Mbowe for presidency 2015?

ZeMarcopolo

Platinum Member
May 11, 2008
14,013
7,209
Katika ukurasa wake wa Facebook, Zitto ameeleza kuwa sekretariet ya CHADEMA imeamua kutumia Westminster system katika kumpata kiongozi wa upinzani bungeni.

Kama wametumia Westminster system kuna maana pana zaidi ya kiongozi wa upinzania bungeni.

Kwa Westminster system kiongozi wa upinzani bungeni automatically ndio mgombea wa uwaziri mkuu katika uchaguzi mkuu unaofuata; ambao kwa Tanzania ni sawa na mgombea wa urais. Kwa hiyo, ni bayana kuwa Mbowe ndio atakuwa mgombea wa CHADEMA mwaka 2015.

Hongera "Mtu Uliye Huru" Mbowe. Isimamie agenda ya tume huru kidete kama kiongozi wa upinzani bungeni. Mungu akuongoze.
 
Katika ukurasa wake wa Facebook, Zitto ameeleza kuwa sekretariet ya CHADEMA imeamua kutumia Westminster system katika kumpata kiongozi wa upinzani bungeni.

Kama wametumia Westminster system kuna maana pana zaidi ya kiongozi wa upinzania bungeni.

Kwa Westminster system kiongozi wa upinzani bungeni automatically ndio mgombea wa uwaziri mkuu katika uchaguzi mkuu unaofuata; ambao kwa Tanzania ni sawa na mgombea wa urais. Kwa hiyo, ni bayana kuwa Mbowe ndio atakuwa mgombea wa CHADEMA mwaka 2015.

Hongera "Mtu Uliye Huru" Mbowe. Isimamie agenda ya tume huru kidete kama kiongozi wa upinzani bungeni. Mungu akuongoze.
:smile-big: Nilitaka kuandika hivyo umeniwahi POLO! Duh! Huo ndio ukweli wenyewe labda kutokee mengine:smile-big:
 
Katika ukurasa wake wa Facebook, Zitto ameeleza kuwa sekretariet ya CHADEMA imeamua kutumia Westminster system katika kumpata kiongozi wa upinzani bungeni.

Kama wametumia Westminster system kuna maana pana zaidi ya kiongozi wa upinzania bungeni.

Kwa Westminster system kiongozi wa upinzani bungeni automatically ndio mgombea wa uwaziri mkuu katika uchaguzi mkuu unaofuata; ambao kwa Tanzania ni sawa na mgombea wa urais. Kwa hiyo, ni bayana kuwa Mbowe ndio atakuwa mgombea wa CHADEMA mwaka 2015.

Hongera "Mtu Uliye Huru" Mbowe. Isimamie agenda ya tume huru kidete kama kiongozi wa upinzani bungeni. Mungu akuongoze.

Mbona Westminster system haiko hivyo? UK hakuna anayegombea uwaziri mkuu, chama kinachoshinda viti vingi bungeni ndio automatically kiongozi wa hicho chama ambaye ni mbunge anakuwa PM.

System ya Tanzania ni ya urais, ambapo anayeyechaguliwa na chama anagombea urais bila ya kujali ni mbunge, ni kiongozi au la.

Mwacheni tu Dr. Slaa ajaribu bahati yake tena 2015.
 
Si vyote vingaavyo ni dhahabu, naomba tutofautishe ya waingereza na ya watanzania. Tumwache Slaa amalizie alichokianzisha. Mbowe wewe ongoza bundgeni kama waziri mkuu mwachie Slaa awaamshe watanzania.
 
safi sana, kwa kamanda: Mbowe kuwa kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni. Kwa sasa nipo kwenye maombi rasmi kwa ajili ya kambi ya upinzani bungeni. Taifa pasipo maono huangamia. Kwa sasa mimi sioni kabisa muelekeo wa Tanzania. Hivi CCM inatupeleka wapi? Mnaojua, wana-CCM hebu tuambieni.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom