Mzee Rungwwe yuko vizuli sanaVyama vilivyopinga adhabu ya Chadema ni ACT, CHAUMA na Chadema wenyewe. Kiukweli hao wengine ni mawakala wa CCM na hata Lipumba hela ya kampeni imetokana na ruzuku iliyozuiliwa
Mzee Rungwwe yuko vizuli sanaVyama vilivyopinga adhabu ya Chadema ni ACT, CHAUMA na Chadema wenyewe. Kiukweli hao wengine ni mawakala wa CCM na hata Lipumba hela ya kampeni imetokana na ruzuku iliyozuiliwa
Anaitwa Jah People na ni darasa la nne! Mfanyabiashara wa Makambako huyo 🙄🙄🙄🙄🙄Hivi huyu Jamaa aliyefanikiwa kumpigisha magoti anaitwa nani... Na anafanya nini!?
Huna akiliChama cha Demokrasia Makini Wapeleke malalamiko Tume ya maadili officially kwa hicho mbowe alichotamka ili Chadema wachukuliwe hatua officially ikiwemo kuzuiwa kufanya kampeni kama chama nchi nzima
Wanachama gani hao unao waita na upinzni upi wewe buku 7Tamko la Mbowe litakigharimu Chadema vyama vingine vya upinzani vitawaambia wanachama wake pigia chama chochote isipokuwa Chadema hata kama hutaki kutupa kura
hivyo vyama huwa vinaibukaga kwenye uchaguzi tu halafu wala havipigi kampeni wala nini vyenyewe ni kwenye matamko tu ndo utavisikia.Aombe radhi ipi? Kwani Mbowe amesema uongo upi? Vyama vyote vingine ni utopolo mtupu wa kisiasa. Waache ujinga hapa. Wachukue maneno ya Mbowe kama wake-up call. Tunawafahamu na tumewachoka. Siyo wanasiasa, ni wahuni wachumia tumbo.
Kwani uongoKatibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia MAKINI, Ameir Hassan Ameir amemtaka mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Freeman Mbowe kuwaomba radhi baada ya kauli yake aliyoitoa mbele ya waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam ambapo alisema vyama vya siasa 12 vinafadhiliwa ili kukisaidia Chama cha Mapinduzi CCM na kutafuta maslahi kupitia jukwaa la siasa.
=======
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia Makini, Amer Hassan amemtaka Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe kuwaomba radhi kufuatia kauli aliyoitoa jana kuwa Chama hiko ni miongoni mwa vyama 12 vya upinzani vinavyofadhiliwa na CCM
Akiongea na Waandishi wa Habari, Freeman Mbowe alisema "Mwenendo wa kampeni unadhihirisha kuwa Uchaguzi huu washindani ni wawili ambao ni CHADEMA na CCM, hivi vyama vingine ni vyama vinasimamiwa na vinakisaidia Chama Cha Mapinduzi kutafuta uhalali"
Amer amesema kauli hiyo sio ya kiungwana, ni tata na imewachafua kwa sababu kila Chama kina haki ya kufuata Sheria na taratibu. Amemtaka kushughulika na Kamati ya Maadili kuhusu adhabu aliyopewa Tundu Lissu ya kutofanya kampeni
Ameongeza kuwa, Mbowe amewadharau na kuwavunjia heshima kwani amejiona kwamba Chama chake ndicho kina haki ya kufanya siasa nchini.
chadema Hawajui siasa kwa hiyo wanagombana na vyama vyote vya upinzani badala ya kutaka viwaunge mkono kama kipindi cha Lowasa?
Adui wa maendeleo ya taifa letu. Tunamjua Wala usitudanganye.Chadema ni maadui wa maendeleo.
Pamoja na ACT na CHAUMA kuwaunga mkono lakini bado ni vibraka wa CCM?Vyama vilivyopinga adhabu ya Chadema ni ACT, CHAUMA na Chadema wenyewe. Kiukweli hao wengine ni mawakala wa CCM na hata Lipumba hela ya kampeni imetokana na ruzuku iliyozuiliwa
Yaani ni zaidi ya dharau, halafu wanajita chama cha demokrasia na maendeleo, ingali huku mwenyekiti wao wa taifa anainajisi demokrasia AIBUUKatibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia MAKINI, Ameir Hassan Ameir amemtaka mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Freeman Mbowe kuwaomba radhi baada ya kauli yake aliyoitoa mbele ya waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam ambapo alisema vyama vya siasa 12 vinafadhiliwa ili kukisaidia Chama cha Mapinduzi CCM na kutafuta maslahi kupitia jukwaa la siasa.
=======
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia Makini, Amer Hassan amemtaka Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe kuwaomba radhi kufuatia kauli aliyoitoa jana kuwa Chama hiko ni miongoni mwa vyama 12 vya upinzani vinavyofadhiliwa na CCM
Akiongea na Waandishi wa Habari, Freeman Mbowe alisema "Mwenendo wa kampeni unadhihirisha kuwa Uchaguzi huu washindani ni wawili ambao ni CHADEMA na CCM, hivi vyama vingine ni vyama vinasimamiwa na vinakisaidia Chama Cha Mapinduzi kutafuta uhalali"
Amer amesema kauli hiyo sio ya kiungwana, ni tata na imewachafua kwa sababu kila Chama kina haki ya kufuata Sheria na taratibu. Amemtaka kushughulika na Kamati ya Maadili kuhusu adhabu aliyopewa Tundu Lissu ya kutofanya kampeni
Ameongeza kuwa, Mbowe amewadharau na kuwavunjia heshima kwani amejiona kwamba Chama chake ndicho kina haki ya kufanya siasa nchini.
Miaka yote hii hamna hata mbunge..tuondolee utopoloKatibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia MAKINI, Ameir Hassan Ameir amemtaka mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Freeman Mbowe kuwaomba radhi baada ya kauli yake aliyoitoa mbele ya waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam ambapo alisema vyama vya siasa 12 vinafadhiliwa ili kukisaidia Chama cha Mapinduzi CCM na kutafuta maslahi kupitia jukwaa la siasa.
=======
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia Makini, Amer Hassan amemtaka Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe kuwaomba radhi kufuatia kauli aliyoitoa jana kuwa Chama hiko ni miongoni mwa vyama 12 vya upinzani vinavyofadhiliwa na CCM
Akiongea na Waandishi wa Habari, Freeman Mbowe alisema "Mwenendo wa kampeni unadhihirisha kuwa Uchaguzi huu washindani ni wawili ambao ni CHADEMA na CCM, hivi vyama vingine ni vyama vinasimamiwa na vinakisaidia Chama Cha Mapinduzi kutafuta uhalali"
Amer amesema kauli hiyo sio ya kiungwana, ni tata na imewachafua kwa sababu kila Chama kina haki ya kufuata Sheria na taratibu. Amemtaka kushughulika na Kamati ya Maadili kuhusu adhabu aliyopewa Tundu Lissu ya kutofanya kampeni
Ameongeza kuwa, Mbowe amewadharau na kuwavunjia heshima kwani amejiona kwamba Chama chake ndicho kina haki ya kufanya siasa nchini.
VIPI? CHAUMA ILIPINGA HUO UTOPOLOCHAUMA pia tuko jikoni tunaandaa tamko.
#ubwabwa kwa wote.
Unaupata wapi uhalari kwako wewe mpinzani kupiga kura tena ya siri ukiunga mkono kuadhibiwa kwa ndugu yako wa upande wako kwa manufaa ya adui yako? halafu ukiitwa mamluki unakasilika?Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia MAKINI, Ameir Hassan Ameir amemtaka mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Freeman Mbowe kuwaomba radhi baada ya kauli yake aliyoitoa mbele ya waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam ambapo alisema vyama vya siasa 12 vinafadhiliwa ili kukisaidia Chama cha Mapinduzi CCM na kutafuta maslahi kupitia jukwaa la siasa.
=======
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia Makini, Amer Hassan amemtaka Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe kuwaomba radhi kufuatia kauli aliyoitoa jana kuwa Chama hiko ni miongoni mwa vyama 12 vya upinzani vinavyofadhiliwa na CCM
Akiongea na Waandishi wa Habari, Freeman Mbowe alisema "Mwenendo wa kampeni unadhihirisha kuwa Uchaguzi huu washindani ni wawili ambao ni CHADEMA na CCM, hivi vyama vingine ni vyama vinasimamiwa na vinakisaidia Chama Cha Mapinduzi kutafuta uhalali"
Amer amesema kauli hiyo sio ya kiungwana, ni tata na imewachafua kwa sababu kila Chama kina haki ya kufuata Sheria na taratibu. Amemtaka kushughulika na Kamati ya Maadili kuhusu adhabu aliyopewa Tundu Lissu ya kutofanya kampeni
Ameongeza kuwa, Mbowe amewadharau na kuwavunjia heshima kwani amejiona kwamba Chama chake ndicho kina haki ya kufanya siasa nchini.
bila shaka alipokuwa anakunywa faru john we ndo bamedi wa zamuEti maneno ya Mbowe ni wake up call?. Labda ya kumeza faru John, na manyumbu wenzake. Hiko chama ni cha kuuzwa na watanzania wote.
CHAUMA hatuumi mtu yeyoteWE
VIPI? CHAUMA ILIPINGA HUO UTOPOLO