Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Ukonga huku vua gamba vaa gwanda inaendelea kama ilivyopangwa yupo henche,suzan kiwanga na wengineo
heche na shibuda wamemalizana??????
susan hajatupa majibu ya kutosha kuhusu marehemu rejia
Ukonga huku vua gamba vaa gwanda inaendelea kama ilivyopangwa yupo henche,suzan kiwanga na wengineo
mtu anayefikiri CHADEMA ni chama cha ukanda, ni bora kutomjibu ila kumuombea.
posho posho posho mbowe na slaa kila wakiishiwa pesa lazima waandae mikutam na maandamano ili walipane
Hivi Dar ni kaskazini? Si wanasema hiki chama ni cha kaskazini tu?
kanisa linajaribu kuingia dar.
nguvu ya kanisa imefanya kazi na kufanikiwa pamoja na kanda ya kaskazini
Shibuda nae atapewa nafasi ya kuongea?
Angalizo kwa Chadema pale jangwani kuna ujenzi wa mradi wa mabasi yaendayo kasi wangetafuta uwanja mwingine pale kwa sasa sidhani kama panafaa...ni ushauri tu.
Atakuwepo ndani ya nyumba mkuu
Shibuda akae upande wa wasikilizaji, asije tuchafulia hali ya hewa.
Mkuu molemo magwanda yanapatikana wapi?
laana hii iwe juu ya kichwa chako,,,,,,,uwe kichaa uokote makopo barabaran,,utembee uchi sokon,,makao makuu ya chawa duniani yawe mwilini mwako,,,,shame 2 u,
CUF wanamgawia ndoa ccm so u can imagine raha ya ndoa imewafunika
Asante kwa taarifa karibuni Dar es Salaam.