Mbowe, Dr Slaa kulitikisa Jiji la Dar Jumamosi Ijayo

Ni vyema kuwa umetutaarifu mapema inabidi tuchukuwe tahadhari ya ziada kipindi hiki kwani tuna uhakika watu wa kanda fulani watajazana hapa mjini na kama unavyowajua wana sifa fulani ambayo ni njema kwenye kanda yao tu, kwingine kote ni sifa mbaya.
 
posho posho posho mbowe na slaa kila wakiishiwa pesa lazima waandae mikutam na maandamano ili walipane

laana hii iwe juu ya kichwa chako,,,,,,,uwe kichaa uokote makopo barabaran,,utembee uchi sokon,,makao makuu ya chawa duniani yawe mwilini mwako,,,,shame 2 u,
 
Kuna ***** moja linajiita kiboko yao ambalo ni gamba toka ccm hamia chadema la sivo utakuwa ***** tu
 
nguvu ya kanisa imefanya kazi na kufanikiwa pamoja na kanda ya kaskazini

Mods huyu mtu kwa Post zake inatakiwa achukuliwe hatua.Hatuwezi kukubali jamvi lichafuliwe kwa kauli za uongo na za hovyo hivi
 
Angalizo kwa Chadema pale jangwani kuna ujenzi wa mradi wa mabasi yaendayo kasi wangetafuta uwanja mwingine pale kwa sasa sidhani kama panafaa...ni ushauri tu.

Its only two or three hours of mass killing wala usiwe na wasiwasi hata wajenzi lazima wasitishe shughuli zao waje wasikilize.
 
Shibuda akae upande wa wasikilizaji, asije tuchafulia hali ya hewa.
Mkuu molemo magwanda yanapatikana wapi?

Sidhani kama atatoka salama kwenye huo upande wa wasikilizaji labda ulikuwa unamaanisha wasikilizaji wa redio.
 
laana hii iwe juu ya kichwa chako,,,,,,,uwe kichaa uokote makopo barabaran,,utembee uchi sokon,,makao makuu ya chawa duniani yawe mwilini mwako,,,,shame 2 u,

kweli dunia inaelekea kwenye maporomoko mpaka Mashetan mmekuwa wanamaombi kukemea wenye mawazo mbadala!
 
Naomba iwe ile siku ya uzinduzi wa kampeni, tufike hapo kwa maandamano, naomba utaratibu uandaliwe jamani magamba yapate moto vizuri . kila watu waje na maandamano kutoka majimboni mwao....nna hamu kweli ya kuandamana
 
Back
Top Bottom