Mbowe, kiongozi wa uma asiye ju hadi leo ukimwi unaambukizwaje hafai kuwa mtumishi wa uma.

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Jun 4, 2011
7,789
8,914
Kwa kweli maneno ya mboye kwamba watu wamekuwa wanalipana posho kwa semina ambazo wanaelewa kila kitu. Utashangaa semina za ukimwi au hata magonjwa mengine ni nyingi saana na kila kukicha wanazungumizia jinsi ukimwi unavyo ambukizwa. Je ni kwamba mpaka leo hii kuna kiongozi wa serikali isiye jua ukimwi unaambukizwaje?
 
Kwa kweli maneno ya mboye kwamba watu wamekuwa wanalipana posho kwa semina ambazo wanaelewa kila kitu. Utashangaa semina za ukimwi au hata magonjwa mengine ni nyingi saana na kila kukicha wanazungumizia jinsi ukimwi unavyo ambukizwa. Je ni kwamba mpaka leo hii kuna kiongozi wa serikali isiye jua ukimwi unaambukizwaje?

Sure! semina hizi zimefundishwa sana maofisini, mashuleni hata mitaani.
Hadi watoto wa dalasa la pili wanafundishwa mashuleni.
Zinamaliza sana pesa za umma zipungue.
 
Kwa kweli maneno ya mboye kwamba watu wamekuwa wanalipana posho kwa semina ambazo wanaelewa kila kitu. Utashangaa semina za ukimwi au hata magonjwa mengine ni nyingi saana na kila kukicha wanazungumizia jinsi ukimwi unavyo ambukizwa. Je ni kwamba mpaka leo hii kuna kiongozi wa serikali isiye jua ukimwi unaambukizwaje?
nimefeli kuielewa thread yako bosi
 
Kwa kweli maneno ya mboye kwamba watu wamekuwa wanalipana posho kwa semina ambazo wanaelewa kila kitu. Utashangaa semina za ukimwi au hata magonjwa mengine ni nyingi saana na kila kukicha wanazungumizia jinsi ukimwi unavyo ambukizwa. Je ni kwamba mpaka leo hii kuna kiongozi wa serikali isiye jua ukimwi unaambukizwaje?

Ni Rais wa nchi gani huyu?
 
Sure! semina hizi zimefundishwa sana maofisini, mashuleni hata mitaani.
Hadi watoto wa dalasa la pili wanafundishwa mashuleni.
Zinamaliza sana pesa za umma zipungue.

Nyingi huwa zinaendeshwa na NGO!!
 
Na mimi najiuliza kama kweli hata hao donors wanaotoa fedha kwa hizi NGO zinazojisingizia kuendesha mapambano dhidi ya ukimwi hawana uchungu na fedha zao? Mwanzoni walidai wanakimbiza fedha hizo serikalini ili zisiliwe na wajanja, sasa hawa wenye NGO mbona sasa wamekuwa mchwa na waathirika wenyewe wanaishi maisha ya hatari huko Makete na kwingineko?
 
Unanchanganya!!!!!!!!!!!!!Hakuna uhusiano kati ya heading na content,heading kama vile unamponda,content kama vile unamsifia.
 
Kwa kweli maneno ya mboye kwamba watu wamekuwa wanalipana posho kwa semina ambazo wanaelewa kila kitu. Utashangaa semina za ukimwi au hata magonjwa mengine ni nyingi saana na kila kukicha wanazungumizia jinsi ukimwi unavyo ambukizwa. Je ni kwamba mpaka leo hii kuna kiongozi wa serikali isiye jua ukimwi unaambukizwaje?

Mkuu kabisa KAMANDOO, naweka maneno yako, na si ya kunukuu.
Najiuliza hii thread umeandika au umeandikiwa?
Maneno yako mbofu mbofu yatakufuata hadi kaburini.

[h=2]
icon1.png
Re: Wafadhili wa chadema[/h]

quote_icon.png
By KOMANDOO

WEWE NJINGA NINI, AU UMETUMWA NA NEPI?

MIMI NIMEKWAMBIA NINAFAHAMU YA CHICHIEMU, NA NIMEKUOROZESHEA HAPO CHINI. KWANZA WEWE NI KENGE TU.







quote_icon.png
By KOMANDOO

NATUMIA DADA YAKO KUFUKIRIA. YAPU NIMEWEKA YA CCM KWA HIYO UNATAKAJE? AU NEPI ATAKUMAINDI?

ANGALIA KIBARUA KISIJE OTA NYASI MAKE HAPA UKO KAZINI UNAINGIZA SIKU .

ORODHA NYINGINE YA WAFADHILI WA CCM NI HII HAPA.
1. TAKUKURU- HAWA NI WAFADHILI WAKUBWA SANA WA CCM HASAHASA KIPINDI CHA KAMPENI.
2. POLISI- HAWA PAMOJA NA KUISHI KWENYE VIBANDA KAMA BATA MZINGA, NI WAFADHILI WA CCM
3. TBC 1
4. TBC TAIFA
5. DAILY NEWS, HABARI LEO
6. NEC- HAWA NI WAFADHILI WAKUBWA SANA NA WASINGEKUWA HAWA CCM INGEKUA ISHAKUA KAMA ILIVYO KANU KWA SASA, HAWA NI WACHAKACHUAJI WAKUBWA, WANA PHD KATIKA MASWALA YA KUCHAKACHUA
7. REDETI- HAWA NI WATU WA PROPAGANDA ZA CCM.





quote_icon.png
By KOMANDOO

KAMA WEWE C CHAKULA YA MAGAMBA NI BAHATI. MIMI NAHISI WEWE NI CHAKULA YAO. BAADA YA KUTOKA KULIWA NA HAO MAGHAMBA BREAK YA KWANZA ILIKUWA NI KWENYE JF NDO MASHARITI YENYEWE HAYO NA BILA YA WEWE KUYATIMIZA KIBARUA KINGEOTA NYASI



La salaale!!!
Kwa mtaji huu wa matusi huyu jamaa aingie moja kwa moja Kamati Kuu Ya CHADEMA!!!!
 
Back
Top Bottom