nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,929
Upande mmoja kuna matakwa ya kiongozi na upande wa pili matakwa ya kikatiba.Ulitaka huo muda uwe ndani ya miezi minne hii? Si angalua wangeanza ku doubt huo muda baada hata mwaka mmoja. Haya wamefika wapi sasa hivi. Kila mmoja anawaona chadema wamefanya wrong calculations
Nini kinatakiwa kukiishi kati ya hivi viwili?
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app