Mbowe: CHADEMA haiko tayari kupokea Ruzuku inayotokana na Kura za Wizi!

Hakuna watu wazandiki kama viongozi wa hiyo saccos,wakiongozwa na faru John.
 
Mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe amesema chama chake hakiwezi kupokea Ruzuku inayotokana na kura za wizi.

Mbowe amesema Chadema ni chama cha watu waadilifu waliojazwa roho za uzalendo hivyo hawawezi kuwasaliti wananchi.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
Wakisusa wenzake watakula
 
Mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe amesema chama chake hakiwezi kupokea Ruzuku inayotokana na kura za wizi.

Mbowe amesema Chadema ni chama cha watu waadilifu waliojazwa roho za uzalendo hivyo hawawezi kuwasaliti wananchi.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
This is really confusing..kwani ni chama kipi kili IBA Kura!? Na kama Chadema hawakuiba Kura kwanini wajipe adhabu twice?!...yaani Kura uibiwe na ruzuku pia usichukue?!....mi nadhani Kwa kutochukua kilicho halali yako ndio kuwatesa wanachama zaidi..hizo pesa zingetatua baadhi ya changamoto za kifedha wakati mapambano yanaendelea.. unless uamuzi huo Una faida Kwa namna Fulani..
 
Hawa wanachosha, wenyewe walikubali kushiriki uchaguzi sasa hawataki ruzuku. Sizitaki mbichi hizi style
 
Mkuu hizi picha zimeniletea hasira na chuki kubwa ndani ya mwili wangu,binafsi ni muimini wa mizimu yangu ya asili sio imani zilizokuwa imported hapa,mawazo yangu yanafikiria ndugu na familia zao,ipo siku wanawajibika kwa mateso haya kwa binadamu wenzao maana kwangu watesaji hawa ni wanyama
Na kuna wapumbavu wanamuita shujaa wa Africa
 
Mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe amesema chama chake hakiwezi kupokea Ruzuku inayotokana na kura za wizi.

Mbowe amesema Chadema ni chama cha watu waadilifu waliojazwa roho za uzalendo hivyo hawawezi kuwasaliti wananchi.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
Kwa mujibu wa chadema huu wizi wa kura kwa chama tawala umeanza hii 2020 ?

Kwa hiyo ruzuku walizokuwa wanapokea kipindi cha nyuma kabla ya 2020 ilikuwa haitokani na kura za wizi ?

Kwa nini walipokea ruzuku za wakati wa nyuma wakati nao walilalamikia wizi wakati huo kuwepo ?
 
Back
Top Bottom