Uchaguzi 2020 Mbowe: Hatuendi kwenye uchaguzi kuomba kuwa Chama Kikuu cha Upinzani, tunatafuta dola

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Mhe. Freeman Mbowe amesema, kuna baadhi ya vyama vya siasa na wanasiasa hasa wanaCCM wanasema tuachane na Urais tujiandae kwa Ubunge na Udiwani, Mbowe anasema stage ya kuwa chama kikuu cha Upinzani wameshaipita wanaingia kwenye uchaguzi mkuu kutafuta kushika dola.

"Hatuendi kwenye uchaguzi kuomba kuwa Chama kikuu cha upinzani, sisi ni Chama kikuu cha upinzani, tunakwenda kwenye Uchaguzi kutafuta dola. Hivyo vyama vingine vinakwenda kutafuta wabunge na madiwani" M/kiti wa @ChademaTz Mhe. @freemanmbowetz.
Tume gani itakutangaza Mbowe?
 
Si walisema bila tume huru hawatashiriki uchaguzi wowote? Je imeshapatikana?
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Mhe. Freeman Mbowe amesema, kuna baadhi ya vyama vya siasa na wanasiasa hasa wanaCCM wanasema tuachane na Urais tujiandae kwa Ubunge na Udiwani, Mbowe anasema stage ya kuwa chama kikuu cha Upinzani wameshaipita wanaingia kwenye uchaguzi mkuu kutafuta kushika dola.

"Hatuendi kwenye uchaguzi kuomba kuwa Chama kikuu cha upinzani, sisi ni Chama kikuu cha upinzani, tunakwenda kwenye Uchaguzi kutafuta dola. Hivyo vyama vingine vinakwenda kutafuta wabunge na madiwani" M/kiti wa @ChademaTz Mhe. @freemanmbowetz.
 
Mimi nalipwa buku kwa siku.
Wewe unalipwa kiasi gani ?
Mkuu, pole, lakini ndio sehemu ya kujipatia ridhiki pia, Mimi buana silipwi chochote! Na sina mkataba na Chama chochote, Ila kuna Wakati nafanyaga ili kulipiza tu mihasira ya 2015 jinsi Mbowe alinivuruga Mie,

Sina Chama na hakuna Chama cha kunilipa Kwa sababu najitoshereza, ninikila kitu, Ila Mbowe aliuvunja Sana moyo wangu, niliamua kuwa mshabiki wa Magufuli na wenginewe ambao hata Chadema Wapo, Ila sina chama
 
Bali mnaenda kufanya nini?!
Tume Huru ipo wapiKushika dola ndio nini?
Mmejipanga kweli?

Kama uchaguzi mwaka 2015 uliporwa mchana kweupe kule Zenji na Jecha akapindua meza kutokea mafichoni, Tume hii ya sasa haitokaa impe dola mgombea yeyote wa urais kutokea upinzani. The sad news ni kwamba hata Mbowe analifahamu hili vyema sana lakini anawahadaa wapiga kura wake.

Kinachofanyika ni CHADEMA kusimamisha mgombea uraisi ili hamasa iwe kubwa, apate kura nyingi, wabunge wapatikane wengi kidogo na mtonyo wa ruzuku uwe mnene as well

ili hilo lifanikiwe, Mbowe anapaswa kuacha ubinafsi na wasimamishe mgombea urais kipenzi cha waTZ wengi. Aking’ang’ania apitishwe yeye inaweza kuwa kosa kubwa
 
Bali mnaenda kufanya nini?!
Tume Huru ipo wapi
Kushika dola ndio nini?
Mmejipanga kweli?
Upinzani kuweni serious msifanye mambo kwa mazoea
Vyama vya upinzani 20 hamuelewani mtawezaje kushinda?
My thought....
Bora uanze kujiuza huna thought zozote umejawa na umesikini wa fikra wewe bikra wa maendeleo
 
Konyagi imepungua kooni mpeni nyingine.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Mhe. Freeman Mbowe amesema, kuna baadhi ya vyama vya siasa na wanasiasa hasa wanaCCM wanasema tuachane na Urais tujiandae kwa Ubunge na Udiwani, Mbowe anasema stage ya kuwa chama kikuu cha Upinzani wameshaipita wanaingia kwenye uchaguzi mkuu kutafuta kushika dola.

"Hatuendi kwenye uchaguzi kuomba kuwa Chama kikuu cha upinzani, sisi ni Chama kikuu cha upinzani, tunakwenda kwenye Uchaguzi kutafuta dola. Hivyo vyama vingine vinakwenda kutafuta wabunge na madiwani" M/kiti wa @ChademaTz Mhe. @freemanmbowetz.
 
Back
Top Bottom