Tuko barabaraniMlisema mtaandamana, vipi mpo wapi nije?
Tuko barabaraniMlisema mtaandamana, vipi mpo wapi nije?
Unaweza ona kwa akili mbowe alikua anaenda shindwa, wanahai walikua wanamuongelea vibaya kashindwa kaziMapema Sana OCD alisema hatoshinda
Watu wanahaki kukuongelea kwa mabaya au mazuriUnaweza ona kwa akili mbowe alikua anaenda shindwa, wanahai walikua wanamuongelea vibaya kashindwa kazi
Kwa nin mkakubali kusaini sasa?Hakuna ukweli hapa mkuu. Mawakala wote wa Chadema Jimbo zima la Hai tulitolewa nje na kutfanyiwa vitimbi wakati wa zoezi la kuhesabu kura.
Dah tumekwisha aiseeMagufuli lazima abadili katiba.
OCD ni maneno tu yale, ambayo hakutakiwa kuy5asema ila sio sababu. Sasa nyie mtajisahau na kùjiuliza mmekosea wapi na mtajikita na hayo maneno. Ukweli ni kua wanahai walimchoka mbowe hata ktk mikutano yake walihoji maswali magumu kwa mbowe.Watu wanahaki kukuongelea kwa mabaya au mazuri
Jambo linaloleta ukakasi ni ocd kutamka waziwazi hawezi kushinda uchaguzi
Swali zuriKwa nin mkakubali kusaini sasa?
Siasa za Tz ni majitakaOCD ni maneno tu yale, ambayo hakutakiwa kuy5asema ila sio sababu. Sasa nyie mtajisahau na kùjiuliza mmekosea wapi na mtajikita na hayo maneno. Ukweli ni kua wanahai walimchoka mbowe hata ktk mikutano yake walihoji maswali magumu kwa mbowe.
Na kauli ya kauli za jpm na majaliwa pale hai za tunataka connection, mnajichelewesha wenyewe yaļikua ni chachu.
DhuuuHakuna ukweli hapa mkuu. Mawakala wote wa Chadema Jimbo zima la Hai tulitolewa nje na kutfanyiwa vitimbi wakati wa zoezi la kuhesabu kura.
Alipita kila kituo?Sabaya aliwafurusha kwa mtutu fatilia
Bado nipo na uharo wa Erythrocyte ati Tundu lissu kaifuta CCM. Nyie na huyo Tundu Lissu ni vichelema katika Siasa za Tanzania. Halafu ndugu yangu barafu badilikaHuko mbeya mjini sugu chali kapata kura elfu 37591 na kwansasu kura elfu sabini na ushehe
Sababu ndie aliesindikiza boxes za kura hewa labdaMapema Sana OCD alisema hatoshinda
Nakatafuta kajamaa kanaitwa ka Lord dening, bila shaka katakuwa road kamekinukisha muda huuMlisema mtaandamana, vipi mpo wapi nije?