Mbowe ataitisha mkutano wa Baraza Kuu kusikiliza rufaa za Wabunge 19 kama Tundu Lissu alivyoahidi?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,915
141,868
Kabla Freeman Mbowe hajatoka gerezani Katibu wa Bawacha kule Mwanza kupitia Star tv alitutaarifu kuwa makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu atarejea nchini hivi karibuni.

Kwamba akiwa nchini, Tundu Lisu ataongoza mkutano wa baraza kuu utakaojadili rufaa za wabunge 6 wa viti maalumu.
Pili Tundu Lisu atafanya mikutano ya ndani nchi nzima!

Ndio nauliza, mh Mbowe basda ya kutoka mipango ya Lisu itaendelezwa?

Sabato njema!
 
Kipaumbele cha bajeti ya 2022/2023 ni: KILIMO KWANZA...

Tatizo lako unabeba mengi mno kichwani mwako mpaka unachanganyikiwa....

Sasa unaleta haya ya ndani ya nyumba ya watu, ili sisi tusemeje? Kusudi lako tumeshalujua. Ni ili utuunge kwenye tela lako la ku - spin/kujadili umbea...!!
 
Chiba hamuwezi Aikaeli, Aikaeli ni gwiji la siasa za upinzani TZ, akijaribu kupambana naye ndiyo utakuwa mwisho wake
 
Chama kina hitaji heshima, kujijenga, kusikika kwa uwakilishi thabiti mjengoni bila kusahau mapato. Ni Imani yangu Mwamba kwa haraka iwezekanavyo atatumia Upepo mzuri wa Mahusiano na SSH kuliamsha kuweka sawa.
]
 
Kabla Freeman Mbowe hajatoka gerezani Katibu wa Bawacha kule Mwanza kupitia Star tv alitutaarifu kuwa makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu atarejea nchini hivi karibuni.

Kwamba akiwa nchini, Tundu Lisu ataongoza mkutano wa baraza kuu utakaojadili rufaa za wabunge 6 wa viti maalumu.
Pili Tundu Lisu atafanya mikutano ya ndani nchi nzima!

Ndio nauliza, mh Mbowe basda ya kutoka mipango ya Lisu itaendelezwa?

Sabato njema!
Yaani kumbe Tundu alikuwa anasukumwa awe mwenyekiti wa kikao aingize washikaji wake bungeni? Sasa mwenye kiti chakevyuko huru, njoo usindikize.
 
Wengi wa COVID, ni mpango wa kando, waliwekwa Bungeni ili kupunguza kuombwa Hela za matumizi na matunzo ya watoto, Baraza Kuu haliitishwi
 
Back
Top Bottom