
Chadema wanapata wapi fedha za kuchezea hivi?

Hapo ndipo mnatakiwa kujua kuwa CDM ya leo ni tofauti na vyama vya upinzani vilivyowahi kupita.......tutaenda tu sambamba na wezi ninyi... gooooooooooooooooooo mwenyekiti wangu mboweeeeeeeeeeeeee kayaunguze magamba yoteeeeeeeeeeee
 
Chadema wanapata wapi fedha za kuchezea hivi?

Kuwa mtulivu , kaulize CCM wakuwa nje siku 26 mbona hujauliza ? Kwanza wewe ni CCM unauliza mambo ya Chadema yanakuhusu nini ?I told you kwamba utakuja kuadhirika slowly you will get to learn
 
Wale wafanya mikakati ya maandamano njooni na Mwanza tuwaoneshe kazi!
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom