Mbowe aungana na Mnyika kusema serikali ya Kikwete dhaifu

Chama cha CHADEMA kimekua na maendeleo mazuri kisiasa ktk miaka 5 iliopita! ni jambo zuri linalo leta matumaini ya kuchukua dola! kufanya vizuri ni jambo moja na kutunza kiwango ni jambo lingine tofauti. kwa maoni yangu, chdm mnashindwa kutunza kiwango. mambo yafuatayo ni vielelzo tosha.


1- Mh Mbowe alikana gari la kiongozi wa upinzani hadharani. Baada ya muda mfupi akalichukua kimyakimya!

2- Wabunge wa CHADEMA walikataa posho lkn wameendelea kuzichukua hadi hii leo!

3- Wabunge wengi wa chdm wamehamia kwenye malumbano bungeni kuliko kujenga hoja. mtindo huu unongozwa na lissu, msigwa, lema (hayumo bungeni), wenje........ mnyika na zitto ni wajengaji wazuri wa wa hoja!


4- Kibri alichokionesha Mnyika kukataa kufuta kauli yke kuhusu rais kikwete siyo ueledi na busara. ni utovu wa nidhamu. CCM wamefanikiwa kuwatoa CHADEMA kwenye kujenga hoja na kuwafanya waingie kwenye malumbano. CHADEMA wakumbuke kuwa kabla ya mwaka 2010 walikua wachache sn bungeni lkn hoja nzuri zenye mantiki zilizojengwa na Dk Slaa, Mdee na Zitto, ziliijenga sana CHADEMA. Tafadhalini CHADEMA jengeni hoja ili kurudisha heshima ya CHADEMA bungeni.


5- Akina Zitto, Msigwa, Lissu na wengineo walikimbilia majimboni kufanya mikutano ya hadhara kuambia wananchi kuwa bajeti ni mbovu wakaikatae! la haula!!!!!!!!!!!!

Nilivyoona mambo yamekua hayo, nikajiuliza: hivi chdm wanakwenda wapi? bajeti itasomwa bungeni ww ni mbunge unakimbilia kwa wananchi eti kukusanya maoni yao kuhusu bajeti!

Tunapoteza muelekeo sn! zitto siku moja kabla ya kusoma bajeti mbadala, alikua iringa kwa msigwa. hakupata hata muda wa kupitia bajeti yke kucheki erros! akawasilisha bajeti iliyo na makosa ya kiuchapaji. CCM wamebana hapohapo kuisulubu chdm na kweli hadi muda huu, chdm wameyumba sana bungeni! Chama kinapelekwa wapi?



Rudisheni CHADEMA ile ya kabla ya mwaka 2010 iliosifika kwa kujenga hoja bungeni!!!:hand:!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Pa bla bla bla bla bla bla bla bla bla bla bla mba bla bla bla bla bla bla bla bla bla bla bla fu!
 
chama cha chdm kimekua na maendeleo mazuri kisiasa ktk miaka 5 iliopita! ni jambo zuri linalo leta matumaini ya kuchukua dola! kufanya vizuri ni jambo moja na kutunza kiwango ni jambo lingine tofauti. kwa maoni yangu, chdm mnashindwa kutunza kiwango. mambo yafuatayo ni vielelzo tosha.


1- mh mbowe alikana gari la kiongozi wa upinzani hadharani. baada ya muda mfupi akalichukua kimyakimya!

2- wabunge wa chdm walikataa posho lkn wameendelea kuzichukua hadi hii leo!

3- wabunge wengi wa chdm wamehamia kwenye malumbano bungeni kuliko kujenga hoja. mtindo huu unongozwa na lissu, msigwa, lema (hayumo bungeni), wenje........ mnyika na zitto ni wajengaji wazuri wa wa hoja!


4- kibri alichokionesha mnyika kukataa kufuta kauli yke kuhusu rais kikwete siyo ueledi na busara. ni utovu wa nidhamu. ccm wamefanikiwa kuwatoa chdm kwenye kujenga hoja na kuwafanya waingie kwenye malumbano. chdm wakumbuke kuwa kabla ya mwaka 2010 walikua wachache sn bungeni lkn hoja nzuri zenye mantiki zilizojengwa na dk slaa, mdee na zitto, ziliijenga sn chdm. tafadhalini chdm jengeni hoja ili kurudisha heshima ya chdm bungeni


5- akina zitto, msigwa, lissu na wengineo walikimbilia majimboni kufanya mikutano ya hadhara kuambia wananchi kuwa bajeti ni mbovu wakaikatae! la haula!!!!!!!!!!!! nilivyoona mambo yamekua hayo, nikajiuliza: hivi chdm wanakwenda wapi? bajeti itasomwa bungeni ww ni mbunge unakimbilia kwa wananchi eti kukusanya maoni yao kuhusu bajeti! tunapoteza muelekeo sn! zitto siku moja kabla ya kusoma bajeti mbadala, alikua iringa kwa msigwa. hakupata hata muda wa kupitia bajeti yke kucheki erros! akawasilisha bajeti iliyo na makosa ya kiuchapaji. ccm wamebana hapohapo kuisulubu chdm na kweli hadi muda huu, chdm wameyumba sn bungeni! chama kinapelekwa wapi.



rudisheni chdm ile ya kabla ya mwaka 2010 iliosifika kwa kujenga hoja bungeni!!!:hand:!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!


1. Gari moja kati ya mengi yaliyopo serikalini lingepunguza matumizi ya serikali? Acha unafiki.
2. Posho za wabunge kama wanachukua ni shinikizo la kanuni za bunge uliza vizuri maana ukisha saini mahudhurio lazima upewe posho lakini pata uhakika zaidi ndipo ulete mada yako hapa.
3. Kwa kuwa wabunge ni watumishi wa wapiga kura wao kuna kosa gani kuwaambia yanayojiri bungeni jiulize vizuri mbunge anawakilisha chama au wapiga kura utapata jibu sahihi.
4. Bunge kinatawaliwa na kanuni ndio maana Mnyika hakutoa kauli yake alitaka awaambie UDHAIFU wa Rais na ndiyo maana jana alienda Dodoma kufanya kikao na Waziri Mkuu, hakuna Kibri hapo ni WELEDI.
USIANDIKE JAMBO KWA KUTUMWA ILI ULIPWE ZUNGUMZIA HALI YA MAISHA KWA wATANZANIA YALIVYOTUBANA LABDA KAMA UNAISHI KWA RITZ KULA NA KULALA BURE.
 
Mbona hawamfukuzi mbowe bungeni kama mnyika?au wameishazoea kuwa neno kikwete dhaifu sio tusi...hahaha
 
Mtoa hii mada ndo umepotoka kwa kuleta hoja dhaifu sana. Hakuna cha kujadili zaidi hapa.
 
Mbowe wewe mwenyewe dhaifu ulisema unarudisha gari la bunge baadae ukalichukuwa kimya kimya.
 
1. Gari moja kati ya mengi yaliyopo serikalini lingepunguza matumizi ya serikali? Acha unafiki.

2. Posho za wabunge kama wanachukua ni shinikizo la kanuni za bunge uliza vizuri maana ukisha saini mahudhurio lazima upewe posho lakini pata uhakika zaidi ndipo ulete mada yako hapa.

1. Huu ndio unafiki mkubwa kuliko wote, kwani yeye Mbowe alipolikataa hilo gari mara ya kwanza hakufahamu kwamba kulikataa kwake hakupunguzi matumizi yeyote? mbona mlishabikia na hamkumshauri kwamba hilo halikuwa na impact yeyote kwenye matumizi?

2. Kuchukua posho kwa kusingizia kanuni za bunge ni unafiki mwengine uliopitiliza , kwanini kama hawazitaki kabisa wasizichukue halafu wazi total watuambie sisi wananchi kwamba kwa kikao hiki Chadema imekusanya shillingi kadhaa kama posho za wabunge woote na kuzitoa kwenye miradi ya maendeleo kujenga shule, hosp nk
 
RITZ UNA MATATIZO PESA ZA LUMUMBA HAZITAKUFANYA UMSHAWISHI MTU HUMU NDANI NENDA KWA NAPE UWE UNAZUNGUKA NAE MIKOANI AKUONGEZEE POSHO SHAME ON U:juggle:​NAKUSHAURI UWE MWANDISHI WA UHURU WANATANGAZA KAZI KULE ITAKUFAA HAPA WAPUUZI KAMA WEWE MKO WACHACHE.
 
Chama cha CHADEMA kimekua na maendeleo mazuri kisiasa ktk miaka 5 iliopita! ni jambo zuri linalo leta matumaini ya kuchukua dola! kufanya vizuri ni jambo moja na kutunza kiwango ni jambo lingine tofauti. kwa maoni yangu, chdm mnashindwa kutunza kiwango. mambo yafuatayo ni vielelzo tosha.


1- Mh Mbowe alikana gari la kiongozi wa upinzani hadharani. Baada ya muda mfupi akalichukua kimyakimya!

2- Wabunge wa CHADEMA walikataa posho lkn wameendelea kuzichukua hadi hii leo!

3- Wabunge wengi wa chdm wamehamia kwenye malumbano bungeni kuliko kujenga hoja. mtindo huu unongozwa na lissu, msigwa, lema (hayumo bungeni), wenje........ mnyika na zitto ni wajengaji wazuri wa wa hoja!


4- Kibri alichokionesha Mnyika kukataa kufuta kauli yke kuhusu rais kikwete siyo ueledi na busara. ni utovu wa nidhamu. CCM wamefanikiwa kuwatoa CHADEMA kwenye kujenga hoja na kuwafanya waingie kwenye malumbano. CHADEMA wakumbuke kuwa kabla ya mwaka 2010 walikua wachache sn bungeni lkn hoja nzuri zenye mantiki zilizojengwa na Dk Slaa, Mdee na Zitto, ziliijenga sana CHADEMA. Tafadhalini CHADEMA jengeni hoja ili kurudisha heshima ya CHADEMA bungeni.


5- Akina Zitto, Msigwa, Lissu na wengineo walikimbilia majimboni kufanya mikutano ya hadhara kuambia wananchi kuwa bajeti ni mbovu wakaikatae! la haula!!!!!!!!!!!!

Nilivyoona mambo yamekua hayo, nikajiuliza: hivi chdm wanakwenda wapi? bajeti itasomwa bungeni ww ni mbunge unakimbilia kwa wananchi eti kukusanya maoni yao kuhusu bajeti!

Tunapoteza muelekeo sn! zitto siku moja kabla ya kusoma bajeti mbadala, alikua iringa kwa msigwa. hakupata hata muda wa kupitia bajeti yke kucheki erros! akawasilisha bajeti iliyo na makosa ya kiuchapaji. CCM wamebana hapohapo kuisulubu chdm na kweli hadi muda huu, chdm wameyumba sana bungeni! Chama kinapelekwa wapi?



Rudisheni CHADEMA ile ya kabla ya mwaka 2010 iliosifika kwa kujenga hoja bungeni!!!:hand:!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!


Akili za kuazima hizi!
 
UMEPEWA KISI GANI NA NAPE POLENI SANA CHADEMA INAPETA CCM JIANDAENI KUWA WAPINZANI 2015 FULL STOP NAJUA INAUMA LAKINI VUMILIENI KAMA SISI TU:smow:
 
Chama cha CHADEMA kimekua na maendeleo mazuri kisiasa ktk miaka 5 iliopita! ni jambo zuri linalo leta matumaini ya kuchukua dola! kufanya vizuri ni jambo moja na kutunza kiwango ni jambo lingine tofauti. kwa maoni yangu, chdm mnashindwa kutunza kiwango. mambo yafuatayo ni vielelzo tosha.


1- Mh Mbowe alikana gari la kiongozi wa upinzani hadharani. Baada ya muda mfupi akalichukua kimyakimya!

2- Wabunge wa CHADEMA walikataa posho lkn wameendelea kuzichukua hadi hii leo!

3- Wabunge wengi wa chdm wamehamia kwenye malumbano bungeni kuliko kujenga hoja. mtindo huu unongozwa na lissu, msigwa, lema (hayumo bungeni), wenje........ mnyika na zitto ni wajengaji wazuri wa wa hoja!


4- Kibri alichokionesha Mnyika kukataa kufuta kauli yke kuhusu rais kikwete siyo ueledi na busara. ni utovu wa nidhamu. CCM wamefanikiwa kuwatoa CHADEMA kwenye kujenga hoja na kuwafanya waingie kwenye malumbano. CHADEMA wakumbuke kuwa kabla ya mwaka 2010 walikua wachache sn bungeni lkn hoja nzuri zenye mantiki zilizojengwa na Dk Slaa, Mdee na Zitto, ziliijenga sana CHADEMA. Tafadhalini CHADEMA jengeni hoja ili kurudisha heshima ya CHADEMA bungeni.


5- Akina Zitto, Msigwa, Lissu na wengineo walikimbilia majimboni kufanya mikutano ya hadhara kuambia wananchi kuwa bajeti ni mbovu wakaikatae! la haula!!!!!!!!!!!!

Nilivyoona mambo yamekua hayo, nikajiuliza: hivi chdm wanakwenda wapi? bajeti itasomwa bungeni ww ni mbunge unakimbilia kwa wananchi eti kukusanya maoni yao kuhusu bajeti!

Tunapoteza muelekeo sn! zitto siku moja kabla ya kusoma bajeti mbadala, alikua iringa kwa msigwa. hakupata hata muda wa kupitia bajeti yke kucheki erros! akawasilisha bajeti iliyo na makosa ya kiuchapaji. CCM wamebana hapohapo kuisulubu chdm na kweli hadi muda huu, chdm wameyumba sana bungeni! Chama kinapelekwa wapi?



Rudisheni CHADEMA ile ya kabla ya mwaka 2010 iliosifika kwa kujenga hoja bungeni!!!:hand:!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

wamekusikia na watajirekebisha, je CCM mna tabia ya kukubali ushauri?
 
Back
Top Bottom