Mbowe: Hatutompa muda Rais na hatukubali. Viongozi wa CHADEMA watakiwa kujiandaa kuanza mikutano nchi nzima

šŸ¤£
Huko juu kuna comment umeandika "Vita imeanza"....

Nimekujibu kwa kukuuliza ,je hiyo Vita ndio "endless demostrations to topple the regime"?!!!

Mh.Rais alisisitiza kuongea nanyi....

Alianza vyema kwa chombo cha mahakama KUWATOA NJE UAMSHO....JK na JPM hawakufanya hayo.....

Alianza vyema kwa chombo cha mahakama kumtoa NDANI MDUDE NYAGALI na Mh.Mbowe kuwa HURU na milioni 300 kuzitia "kibindoni".....

Hamkuwa na "timing nzuri".....

Sasa nyiye mnapotangaza hiyo "Vita" wenzenu WAWAPIGIE MAKOFI YA KUWAPONGEZA?!!!

#NchiKwanza
#SerikaliMbiliMilele
#KaziIendelee

Bwana Jumbe Brown tusiwekeane maneno mdomoni au kuchukua nukuu nje ya mada kutengeneza mlima kutokea kusipokuwapo. Ni kwa sababu hiyo huwa tunakuwa na ujasiri wa kawafunda wenzetu wengine.

Nimepitia comments zote sipaoni popote nilipoandika "vita" wala kumaanisha "vita" wala demonstrations achilia mbali unazoita wewe endless demonstrations.

Ustaarabu wetu unajulikana kuwa ukiombwa ushahidi unaleta ushahidi. Ukiukosa unatengua kauli.

Ninakazia, yako haya hapa chini in blue si kweli na haijulikani unayaokota wapi:

Huko juu kuna comment umeandika "Vita imeanza"....

Nimekujibu kwa kukuuliza ,je hiyo Vita ndio "endless demostrations to topple the regime"?!!!

Tukubaliane hapa kuwa Chadema inafanya shughuli zake kwenye mipangilio yake. Chadema inauelewa uwanja huo vilivyo. Haijastushwa na lolote hadi sasa.

Kimsingi Chadema iko vizuri.
 
Moja ya Message Mzee wangu alinipa ni kuwa, wanawake wengi kiasili ni watu wakarimu na wamaelewano, ila akikuchoka, hugeuka adui mbaya zaidi ya mwanaume na maamuzi yake huwezi yatarajia. Akigeuka from A haendi B, bali ni X, na humrudishi.

Samia toka alipoingia madarakani amekuwa fair sana kwa wapinzani, lakini walitaka mpanda kichwani na kutaka kumuonea namna fulani, kama mwanamke. I think it is a message, 'msinichezee, mimi ni Amir jeshi'. Kwa sasa nadhani watamuheshimu, kumfungulia mashtaka ya ugaidi Mkuu wa upinzani nchini, inahitaji ujasiri wa hali ya juu, hata Magufuli hakufika level hiyo.
Ndio wanawake tulivo huwa tuko fair Sana lakini fairness yetu jamii na wanaume huchukulia kuwa ni weakness matokeo tuna ku stahi siku tukifanya maamuzi na reaction huwezi amini kabisa hasa ka tuli ku treat fair.
Upinzani ulipewa fairness na kusikilizwa wakamuona mama ni dhaifu wakumchezea mbowe mwenyewe akawa na mihemko too much matamko kuwa hawataki kusikiliza wala kusubiri mdude ndo akasema atamnyoa kwa wembe uliomnyoa mwendazake sasa hayo matusi na reactions za watu mama akawa emotional akawanyoosha, mimi mwenyewe binafsi kukosa subira kwa mbowe na upinzani mara wa Force katiba na kutaka kuanzisha maandamano niliona ni kumjaribu Samia na kuleta fujo za nchi kukosa utulivu ikabidi amkamate mbowe Sasa wote kimya.
Hata kina gwajima wajiangalie waache kumchokoa Rais na kujiropokea kisa mwanamke watanyooshwe tu hamna namna, kwanini watu wakupande kichwani uwachekee?
 
Ndio wanawake tulivo huwa tuko fair Sana lakini fairness yetu jamii na wanaume huchukulia kuwa ni weakness matokeo tuna ku stahi siku tukifanya maamuzi na reaction huwezi amini kabisa hasa ka tuli ku treat fair.
Upinzani ulipewa fairness na kusikilizwa wakamuona mama ni dhaifu wakumchezea mbowe mwenyewe akawa na mihemko too much matamko kuwa hawataki kusikiliza wala kusubiri mdude ndo akasema atamnyoa kwa wembe uliomnyoa mwendazake sasa hayo matusi na reactions za watu mama akawa emotional akawanyoosha, mimi mwenyewe binafsi kukosa subira kwa mbowe na upinzani mara wa Force katiba na kutaka kuanzisha maandamano niliona ni kumjaribu Samia na kuleta fujo za nchi kukosa utulivu ikabidi amkamate mbowe Sasa wote kimya.
Hata kina gwajima wajiangalie waache kumchokoa Rais na kujiropokea kisa mwanamke watanyooshwe tu hamna namna, kwanini watu wakupande kichwani uwachekee?

Usisahau kuwa Chadema walifahamu haikuwapo nia ya kuwakutanisha na SSH. Msingi nzima ukiwa:

IMG_20210704_051559_619.jpg


Fitna dada za hao wanyoa viduku. Yaani mahafidhina.

Hata kama Chadema ingekubali kusubiria bila kujali ni muda gani, lengo lilikuwa ku prolong endlessly uwezekano huo ikihakikishwa Chadema uvumilivu unawashinda:


Nisiache kukuambia struggle kama hizi zina mengi ambayo hautayaona humu JF. Chadema ni taasisi yenye ofisi zake.
 
Usisahau kuwa Chadema walifahamu haikuwapo nia ya kuwakutanisha na SSH. Msingi nzima ukiwa:

View attachment 1874544

Fitna dada za hao wanyoa viduku. Yaani mahafidhina.

Hata kama Chadema ingekubali kusubiria bila kujali ni muda gani, lengo lilikuwa ku prolong endlessly uwezekano huo ikihakikishwa Chadema uvumilivu unawashinda:


Nisiache kukuambia struggle kama hizi zina mengi ambayo hautayaona humu JF. Chadema ni taasisi yenye ofisi zake.
AMEN
 

Pana wTu wanaumia mno kwa kufahamu jahazi la Chadema liko Imara:


Cc: My Next Thirty Years The Boss

Chadema haijawahi kutetereka na haitakaa itetereke.
 
Naona tumezoea maisha ya kibabe babe hivyo tunamlazimisha Samia awe mbabe. So sad! Yule aliyepita amesema hakuahidi, hana agenda hiyo na asipangiwe juu ya hilo huyu amesema apewe muda yet tunaona tabu kumpa huo muda? Chadema mnaturudisha wapi jamani?
At last amekipata alichokuwa akitaka
 
Naona tumezoea maisha ya kibabe babe hivyo tunamlazimisha Samia awe mbabe. So sad! Yule aliyepita amesema hakuahidi, hana agenda hiyo na asipangiwe juu ya hilo huyu amesema apewe muda yet tunaona tabu kumpa huo muda? Chadema mnaturudisha wapi jamani?

Unadhani kulikuwa na nia ya dhati mkuu? Hakukosea aliyetambua kuwa siasa ni mchezo mchafu:

"amesema apewe muda yet tunaona tabu kumpa huo muda? Chadema mnaturudisha wapi jamani?"

IMG_20210704_051559_619.jpg



Tambua kuwa haikuwapo na mkutano hapa. Maana kamili ya glasi tofauti bali mvinyo ule ule.
 
Chadema lazima iangaliwe kwa jicho la tatu, kama mwenyekiti wa chama alikuwa Katili wa kupanga mauaji ya watu wengine, je hao walio chini yake na wafuasi aliwafundisha kitu gani kama sio uhalifu na ujambazi?! inawezekana sio wote lkn baadhi yao lazima wafuatiliwe ili kubaini matendo yao na wachukuliwe hatua kali za kisheria.
Tunamshauri Msajili wa Vyama vya siasa afute huu mkusanyiko wa wahalifu walio jificha kwenye mwamvuli wa chama cha kisiasa.
Amani ya nchi yetu lazima italindwa kwa gharama yoyote ile, hatuko kuona kikundi cha watu wachache kinajaribu kuchezea amani ya nchi yetu.
kamwe hato chekewa mtu yeyote.
 
Baada ya Rais kusema kuwa anataka apewe muda ili ajenge uchumi kwanza na mambo ya katiba na mikutano ya hadahara itafata baadae.

Mh Mbowe leo amesema wazi kuwa hawatompa muda Rais samia na hawatakubali bali watafanya mikutano ya hadhara na watadai katiba kwa njia yeyote ile inayofaa na ikiwezekna wataingia barabarani kuidai katiba... na kwa sasa swala la katiba ni lazima watake wasitake ni lazima katiba ipatikane.

ā€œOmbi la Rais Sami kwamba tumpe muda kuhusu suala la katiba, hatupo tayari kumpa muda na natoa agizo kwa Viongozi Nchi nzima wajiandae kwa mikutano ya hadhara siku ambayo tutaitangaza".

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza leo kwenye Kongamano la BAVICHA Tabata, DSM.

"Tutaidai Katiba mpya asubuhi, mchana hadi usiku. Kama wanataka tukae mezani, turidhie. Kama wasiporidhia, tutakutana barabarani. Hatutaridhia kushiriki Uchaguzi wowote bila kuwa na Katiba mpya au Tume Huru ya Uchaguzi.

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza leo kwenye Kongamano la BAVICHA Tabata, DSM.

My take:
Chaedema na Mbowe wameamua kumjaribu Mama? Wataweza kweli?
Tunawasubiri barabarani
 
Ulitaka huo muda uwe ndani ya miezi minne hii? Si angalua wangeanza ku doubt huo muda baada hata mwaka mmoja. Haya wamefika wapi sasa hivi. Kila mmoja anawaona chadema wamefanya wrong calculations

Who's kila mmoja. Siyo kuwa wangesubiri mwaka mmoja mngesema wangesubiri miaka 2.

IMG_20210704_051559_619.jpg



wangesubiri 2 mngesema wangesubiri 3. Wangesubiri 3 mngesema wangesubiri 4.

Yaani Kwamba wangesubiri "n" mngesema wangesubiri "n+1" acheni hizo. Hayo kawaambieni ndege.
 
Chadema lazima iangaliwe kwa jicho la tatu, kama mwenyekiti wa chama alikuwa Katili wa kupanga mauaji ya watu wengine, je hao walio chini yake na wafuasi aliwafundisha kitu gani kama sio uhalifu na ujambazi?! inawezekana sio wote lkn baadhi yao lazima wafuatiliwe ili kubaini matendo yao na wachukuliwe hatua kali za kisheria.
Tunamshauri Msajili wa Vyama vya siasa afute huu mkusanyiko wa wahalifu walio jificha kwenye mwamvuli wa chama cha kisiasa.
Amani ya nchi yetu lazima italindwa kwa gharama yoyote ile, hatuko kuona kikundi cha watu wachache kinajaribu kuchezea amani ya nchi yetu.
kamwe hato chekewa mtu yeyote.
 
Kwaufupi anapigana na Rais kwa maneno mengine YUPO zaidi ya Rais.

Ameomba apewe muda wakati mtangulizi wake hata huo muda hakuomba lakini walikubali yaishe! Naona kama wamekosa ajenda hiyo pekee ndiyo iliyobakia si vibaya kuitafutia mkakati wenye busara issue ya katiba ni tatizo Katika nchi nyingi Duniani ingawa hata zilizofanikiwa kubadili katiba bado Kuna haja ya kuzibadili tena na tena.
 
Back
Top Bottom