Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Ndugu zangu,
Kuanzia mwaka 2005 kulizuka wimbi la vijana kuingia kwenye harakati za kisiasa hususani waliomaliza vyuo ambao walikuwa wameajiriwa serikalini na sekta binafsi.Baadhi yao walikuwa wameshindwa kumaliza vyuo kwa sababu mbalimbali kwa mfano John Mnyika.
Vijana wengi waliacha kazi ya ualimu na kujikita kwenye siasa wakilenga kupata udiwani,ubunge nk.baadhi yao walifanikiwa kama akina Boniface Jacob,Silinde nk.lakini kundi kubwa halijafanikiwa hili linaongozwa na akina Mkisi,Pamba nk.
Mbowe,fahamu ya kuwa wengi wa walioacha ajira serikalini na kutofanikiwa kwenye siasa wana hali ngumu kiuchumi.Wamejawa na hasira usipokuwa mkweli kwa kuwashauri watafute cha kufanya mkono uende kinywani uenyekiti wako haupo salama.Watakuuza ukiwa hapo juu kumbuka "njaa haina baunsa" na wala "hakuna mkate mgumu mbele ya chai"
Matusi mitandaoni au kuitakia nchi mabaya havitawakwamua kiuchumi na badala yake wachape kazi.
Nawasilisha
Kuanzia mwaka 2005 kulizuka wimbi la vijana kuingia kwenye harakati za kisiasa hususani waliomaliza vyuo ambao walikuwa wameajiriwa serikalini na sekta binafsi.Baadhi yao walikuwa wameshindwa kumaliza vyuo kwa sababu mbalimbali kwa mfano John Mnyika.
Vijana wengi waliacha kazi ya ualimu na kujikita kwenye siasa wakilenga kupata udiwani,ubunge nk.baadhi yao walifanikiwa kama akina Boniface Jacob,Silinde nk.lakini kundi kubwa halijafanikiwa hili linaongozwa na akina Mkisi,Pamba nk.
Mbowe,fahamu ya kuwa wengi wa walioacha ajira serikalini na kutofanikiwa kwenye siasa wana hali ngumu kiuchumi.Wamejawa na hasira usipokuwa mkweli kwa kuwashauri watafute cha kufanya mkono uende kinywani uenyekiti wako haupo salama.Watakuuza ukiwa hapo juu kumbuka "njaa haina baunsa" na wala "hakuna mkate mgumu mbele ya chai"
Matusi mitandaoni au kuitakia nchi mabaya havitawakwamua kiuchumi na badala yake wachape kazi.
Nawasilisha