Mbowe: Hatutarudia makosa ya 2020, hatukuwa na wagombea sahihi

Kiturilo

JF-Expert Member
Sep 27, 2021
709
2,858
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amekiri kuwa kushindwa kwa Chadema kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kulitokana na kuweka wagombea dhaifu kwenye nafasi mbalimbali ikiwemo uraisi na hivyo wamejifunza na uchaguzi ujao wataweka wagombea wenye nguvu na ushawishi watakaozunguka nchi nzima kunadi sera na ajenda za wanachi.

Mbowe amesema Chadema haijawahi kuishiwa ajenda za kupambana na ccm.


My take.

Watakiri yote waliyomsingizia mwendazake laana ya kumtukana imeanza kuwatafuna.

Kumbe waliweka wagombea dhaifu alafu wakasingizia wameibiwa kura na mwendazake. Hovyo kabisa.

 
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amekiri kuwa kushindwa kwa Chadema kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kulitokana na kuweka wagombea dhaifu kwenye nafasi mbalimbali ikiwemo uraisi na hivyo wamejifunza na uchaguzi ujao wataweka wagombea wenye nguvu na ushawishi watakaozunguka nchi nzima kunadi sera na ajenda za wanachi.

Mbowe amesema Chadema haijawahi kuishiwa ajenda za kupambana na ccm.


My take.

Watakiri yote waliyomsingizia mwendazake laana ya kumtukana imeanza kuwatafuna.

Kumbe waliweka wagombea dhaifu alafu wakasingizia wameibiwa kura na mwendazake. Hovyo kabisa.

Umepata wapi uongo huu?
 
Kabla ya uchaguzi Lissu alikri mojawapo ya sababu kubwa ya wagombea wa CHADEMA kuchujwa na kuwekewa pingamizi ni umbumbumbu wa kushindwa kujaza fomu. Akawaasa CHADEMA wawaelimishe wagombea namna ya kujaza fomu.

CHADEMA ikashiriki katika mchakato wa maandalizi ya uchaguzi kupitia tume ya uchaguzi. Wenzao CCM wakawaajiri wanasheria kibao kuwaelimisha na kuwaongoza wagombea wao namna ya kujaza fomu. CHADEMA wao wakalisahau hilo pamoja na Lissu kuonya kabla, na kuinvest kupiga propaganda JF. Matokeo yake wagombea waliowaokoteza wakawekewa pingamizi la kushindwa kujaza fomu kwa mujibu wa kanuni ambazo CHADEMA walishiriki kuzitengeneza na kuridhia.

Badala ya kukiri udhaifu wakakimbilia social media kupiga kelele sababu walijua hata wakienda mahakamani msimamo halali wa sheria utawapiga chini. Sishangai Mbowe kukiri.
 
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amekiri kuwa kushindwa kwa Chadema kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kulitokana na kuweka wagombea dhaifu kwenye nafasi mbalimbali ikiwemo uraisi na hivyo wamejifunza na uchaguzi ujao wataweka wagombea wenye nguvu na ushawishi watakaozunguka nchi nzima kunadi sera na ajenda za wanachi.

Mbowe amesema Chadema haijawahi kuishiwa ajenda za kupambana na ccm.


My take.

Watakiri yote waliyomsingizia mwendazake laana ya kumtukana imeanza kuwatafuna.

Kumbe waliweka wagombea dhaifu alafu wakasingizia wameibiwa kura na mwendazake. Hovyo kabisa.

Screenshot_20220408_201741.jpg

Maeneo mengi vs Maeneo Kadhaa au unapotosha maksudi tu
 
Kabla ya uchaguzi Lissu alikri mojawapo ya sababu kubwa ya wagombea wa CHADEMA kuchujwa na kuwekewa pingamizi ni umbumbumbu wa kushindwa kujaza fomu. Akawaasa CHADEMA wawaelimishe wagombea namna ya kujaza fomu.

CHADEMA ikashiriki katika mchakato wa maandalizi ya uchaguzi kupitia tume ya uchaguzi. Wenzao CCM wakawaajiri wanasheria kibao kuwaelimisha na kuwaongoza wagombea wao namna ya kujaza fomu. CHADEMA wao wakalisahau hilo pamoja na Lissu kuonya kabla, na kuinvest kupiga propaganda JF. Matokeo yake wagombea waliowaokoteza wakawekewa pingamizi la kushindwa kujaza fomu kwa mujibu wa kanuni ambazo CHADEMA walishiriki kuzitengeneza na kuridhia.

Badala ya kukiri udhaifu wakakimbilia social media kupiga kelele sababu walijua hata wakienda mahakamani msimamo halali wa sheria utawapiga chini. Sishangai Mbowe kukiri.
So tokea 1995 tunajua kujaza fomu ila 2020 ndio 90% ya wagombea hawajui kujaza fomu zile zile walizojaza kwa chaguzi zilizopita??
 
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amekiri kuwa kushindwa kwa Chadema kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kulitokana na kuweka wagombea dhaifu kwenye nafasi mbalimbali ikiwemo uraisi na hivyo wamejifunza na uchaguzi ujao wataweka wagombea wenye nguvu na ushawishi watakaozunguka nchi nzima kunadi sera na ajenda za wanachi.

Mbowe amesema Chadema haijawahi kuishiwa ajenda za kupambana na ccm.


My take.

Watakiri yote waliyomsingizia mwendazake laana ya kumtukana imeanza kuwatafuna.

Kumbe waliweka wagombea dhaifu alafu wakasingizia wameibiwa kura na mwendazake. Hovyo kabisa.

Unajitekenya mwenyewe, unacheka mwenyewe

Unawezaje kushinda uchaguzi mgombea mwenzako ana kura 3000 kila kata halafu ndio muanze kupigiwa kura halali?
 
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amekiri kuwa kushindwa kwa Chadema kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kulitokana na kuweka wagombea dhaifu kwenye nafasi mbalimbali ikiwemo uraisi na hivyo wamejifunza na uchaguzi ujao wataweka wagombea wenye nguvu na ushawishi watakaozunguka nchi nzima kunadi sera na ajenda za wanachi.

Mbowe amesema Chadema haijawahi kuishiwa ajenda za kupambana na ccm.


My take.

Watakiri yote waliyomsingizia mwendazake laana ya kumtukana imeanza kuwatafuna.

Kumbe waliweka wagombea dhaifu alafu wakasingizia wameibiwa kura na mwendazake. Hovyo kabisa.

Acheni Ujinga hapo Lumumba kujifariji Kama Msukuma darasa la Saba anaweza kujaza fomu za kijinga tuu hizo washindwe wagombea wasomi wa Chadema?
Hakuna uchaguzi duniani wenye lengo la kuengua wagombea ili abakie mmoja apite bila kupingwa. Kwa mujibu wa Polepole CCM Kuna Wahuni na mtake msitake ninyi Wahuni KATIBA mpya mtainyaaa.
 
So tokea 1995 tunajua kujaza fomu ila 2020 ndio 90% ya wagombea hawajui kujaza fomu zile zile walizojaza kwa chaguzi zilizopita??

..2020 Tume iliengua wagombea wengi wa upinzani kuliko 1995 ambapo tulirudisha mfumo wa vyama vingi.

..Kitu cha ajabu kabisa ni kwamba hata Mzee Juma Duni Haji, mwenyekiti wa sasa wa ACT, mtu mwenye uzoefu wa kushiriki chaguzi mbalimbali hapa nchini, alienguliwa na Tume ktk uchaguzi wa 2020.
 
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amekiri kuwa kushindwa kwa Chadema kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kulitokana na kuweka wagombea dhaifu kwenye nafasi mbalimbali ikiwemo uraisi na hivyo wamejifunza na uchaguzi ujao wataweka wagombea wenye nguvu na ushawishi watakaozunguka nchi nzima kunadi sera na ajenda za wanachi.

Mbowe amesema Chadema haijawahi kuishiwa ajenda za kupambana na ccm.


My take.

Watakiri yote waliyomsingizia mwendazake laana ya kumtukana imeanza kuwatafuna.

Kumbe waliweka wagombea dhaifu alafu wakasingizia wameibiwa kura na mwendazake. Hovyo kabisa.

Kwa kauli hiyo MBOWE anamtumia ujumbe gani Lissu?
 
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amekiri kuwa kushindwa kwa Chadema kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kulitokana na kuweka wagombea dhaifu kwenye nafasi mbalimbali ikiwemo uraisi na hivyo wamejifunza na uchaguzi ujao wataweka wagombea wenye nguvu na ushawishi watakaozunguka nchi nzima kunadi sera na ajenda za wanachi.

Mbowe amesema Chadema haijawahi kuishiwa ajenda za kupambana na ccm.


My take.

Watakiri yote waliyomsingizia mwendazake laana ya kumtukana imeanza kuwatafuna.

Kumbe waliweka wagombea dhaifu alafu wakasingizia wameibiwa kura na mwendazake. Hovyo kabisa.

Huwa sipendi kuingilia hoja za wajinga lakini kwa upotoshaji huu kuunyamazia utakuwa ujinga pia.
Hiyo habari uliyo quote ni wapi ametaja Urais?
Pia hajasema sababu ya kushindwa, bali kakiri kuwa kuna baadhi ya wagombea ubunge na udiwani hawakuwa bora, jee la ajabu ni nini?
Hivi unawagombea 250 na kuna wagombea 20 sio bora jee ukikiri ni makosa au ukomavu?
Hivi hizi hoja za kijinga za kuokoteza maneno kisha mnaweka yenu hamjui ndio mlivyo haribu ile credibility ya JF iliyokuwapo miaka ile ya awali ambapo iliheshimika mpaka nje ya mipaka ya nchi?
Acheni ujinga bwana!
 
Chadema pamoja na kelele zote zile ila kujaza tu fomu hawawezi.

Sasa mtu asiyeweza kujaza fomu wa nini??

Ndio ataweza kufanya maamuzi magumu kwa niaba ya wananchi??
 
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amekiri kuwa kushindwa kwa Chadema kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kulitokana na kuweka wagombea dhaifu kwenye nafasi mbalimbali ikiwemo uraisi na hivyo wamejifunza na uchaguzi ujao wataweka wagombea wenye nguvu na ushawishi watakaozunguka nchi nzima kunadi sera na ajenda za wanachi.

Mbowe amesema Chadema haijawahi kuishiwa ajenda za kupambana na ccm.


My take.

Watakiri yote waliyomsingizia mwendazake laana ya kumtukana imeanza kuwatafuna.

Kumbe waliweka wagombea dhaifu alafu wakasingizia wameibiwa kura na mwendazake. Hovyo kabisa.

Acha uwongo. Tazama alichokisema:

Mwanza. Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe amekiri kuwa walikuwa na baadhi ya wagombea ambao hawakuwa wakikubalika kwenye maeneo waliyogombea nafasi mbalimbali ikiwemo ubunge na madiwani katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.

Pia, amesema kwa sasa falsafa zake za kisiasa zinakwenda sawa na zile za aliyekuwa Spika wa Baraza la Wawakilishi Marekani, Thomas "Tip" O'Neil Jr.

Amesema O'Neil kupitia kitabu chake cha 'All Politics is Local' amesema siri za ushindi za chama cha siasa ambazo ndizo anazutimia kuongoza mapambano ya kushika dola nchini.

Amezitaja falsafa hizo kuwa ni chama kupata mgombea sahihi na nayekubalika kwa wapiga kura.

"Nikiri kuna maeneo mengi tulikuwa na wagombea sahihi, lakini kuna maeneo kadhaa tulikuwa na wagombea dhaifu, huo ni ukweli na haupingiki kwa sababu waswahili wanasema wali wa kushiba unaonekana kwenye sahani," amesema Mbowe.

Ametaja jambo la pili kuwa ni chama kuwa na ajenda ya kuwashawishi wanachi kukichagua, ambapo kwa upande wa Chadema, Mbowe amesema hakijawahi kukosa ajenda ya kushindana na Chama tawala-CCM.

ADVERTISEMENT

"Ilani yetu ya uchaguzi ilikuwa bora kwa sababu imefanyiwa utafiti," amesema.

Mambo mengine ambayo Mbowe ameyataja ni kuwa na uongozi imara na rasilimali fedha ambapo kwa sasa chama kinatengeneza miundombinu rafiki ikiwemo kuwekeza kwa vijana na kukuza teknolojia kutoka analojia kwenda dijitali.

"Sasa hivi wanachama wa Chadema ni ambao hawazidi umri wa miaka 45 hii ni dalili nzuri kwamba, upinzani utakuwa imara zaidi lakin pia tunapambana kuhakikisha kila kitu tunachokifanya kinafanyika kidijitali," amesema Mbowe.

Kiongozi huyo amesema kikao cha Kamati ya Utendaji ya Chadema Kanda ya Victoria kimeafiki kuwa kila Jumamosi kuwa siku ya kuvaa sare ya Chama hicho kwa wanachama wake.

"Tunatambua kuwa wana Chadema walikuwa wameshaanza kusahau hadi kuvaa sare, lakini sasa wanachama wa Chadema watavaa sare kila Jumamosi ili kuongeza motisha na idadi ya wafuasi wetu," amesisitiza.
 
Back
Top Bottom