Mbowe asingekuwa na kiburi angeomba kufanya 'internship' CCM makao makuu

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
May 25, 2015
6,466
20,211
Mbowe akiacha ukaidi anaweza kupata nafasi ya kufanya internship ya miezi 6 pale Lumumba au Dodoma .

Katika mafunzo hayo pamoja na ile kugugusana mabega na JPM, Mangula, Polepole na Bashiru kila siku kitamsaidia sana katika kujifunza njia mpya na mbinu kadhaa CCM walizozitumia kuiongeza Tanzania kwa miaka 50 ijayo.

1. Umuhimu wa uenyekiti kuachiana nafasi ,uenyekiti isiwe ajira yako ya kudumu. Tafuta kazi ya kukuingizia kipato.

2.Kuheshimu wanawake wote ndani ya ofisi ya chama. ( Maana wao ni mabinti zetu, dada zetu na mama zetu) .Tusitumie mwanya huu kuwafadhaisha nafasi zao, kuwashikashika nk.

3. Kuheshimu hela za chama. CCM upamde huu wamepiga hatua sana. Huwezi hata siku moja JPM amekikopesha chama na kukidai siku ya mwisho. Yaani huwezi kusikia Magufuli katoa mili 30 kukodi helkopta halafu mwisho wa siku unakidai chama bilioni 2.

4. Kujifunza njia nzuri kudeal na mivutano midogomidogo ya chama na sio kuchezea breki za wabunge wako au kulipa madereva wa wabunge .
 
Mkapa alisema CCM walichukua fedha za EPA . Vyama vya upinzani hawana fursa hiyo
 
Ni aibu mwenyekiti wa chama kukikopesha chama kisha kukidai kwa liba kubwa hivyo,
Mbowe kakosea sana,
Anadidimiza chama bila kujua
 
Hamna kitu hapo, uimara naumahiri wa CCM vipo wapi nje ya mamlaka ya dola???
Ule uwezo wa kuteuwa, kutenguwa, kushughulikia, kuajili, kufukuza,... wakiwa na mwavuli wa serekali, ndo nguvu/ umahiri wao ulipo. Nje ya mamlaka hayo CCM nayo ni hopeless tu.
 
Sasa hivi Jamiiforums imesimama hivi;
AKILI KUBWA 17%
UJINGA 55%
BORA LIENDE TUU 28%
Na hili kundi LA UJINGA linafanya linajuhudi kubwa maana wengi wao wako kazini kwa malipo na ndio wameiharibu JF na sio tena home of great thinkers.
 
Hivi mbona bosi yeye anasema tofauti na mavuvuzela wake?

 
Mbowe akiacha ukaidi anaweza kupata nafasi ya kufanya internship ya miezi 6 pale Lumumba au Dodoma .

Katika mafunzo hayo pamoja na ile kugugusana mabega na JPM, Mangula, Polepole na Bashiru kila siku kitamsaidia sana katika kujifunza njia mpya na mbinu kadhaa CCM walizozitumia kuiongeza Tanzania kwa miaka 50 ijayo.

1. Umuhimu wa uenyekiti kuachiana nafasi ,uenyekiti isiwe ajira yako ya kudumu. Tafuta kazi ya kukuingizia kipato.

2.Kuheshimu wanawake wote ndani ya ofisi ya chama. ( Maana wao ni mabinti zetu, dada zetu na mama zetu) .Tusitumie mwanya huu kuwafadhaisha nafasi zao, kuwashikashika nk.

3. Kuheshimu hela za chama. CCM upamde huu wamepiga hatua sana. Huwezi hata siku moja JPM amekikopesha chama na kukidai siku ya mwisho. Yaani huwezi kusikia Magufuli katoa mili 30 kukodi helkopta halafu mwisho wa siku unakidai chama bilioni 2.

4. Kujifunza njia nzuri kudeal na mivutano midogomidogo ya chama na sio kuchezea breki za wabunge wako au kulipa madereva wa wabunge .
EPA ni jibu tosha. Kama unataka nyongeza kuna deep green, merereta na nyingine. Unapoandika jifunze kuiweka akili yako kwenye ubongo ili ueleweke, usiweke sehemu ya kukalia.
 
Mbowe siyo zumbukuku
Mbowe akiacha ukaidi anaweza kupata nafasi ya kufanya internship ya miezi 6 pale Lumumba au Dodoma .

Katika mafunzo hayo pamoja na ile kugugusana mabega na JPM, Mangula, Polepole na Bashiru kila siku kitamsaidia sana katika kujifunza njia mpya na mbinu kadhaa CCM walizozitumia kuiongeza Tanzania kwa miaka 50 ijayo.

1. Umuhimu wa uenyekiti kuachiana nafasi ,uenyekiti isiwe ajira yako ya kudumu. Tafuta kazi ya kukuingizia kipato.

2.Kuheshimu wanawake wote ndani ya ofisi ya chama. ( Maana wao ni mabinti zetu, dada zetu na mama zetu) .Tusitumie mwanya huu kuwafadhaisha nafasi zao, kuwashikashika nk.

3. Kuheshimu hela za chama. CCM upamde huu wamepiga hatua sana. Huwezi hata siku moja JPM amekikopesha chama na kukidai siku ya mwisho. Yaani huwezi kusikia Magufuli katoa mili 30 kukodi helkopta halafu mwisho wa siku unakidai chama bilioni 2.

4. Kujifunza njia nzuri kudeal na mivutano midogomidogo ya chama na sio kuchezea breki za wabunge wako au kulipa madereva wa wabunge .
 
Umeonaeeeeee? Yaani hawa waganga njaa wa lumumba wanajidhalilisha sana kisa kutafuta teuzi
Hizi propaganda zingine muwe mnafikiria kuziweka front of majority, sasa hii thread gani! Mtu na akili zako unaleta kitu cha kijinga hivi! Wewe mgogo nini!
 
Inawahusu nini nyinyi wachumia tumbo wa lumumba?
Ni aibu mwenyekiti wa chama kukikopesha chama kisha kukidai kwa liba kubwa hivyo,
Mbowe kakosea sana,
Anadidimiza chama bila kujua
 
Hasa kipindi cha kuelekea uchaguzi
Sasa hivi Jamiiforums imesimama hivi;
AKILI KUBWA 17%
UJINGA 55%
BORA LIENDE TUU 28%
Na hili kundi LA UJINGA linafanya linajuhudi kubwa maana wengi wao wako kazini kwa malipo na ndio wameiharibu JF na sio tena home of great thinkers.
 
Usimlaumu sana maana hapo ndiyo akili zake zimegota
EPA ni jibu tosha. Kama unataka nyongeza kuna deep green, merereta na nyingine. Unapoandika jifunze kuiweka akili yako kwenye ubongo ili ueleweke, usiweke sehemu ya kukalia.
 
Mbowe akiacha ukaidi anaweza kupata nafasi ya kufanya internship ya miezi 6 pale Lumumba au Dodoma .

Katika mafunzo hayo pamoja na ile kugugusana mabega na JPM, Mangula, Polepole na Bashiru kila siku kitamsaidia sana katika kujifunza njia mpya na mbinu kadhaa CCM walizozitumia kuiongeza Tanzania kwa miaka 50 ijayo.

1. Umuhimu wa uenyekiti kuachiana nafasi ,uenyekiti isiwe ajira yako ya kudumu. Tafuta kazi ya kukuingizia kipato.

2.Kuheshimu wanawake wote ndani ya ofisi ya chama. ( Maana wao ni mabinti zetu, dada zetu na mama zetu) .Tusitumie mwanya huu kuwafadhaisha nafasi zao, kuwashikashika nk.

3. Kuheshimu hela za chama. CCM upamde huu wamepiga hatua sana. Huwezi hata siku moja JPM amekikopesha chama na kukidai siku ya mwisho. Yaani huwezi kusikia Magufuli katoa mili 30 kukodi helkopta halafu mwisho wa siku unakidai chama bilioni 2.

4. Kujifunza njia nzuri kudeal na mivutano midogomidogo ya chama na sio kuchezea breki za wabunge wako au kulipa madereva wa wabunge .
Huu ni ukichaaa yaani mbowe akajifunze uongoz lumumba
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom