ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 8,571
- 7,218
Itakuwa ni Urais ule wakina MadeeNasikia anajiita Rais siku hizi
Itakuwa ni Urais ule wakina MadeeNasikia anajiita Rais siku hizi
Mzee huna data.maofisi ya chama yanajengwa,maviete na wabunge wananunuliwa.
hii nayo huitaki!!Mzee huna data.
Wewe sio mmoja wap. Toka huko
Wakisusa wenzake watakulaMwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe amesema chama chake hakiwezi kupokea Ruzuku inayotokana na kura za wizi.
Mbowe amesema Chadema ni chama cha watu waadilifu waliojazwa roho za uzalendo hivyo hawawezi kuwasaliti wananchi.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Mavieti, mishahara na kampeiniRuzuku za ccm tangu mwaka 1992 huwa zinaenda wapi?
This is really confusing..kwani ni chama kipi kili IBA Kura!? Na kama Chadema hawakuiba Kura kwanini wajipe adhabu twice?!...yaani Kura uibiwe na ruzuku pia usichukue?!....mi nadhani Kwa kutochukua kilicho halali yako ndio kuwatesa wanachama zaidi..hizo pesa zingetatua baadhi ya changamoto za kifedha wakati mapambano yanaendelea.. unless uamuzi huo Una faida Kwa namna Fulani..Mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe amesema chama chake hakiwezi kupokea Ruzuku inayotokana na kura za wizi.
Mbowe amesema Chadema ni chama cha watu waadilifu waliojazwa roho za uzalendo hivyo hawawezi kuwasaliti wananchi.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Na kuna wapumbavu wanamuita shujaa wa AfricaMkuu hizi picha zimeniletea hasira na chuki kubwa ndani ya mwili wangu,binafsi ni muimini wa mizimu yangu ya asili sio imani zilizokuwa imported hapa,mawazo yangu yanafikiria ndugu na familia zao,ipo siku wanawajibika kwa mateso haya kwa binadamu wenzao maana kwangu watesaji hawa ni wanyama
Kwa mujibu wa chadema huu wizi wa kura kwa chama tawala umeanza hii 2020 ?Mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe amesema chama chake hakiwezi kupokea Ruzuku inayotokana na kura za wizi.
Mbowe amesema Chadema ni chama cha watu waadilifu waliojazwa roho za uzalendo hivyo hawawezi kuwasaliti wananchi.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
kwani amewaambieni kuwa amechoka?ILa mwambie mdude apumzike Kwanza