Elections 2015 Mbowe kabadili gia angani, ndege inaanguka!

Shigongo aliwahi sema siku moja kuwa limbowe ni lijanja na hilo linadhihirika Leo amemtumia Lowasa kama jembe la kupalilia shamba lake la CDM ili avune ruzuku nene.
Pole Lowasa, Kingunge na mijitu mingine iliyotoswa kwe mtumbwi wa vibwengo, Mbowe take yataenda kama kawaida kila nyie mmeanguka vibayaaaa!

Mbowe si mjanja kama unavyo fikiria, kinyume chake ana u naivety wa kijinga.
Na kwa kweli tatizo la elimu ndogo ndo tunaliona sasa.
Huwezi kuondoa msomi na strategist kama Dr Slaa wenye clear vision na ukaingiza watu wenye murky past kama Lowassa na ukategemea watu hawaoni hilo.

Pili uchu wa fedha za harakaharaka za wote Mbowe na Lowassa umekiweka rehani chama ambacho kingetakiwa kuysona matatizo ya nchi bila chenga chenga.

Kushindwa kwa Chadema sasa ni wazi, wasilalamike, you can fool machingas na mama ntilie lakini wenye vichwa vyso waliamua otherwise.
 
Mbowe si mjanja kama unavyo fikiria, kinyume chake ana u naivety wa kijinga.
Na kwa kweli tatizo la elimu ndogo ndo tunaliona sasa.
Huwezi kuondoa msomi na strategist kama Dr Slaa wenye clear vision na ukaingiza watu wenye murky past kama Lowassa na ukategemea watu hawaoni hilo.

Pili uchu wa fedha za harakaharaka za wote Mbowe na Lowassa umekiweka rehani chama ambacho kingetakiwa kuysona matatizo ya nchi bila chenga chenga.

Kushindwa kwa Chadema sasa ni wazi, wasilalamike, you can fool machingas na mama ntilie lakini wenye vichwa vyso waliamua otherwise.

Ukawa wamepata mafanikio sana kwenye hii move, nadhani Lipumba sasa anajuta kuuachia umwenyekiti CUF. CUF imefufuka ghafla huku Bara.

Ni mpumbavu tu asiyeweza kuona mafanikio haya.
 
Ukawa wamepata mafanikio sana kwenye hii move, nadhani Lipumba sasa anajuta kuuachia umwenyekiti CUF. CUF imefufuka ghafla huku Bara.

Ni mpumbavu tu asiyeweza kuona mafanikio haya.

Mafanikio tumeyaona baada ya Lowassa na makapi kuhania UKAWA!
Urais kwa Lowassa ndo hivyo tena, mzee Kingunge, Sumaye, Mgeja, Msindai, Guninita na hata vibaka wa kidiasa kina Tambwe Hiza watafutieni kazi ya kufanya.

Oppurtunists na waganga njaa kama Juma Mwapachu na Evelyn Sinare wapeni ofisi mtaa wa Ufipa ile waongozwe na Form Four leaver anayexiweza sana sarakasi za siasa za praimari.
 
Gazeti la Raia Mwema haliuziki bila kuandika UKAWA.
Hakuna mtu anaye ingia kwenye uchaguzi akitaka kushindwa kila mtu wakati wa kampeni lazima ahubiri kushinda. Ukishindwa unafanya analysis unasonga mbele.
Kipindi chote cha kampeni nilikuwa Sukumaland yaani Geita, Simiyu na Mwanza. Kura nimepigia mkoa wa Mwanza. Huku KAMPENI haikuwa ya sera wala chama. SLOGANI ya huku ni CHAGUA MAGUFULI MSUKUMA MWENZETU basi. Mimi nilidhani ni kwa wananzengo peke yake.
Kwa Mwanza mjini hasa maeneo ya SAAWA, BULALE, KISHIRI, SANGABUYE na vijiji vingine pembezoni mwa jij ilikuwa TUCHAGUE WASUKUMA WENZETU WAGENI WAKAGOMBEE KWAO... kwa kweli hali ilikuwa hivyo kote.

Baaada ya matokeo kutoka marafiki zangu wengi sana tena wengine wana PHD wasukuma wa Mwanza wote wanaimba hivyo hivyo tu Mwanza kwa wasukuma tu. Kwa walioshinda wanaona ni strategy nzuri lakini najiuliza kama mwanza ni kwa akina bageshi peke yake basi wasukuma walioko mpanda, usangu, kilosa wote nao warudi mwanza?
Mkuu ni vizuri tuache unafiki,Chadema/CUF /NCCR vyote ni vyama vya kikanda na kidini ,angalia matokeo halafu linganisha na CCM na Magufuli
 
Mafanikio tumeyaona baada ya Lowassa na makapi kuhania UKAWA!
Urais kwa Lowassa ndo hivyo tena, mzee Kingunge, Sumaye, Mgeja, Msindai, Guninita na hata vibaka wa kidiasa kina Tambwe Hiza watafutieni kazi ya kufanya.

Oppurtunists na waganga njaa kama Juma Mwapachu na Evelyn Sinare wapeni ofisi mtaa wa Ufipa ile waongozwe na Form Four leaver anayexiweza sana sarakasi za siasa za praimari.

Wazee wa bao la mkono
 
Gazeti la Raia Mwema leo lina Makala nzuri sana ya kudadisi matokeo ya uchaguzi wa mwaka huu.

Mbowe ali "m-procure" Lowassa dakika za mwisho kabisa katika kumpata mgombea wa urais baada ya Lowassa kukatwa nafasi hiyo huko CCM.

Wakati huo Mbowe akitamba kuwa amebadili gia angani, kitendo ambacho kimsingi hata kwenye ndege yenyewe hakiruhusiwi-maana ndege ni lazima itaanguka tu.

Mbaya Zaidi Lowassa mwenyewe aliingia UKAWA kwa gia moja tu, nayo ni kugombea urais, bila kutilia manani msimamo wa CHADEMA uliokibeba kwa miaka mingi, msimamo wa kupinga ufisadi.

Na Zaidi ya hapo msimamo huo wa kupinga ufisadi ulitokea dirishani, na haukuwa na mashiko katika kampeni.

La kuhuzunisha ni kuondoka kwa wapiganaji amhiri wa upinzani katika UKAWA, Dr Slaa na Prof Lipumba.

Ukijumlisha yote, kwa watu makini, uadilishaji huu wa gia angani umeleta matokeo yasiyo na tija kwa Upinzani , UKAWA na hata CHADEMA yenyewe.

Siyo siri, ndege ya CHADEMA inendelea kuelekea ardhini na kuanguka, matokeo yanajieleza.

CHADEMA is keep on going underground. They will soon discover gold
 
Gazeti la Raia Mwema leo lina Makala nzuri sana ya kudadisi matokeo ya uchaguzi wa mwaka huu.

Mbowe ali "m-procure" Lowassa dakika za mwisho kabisa katika kumpata mgombea wa urais baada ya Lowassa kukatwa nafasi hiyo huko CCM.

Wakati huo Mbowe akitamba kuwa amebadili gia angani, kitendo ambacho kimsingi hata kwenye ndege yenyewe hakiruhusiwi-maana ndege ni lazima itaanguka tu.

Mbaya Zaidi Lowassa mwenyewe aliingia UKAWA kwa gia moja tu, nayo ni kugombea urais, bila kutilia manani msimamo wa CHADEMA uliokibeba kwa miaka mingi, msimamo wa kupinga ufisadi.

Na Zaidi ya hapo msimamo huo wa kupinga ufisadi ulitokea dirishani, na haukuwa na mashiko katika kampeni.

La kuhuzunisha ni kuondoka kwa wapiganaji amhiri wa upinzani katika UKAWA, Dr Slaa na Prof Lipumba.

Ukijumlisha yote, kwa watu makini, uadilishaji huu wa gia angani umeleta matokeo yasiyo na tija kwa Upinzani , UKAWA na hata CHADEMA yenyewe.

Siyo siri, ndege ya CHADEMA inendelea kuelekea ardhini na kuanguka, matokeo yanajieleza.
Tulitabiri ndege itaanguka, imeanguka lakini majeruhi ni salama na wanalamba majeraha!!
Pole Mbowe
Pole Lowasa
Poleni wana CHADEMA, subirini mwaka 2025, si mbali.
 
Back
Top Bottom