Uchaguzi 2020 Mbowe: Hatuendi kwenye uchaguzi kuomba kuwa Chama Kikuu cha Upinzani, tunatafuta dola

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Mhe. Freeman Mbowe amesema, kuna baadhi ya vyama vya siasa na wanasiasa hasa wanaCCM wanasema tuachane na Urais tujiandae kwa Ubunge na Udiwani, Mbowe anasema stage ya kuwa chama kikuu cha Upinzani wameshaipita wanaingia kwenye uchaguzi mkuu kutafuta kushika dola.

"Hatuendi kwenye uchaguzi kuomba kuwa Chama kikuu cha upinzani, tayari sisi ni Chama kikuu cha upinzani, tunakwenda kwenye Uchaguzi kutafuta dola. Hivyo vyama vingine vinakwenda kutafuta wabunge na madiwani" M/kiti wa @ChademaTz Mhe. @freemanmbowetz.
 
Nakuona Quinine Dihydrochloride, kumhusu huyu Disco Joker Wala hanishangazi. Janjajanja yake ya kuchezesha maneno juu ya vichwa vibovu aliitoa kipindi KILE AKIBADILISHA GIA angani...sembuse kipindi hk HAKUNA mawimbi,Mana Membe hatishi lolote.

MKAANGA CHAPATI huyo Hana jipya kwani kaumbuliwa vibaya na kina LIJUALIKALI na kuanikwa upenuni kiasi Cha kuihoji CREDIBILITY Yake......

JANJAJANJA TU in town
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Mhe. Freeman Mbowe amesema, kuna baadhi ya vyama vya siasa na wanasiasa hasa wanaCCM wanasema tuachane na Urais tujiandae kwa Ubunge na Udiwani, Mbowe anasema stage ya kuwa chama kikuu cha Upinzani wameshaipita wanaingia kwenye uchaguzi mkuu kutafuta kushika dola.

"Hatuendi kwenye uchaguzi kuomba kuwa Chama Kikuu cha Upinzani, tayari sisi ni Chama Kikuu cha Upinzani, tunakwenda kwenye uchaguzi kutafuta Dola." Mhe. @freemanmbowetz.
Kule Dodoma , Mbowe aliumia kwa kupigwa au kwa ulevi ?
 
Bali mnaenda kufanya nini?!
Tume Huru ipo wapi
Kushika dola ndio nini?
Mmejipanga kweli?
Upinzani kuweni serious msifanye mambo kwa mazoea
Vyama vya upinzani 20 hamuelewani mtawezaje kushinda?
My thought....
Tatizo ni kwamba wananchi hawapo tayari kwa mabadiliko.
 
Bali mnaenda kufanya nini?!
Tume Huru ipo wapi
Kushika dola ndio nini?
Mmejipanga kweli?
Upinzani kuweni serious msifanye mambo kwa mazoea
Vyama vya upinzani 20 hamuelewani mtawezaje kushinda?
My thought....
Vyama gani 20, hivyo vya kwenye briefcase.
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Mhe. Freeman Mbowe amesema, kuna baadhi ya vyama vya siasa na wanasiasa hasa wanaCCM wanasema tuachane na Urais tujiandae kwa Ubunge na Udiwani, Mbowe anasema stage ya kuwa chama kikuu cha Upinzani wameshaipita wanaingia kwenye uchaguzi mkuu kutafuta kushika dola.

"Hatuendi kwenye uchaguzi kuomba kuwa Chama kikuu cha upinzani, sisi ni Chama kikuu cha upinzani, tunakwenda kwenye Uchaguzi kutafuta dola. Hivyo vyama vingine vinakwenda kutafuta wabunge na madiwani" M/kiti wa @ChademaTz Mhe. @freemanmbowetz.
aiseee hii kali
 
Back
Top Bottom