Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,391
- 36,517
Wenye maamuzi ni wajumbe wao wenyewe,watachagua yule wanayedhani anauzika kwa wananchiLisu hawezi kutuuza kwa mabeberu?
Wenye maamuzi ni wajumbe wao wenyewe,watachagua yule wanayedhani anauzika kwa wananchiLisu hawezi kutuuza kwa mabeberu?
Unawezaje kumheshimu Rais, jeshi la nchi lako, usilipe heshima, nina shaka na utaifa wako.Gwaride la jeshi la tz nalo unalishobokea?
Kwahiyo hayo tu ndo unayaona wwe ya muhimu?vp kuhusu kuboreshwa kwa sekta za Afya, Elimu, Miundombinu, Umeme na Maji. Inawezekana mishahara haijapanda lakini fedha za kupandishia hiyo mishahara zimetumika kwenye mambo mengine ya msingi ambayo yamegusa wananchi wengi kuliko hao watumishi wachache.Alishindwaje kupata 2015?. Iwe leo wananchi wanamaisha magumu, mishahara haijapandishwa miaka 5, hajaajiri miaka 5 ,hakika atakaemchagua JPM atakuwa na akili ndogo kama kuku.
Unawezaje kumheshimu Rais, jeshi la nchi lako, usilipe heshima, nina shaka na utaifa wako.
Mara ya mwisho opinion poll ilikuwa chini ya 50Uwezo wa kusimamisha wagombea nchi nzima hamna, iwe kwa lift au kwa msaada wa mabeberu, JPM kupata 95% in lazima
Hata mamako haaminiki ndio maana alikuwa anachepuka anamucha babako amelalaMbowe na CHADEMA hawaaminiki kabisa
Mbowe ni mkwasi tokea akiwa tumboni mwa mama yakeMembe amefika dau Nini? Maana mbowe akitangaziwa ukwasi ana data kabisa. CDM ijiandae kisaikolojia. Nyalandu Hana mvuto kwa wapiga kura, lissu mwenye mvuto Hana hela, hapo Membe lazima awakilishe ukawa uchwara.
Mkuu kama wewe ulizaliwa kwenye kaya masikini usifikiri wote ndiyo hivyo. Na hivi sasa unasumbuliwa na wivu uliotokana na umasikini ulionao.Membe amefika dau Nini? Maana mbowe akitangaziwa ukwasi ana data kabisa. CDM ijiandae kisaikolojia. Nyalandu Hana mvuto kwa wapiga kura, lissu mwenye mvuto Hana hela, hapo Membe lazima awakilishe ukawa uchwara.
Hakuna tajiri anayeridhika na kipato chake, na hiyo ndio hulka ya mbowe.Mkuu kama wewe ulizaliwa kwenye kaya masikini usifikiri wote ndiyo hivyo. Na hivi sasa unasumbuliwa na wivu uliotokana na umasikini ulionao.
Aisee!!Hayo ndio tunataka kusikia, lakini Lissu the great ndio awe mgombea, Membe mpiga kampeni hakika chama chakavu tunakizika mapema.
Hayo ndio tunataka kusikia, lakini Lissu the great ndio awe mgombea, Membe mpiga kampeni hakika chama chakavu tunakizika mapema.
Mbowe na Zitto akili yao ipo kwenye ruzuku hakuna atakayekubali kumuachia mwenzie
naona zimekuingieni vya kutoshaZitto Kabwe awe makini Chadema walimtesa sana Julius Mtatiro 2015 Tabata!
Tatizo Tundu Lisu siyo bepari!Lissu agombee Bara,Maalim agombee Zanzibar.
Nani Bepari?Tatizo Tundu Lisu siyo bepari!
una kumbukumbua ACT wakiwa chama kichanga mwaka jana walisimamisha wagombea kiasi ganiUwezo wa kusimamisha wagombea nchi nzima hamna, iwe kwa lift au kwa msaada wa mabeberu, JPM kupata 95% in lazima