Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,559
- 217,861
Mbowe ni shujaa .
Chadema iliwapenda lakini CCM iliwapenda zaidi.Watu wanatamani zama hizi zirudi.
Naskia kapeleka maombi ya kupatiwa teargas ili bungeni panogeNdugai aongeze polisi bungeni pawe kama kibiti
Dk slaa yuleChadema iliwapenda lakini CCM iliwapenda zaidi.
Kiongozi wa kambi rasmi ya Upinzani bungeni Mh Freeman Mbowe na mbunge wa jimbo la Hai amewaagiza wabunge wote wa upinzani kutokukaa kimya.
Amewapongeza pia Mbunge wa kawe, Halima Mdee na Mbunge wa Bunda Ester bulaya kwa kutoogopa na kisimamia haki bungeni kwa kusema waliyoyaona.
Pia amesema kuna uhuru wa kuhoji viongozi pale wanapokosea na sio kila mara kusifia tu, wabunge wote wa upinzani ni wakati sasa wa kusimamia haki na kutokufunga Midomo tuwapo bunge au nje ya bunge..
Nini maoni yako??
Mahakama ya mafisadi imerekodi kesi ngapi za mafisadi?Baada ya kumaliza kutetea mfisadi, amehamia kutetea watukana matusi!!!
Baba wema bwana
Nadhani hata moja badoMahakama ya mafisadi imerekodi kesi ngapi za mafisadi?