ASUBUHI HII KAMA DKK KUMI ZILIZOPITA MUHESHIMIWA MKUU WA UPINZANI FREEMAN AIKAEL MBOWE KATIKA MASWALI KWA WAZIRI WA UCHUKUZI AMEULIZA KUHUSU KUSIKITISHWA NA MKATABA WA KIA KATI YA SERIKALI NA KIDCO AMBAPO KAMPUNI HIYO INATENGENEZA MABILIONI NA KUILIPA SERIKALI DOLA 1000 KWA MWAKA
OLESENDEKA AMESHAURI SERIKALI IWACHUKULIE HATUA KALI WOTE WALIOINGIA MKATABA HUO
WAZIRI KAKATAA KASEMA SASA NI UTEKELEZAJI TUUU
aibu kubwa kwa serikali ya CCM na JK
Hii Ni kweli nilishawahi kuisikia kwa mfanyakzi 1 pale KIA alikuwa anasema hivyo nikamuona kama muongo lakini ilipo fuatilia kwa undani ikapata jibu ni ukweli. Tukiendelea kucheka na CCM watazidi kuifilisi hii nchi kwani wengi wao katika CCM ni mahayawani
dola 1000 kwa mwaka!!!
Au mwandishi amekosea alimaanisha dola milioni 1000??
KAMPUNI HIYO INATENGENEZA MABILIONI NA KUILIPA SERIKALI DOLA 1000 KWA MWAKA
Hapo bold ni kweli au umekosea tarakimu?
Hebu fafanua !
POSHO kaka, nchi hii imeshaliwa tayari na wewe ukipata chance komba tu, kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake. Inafikia hadi mwakilishi wa wananchi maskini naye anaomba rushwa duh .....
Itatugharimu sana kurudisha tunu za taifa hili zilizokuwepo enzi za mwalimu.
Hapo kwenye Nyekundu:
Inakuwaje mimi ambaye ni mfanyakazi(muajiriwa) kodi yangu kwa mwaka(PAYE) ni zaidi ya dola 3500 na wakati sifanyi biashara? Ina maana pato langu ni kubwa kuliko la Kampuni hiyo?