MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,466
- 20,211
Mbowe akiacha ukaidi anaweza kupata nafasi ya kufanya internship ya miezi 6 pale Lumumba au Dodoma .
Katika mafunzo hayo pamoja na ile kugugusana mabega na JPM, Mangula, Polepole na Bashiru kila siku kitamsaidia sana katika kujifunza njia mpya na mbinu kadhaa CCM walizozitumia kuiongeza Tanzania kwa miaka 50 ijayo.
1. Umuhimu wa uenyekiti kuachiana nafasi ,uenyekiti isiwe ajira yako ya kudumu. Tafuta kazi ya kukuingizia kipato.
2.Kuheshimu wanawake wote ndani ya ofisi ya chama. ( Maana wao ni mabinti zetu, dada zetu na mama zetu) .Tusitumie mwanya huu kuwafadhaisha nafasi zao, kuwashikashika nk.
3. Kuheshimu hela za chama. CCM upamde huu wamepiga hatua sana. Huwezi hata siku moja JPM amekikopesha chama na kukidai siku ya mwisho. Yaani huwezi kusikia Magufuli katoa mili 30 kukodi helkopta halafu mwisho wa siku unakidai chama bilioni 2.
4. Kujifunza njia nzuri kudeal na mivutano midogomidogo ya chama na sio kuchezea breki za wabunge wako au kulipa madereva wa wabunge .
Katika mafunzo hayo pamoja na ile kugugusana mabega na JPM, Mangula, Polepole na Bashiru kila siku kitamsaidia sana katika kujifunza njia mpya na mbinu kadhaa CCM walizozitumia kuiongeza Tanzania kwa miaka 50 ijayo.
1. Umuhimu wa uenyekiti kuachiana nafasi ,uenyekiti isiwe ajira yako ya kudumu. Tafuta kazi ya kukuingizia kipato.
2.Kuheshimu wanawake wote ndani ya ofisi ya chama. ( Maana wao ni mabinti zetu, dada zetu na mama zetu) .Tusitumie mwanya huu kuwafadhaisha nafasi zao, kuwashikashika nk.
3. Kuheshimu hela za chama. CCM upamde huu wamepiga hatua sana. Huwezi hata siku moja JPM amekikopesha chama na kukidai siku ya mwisho. Yaani huwezi kusikia Magufuli katoa mili 30 kukodi helkopta halafu mwisho wa siku unakidai chama bilioni 2.
4. Kujifunza njia nzuri kudeal na mivutano midogomidogo ya chama na sio kuchezea breki za wabunge wako au kulipa madereva wa wabunge .