Mbowe awaagiza wabunge wote wa upinzani wasifunge Midomo Bungeni, awapongeza Mdee na Ester Bulaya

Evans-Arsenal

JF-Expert Member
Jan 10, 2016
868
1,385
Kiongozi wa kambi rasmi ya Upinzani bungeni Mh Freeman Mbowe na mbunge wa jimbo la Hai amewaagiza wabunge wote wa upinzani kutokukaa kimya.

Amewapongeza pia Mbunge wa kawe, Halima Mdee na Mbunge wa Bunda Ester bulaya kwa kutoogopa na kisimamia haki bungeni kwa kusema waliyoyaona.

Pia amesema kuna uhuru wa kuhoji viongozi pale wanapokosea na sio kila mara kusifia tu, wabunge wote wa upinzani ni wakati sasa wa kusimamia haki na kutokufunga Midomo tuwapo bunge au nje ya bunge..

Nini maoni yako??
 
Kiongozi wa kambi rasmi ya Upinzani bungeni Mh Freeman Mbowe na mbunge wa jimbo la Hai amewaagiza wabunge wote wa upinzani kutokukaa kimya.

Amewapongeza pia Mbunge wa kawe, Halima Mdee na Mbunge wa Bunda Ester bulaya kwa kutoogopa na kisimamia haki bungeni kwa kusema waliyoyaona.
Pia amesema kuna uhuru wa kuhoji viongozi pale wanapokosea na sio kila mara kusifia tu, wabunge wote wa upinzani ni wakati sasa wa kusimamia haki na kutokufunga Midomo tuwapo bunge au nje ya bunge..

Nini maoni yako??

Ayatollah keshaongea!
 
Waongeze kuikosoa ikabidi awatimue wote wabaki na kijani lao
 
Back
Top Bottom