manga mseke
JF-Expert Member
- Jan 30, 2015
- 470
- 90
Nilimsikia mbowe alivyokua anahojia na mwandishi yule kwa kweli niliona kma vile kapoteza kumbukumbu
Unaweza kumtofautisha. Muhongo na lowasa?
Au mwakyembe na sumaye ujinga uluopitiliza ni nyumbu tu ndio anaweza kubaliana nae
Unaweza kumtofautisha. Muhongo na lowasa?
Au mwakyembe na sumaye ujinga uluopitiliza ni nyumbu tu ndio anaweza kubaliana nae