masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,168
- Thread starter
- #21
Shigongo aliwahi sema siku moja kuwa limbowe ni lijanja na hilo linadhihirika Leo amemtumia Lowasa kama jembe la kupalilia shamba lake la CDM ili avune ruzuku nene.
Pole Lowasa, Kingunge na mijitu mingine iliyotoswa kwe mtumbwi wa vibwengo, Mbowe take yataenda kama kawaida kila nyie mmeanguka vibayaaaa!
Mbowe si mjanja kama unavyo fikiria, kinyume chake ana u naivety wa kijinga.
Na kwa kweli tatizo la elimu ndogo ndo tunaliona sasa.
Huwezi kuondoa msomi na strategist kama Dr Slaa wenye clear vision na ukaingiza watu wenye murky past kama Lowassa na ukategemea watu hawaoni hilo.
Pili uchu wa fedha za harakaharaka za wote Mbowe na Lowassa umekiweka rehani chama ambacho kingetakiwa kuysona matatizo ya nchi bila chenga chenga.
Kushindwa kwa Chadema sasa ni wazi, wasilalamike, you can fool machingas na mama ntilie lakini wenye vichwa vyso waliamua otherwise.