white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,313
- 13,277
Hakuna kitu kama hicho!!ni suala la muda tu wataona aibu, utasikia DPP, amefanya yake, kwani mashinikizo wanayoyapata toka nje, ni makubwa sana, na jana USA, amesema!!Kwahiyo wanamtumia Mbowe kama chambo au? Sijaelewa!