Akasankara
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 4,048
- 5,513
Hasa SSHUsimwamini mwanasiasa yeyote.
Hasa SSHUsimwamini mwanasiasa yeyote.
Hasa SSH
Kura za uwizi huku unalazimisha kukutana na mana yetu ,ndio maana mzee Mbowe unastahili kupewa jina lunaliakusi wajunga yaani TONDOMwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe amesema chama chake hakiwezi kupokea Ruzuku inayotokana na kura za wizi.
Mbowe amesema Chadema ni chama cha watu waadilifu waliojazwa roho za uzalendo hivyo hawawezi kuwasaliti wananchi.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
CCM wauaji aisee...Nikikumbuka haya!!Hivi kipindi yule mwenyekiti wa UVCCM (Kheri James) alivyokua akitumia kauli Kama vile
1. "kilema"
2. " sindano Moja tu pyaaa chali "
Hapa hamkuona ustaa wa maneno au sio.
Halafu kuna huyu Mange anajifanya kuijua stahaa ya maneno Huyu...yeye ni Mara ngapi hiyo stahaa aitumii.
Tudai uwajibikaji wa wadhalimu! Nje ya hapo ni kujipendekeza tu na unafiki!View attachment 1839738
Mwenyewe nimekumbuka mbali mno na kusononeka...Yaani CCM hawa ....?!Mkuu hizi picha zimeniletea hasira na chuki kubwa ndani ya mwili wangu,binafsi ni muimini wa mizimu yangu ya asili sio imani zilizokuwa imported hapa,mawazo yangu yanafikiria ndugu na familia zao,ipo siku wanawajibika kwa mateso haya kwa binadamu wenzao maana kwangu watesaji hawa ni wanyama
Hakika bwashee.Yeyote yule, ilimradi ni mwanasiasa, usimwamini.
Chadema bado wspo ? I thought walifutwaMwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe amesema chama chake hakiwezi kupokea Ruzuku inayotokana na kura za wizi.
Mbowe amesema Chadema ni chama cha watu waadilifu waliojazwa roho za uzalendo hivyo hawawezi kuwasaliti wananchi.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Hakika bwashee.
Mtu kama Tundu Lisu kwa mfano!
Walifutwa na nani?Chadema bado wspo ? I thought walifutwa
Shida yake aitwe Ikulu akanywe juisi sasa ataitwa pale muda utakapofika sio atakavyo yeye na pia hebu afanye apishe mawazo mapya hapo chamani.Mbowe anaongea sana siku hizi
Watendaji wa CCM hulipwa nini, ofisi za chama hujengwaje, chaguzi ndani ya chama hufanyikaje, uendeshaji ofisiRuzuku za ccm tangu mwaka 1992 huwa zinaenda wapi?
Jibu tosha!Watendaji wa CCM hulipwa nini, ofisi za chama hujengwaje, chaguzi ndani ya chama hufanyikaje, uendeshaji ofisi
Hata hivyo Chadema ni maiti saa hiziMwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe amesema chama chake hakiwezi kupokea Ruzuku inayotokana na kura za wizi.
Mbowe amesema Chadema ni chama cha watu waadilifu waliojazwa roho za uzalendo hivyo hawawezi kuwasaliti wananchi.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Ile siyo ruzuku ni faini!Aliyorudishiwa juzi ikiisha ataanza kutia huruma
Uzuri bado inafaa matumiziIle siyo ruzuku ni faini!
Alikimbia nchi hii, labda kama alikuwa anaongelea huko DubaiKwani Samani alikuwa bubu
Huu sio muda wa siasa tunajenga uchumi, kila mbunge apambane na changamoto zake jimboniBila kuongea hakuna siasa!
Na wasipokeet kweliMwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe amesema chama chake hakiwezi kupokea Ruzuku inayotokana na kura za wizi.
Mbowe amesema Chadema ni chama cha watu waadilifu waliojazwa roho za uzalendo hivyo hawawezi kuwasaliti wananchi.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Siasa ndio Uchumi bwashee!Huu sio muda wa siasa tunajenga uchumi, kila mbunge apambane na changamoto zake jimboni