Mbowe apanga kujiendeleza kielimu.

Status
Not open for further replies.

HAMY-D

JF-Expert Member
Sep 18, 2011
7,149
3,817
Bwana Mbowe (kamanda wa anga) nae ana mpango wa kwenda shule ili ajiendeleze kwani amekuwa akidhalilishwa sana na watu hasa wana-CCM kuhusu ufaulu wake wa daraja sifuri (0).

Maamuzi haya magumu yamefikiwa na bwana Mbowe kutokana na hali ya fedheha hiyo ambayo amekuwa akiivumilia kwa muda mrefu sana, lakini pia hata ndani ya chama anacho kiongoza kumekuwa kuna minong'ono kama vile;

"akili ndogo kuongoza akili kubwa", "kipofu kuongoza njia wenye macho", "bwana zero", "ubaba mkwe dawa" n.k

Hivi vijembe vimekuwa vikitolewa nyakati tofauti tofauti ndani na hata nje ya chama chake, hali inayo mpelekea kukosa raha na kuona kama astahili kuwa mwenyekiti wa CHADEMA.

My take;

Ni mawazo na maamuzi mazuri sana bwana Mbowe, kwani kuna msemo usemao, "elimu haina mwisho", lakini pia kuna msemo usemao "ujinga haujifichi kwenye umri", misemo hii inaweza ikakutia moyo na kukupa zaidi nia na ghadhabu ya kwenda shule, kusoma kwa bidii na kuweza kuondoa ujinga.

Hongera sana bwana Mbowe.
 
What???

Mbowe? shule? mmmh, bora angeenda kujiendeleza Sugu maana alikuwa ana akili ila uhuni wa Hip Hop ndio ulimkimbiza shule.

Ila mr Zero hapa yeye alikuwa ana kila facilities za kumfanya afaulu, ila at the end, ndio hivyo tena kapata zero.
 
Pia amshauri na Mnyika arudi darasani akamalizie masomo.
 
Kwa kazi aliyoifanya inafaa awe doctor Mbowe.. Hivi kuitetemesha ccm yenye manguli wa kila aina mnadhani ni jambo la mchezo! Kusoma siyo credit ya kuongoza, hivi Kawawa alikuwa na elimu gani vile? Mrema nae ana elimu gani?.. Heri yeye alie na elimu ya kidato cha 6 kuliko hao mafisadi waliosomeshwa bure na serikali wakageuka manguli wa kufilisi nchi, mtasema sana lakini MBOWE NI ZAIDI YA PROFESA..
Bwana Mbowe (kamanda wa anga) nae ana mpango wa kwenda shule ili ajiendeleze kwani amekuwa akidhalilishwa sana na watu hasa wana-CCM kuhusu ufaulu wake wa daraja sifuri (0).

Maamuzi haya magumu yamefikiwa na bwana Mbowe kutokana na hali ya fedheha hiyo ambayo amekuwa akiivumilia kwa muda mrefu sana, lakini pia hata ndani ya chama anacho kiongoza kumekuwa kuna minong'ono kama vile;

"akili ndogo kuongoza akili kubwa", "kipofu kuongoza njia wenye macho", "bwana zero", "ubaba mkwe dawa" n.k

Hivi vijembe vimekuwa vikitolewa nyakati tofauti tofauti ndani na hata nje ya chama chake, hali inayo mpelekea kukosa raha na kuona kama astahili kuwa mwenyekiti wa CHADEMA.

My take;

Ni mawazo na maamuzi mazuri sana bwana Mbowe, kwani kuna msemo usemao, "elimu haina mwisho", lakini pia kuna msemo usemao "ujinga haujifichi kwenye umri", misemo hii inaweza ikakutia moyo na kukupa zaidi nia na ghadhabu ya kwenda shule, kusoma kwa bidii na kuweza kuondoa ujinga.

Hongera sana bwana Mbowe.
 
Acheni majungu! Hivi unaweza kupata 0 halafu ukafanya kazi BoT?Kwa taarifa yenu, mwasisi wa mageuzi nchini ana degree ya political science toka uholanzi! Nyambaf kabisa!
Kwa kazi aliyoifanya inafaa awe doctor Mbowe.. Hivi kuitetemesha ccm yenye manguli wa kila aina mnadhani ni jambo la mchezo! Kusoma siyo credit ya kuongoza, hivi Kawawa alikuwa na elimu gani vile? Mrema nae ana elimu gani?.. Heri yeye alie na elimu ya kidato cha 6 kuliko hao mafisadi waliosomeshwa bure na serikali wakageuka manguli wa kufilisi nchi, mtasema sana lakini MBOWE NI ZAIDI YA PROFESA..
 
Hapo ndipo siasa inapokuwa kama ni mchezo wa kila mtu. Kama hata bila elimu ya juu unaweza ukawaongoza watu na akili zaoa na wakati mwingine kuwakosesha hata usingingizi kama huyu mheshimiwa!
 
Kwa kazi aliyoifanya inafaa awe doctor Mbowe.. Hivi kuitetemesha ccm yenye manguli wa kila aina mnadhani ni jambo la mchezo! Kusoma siyo credit ya kuongoza, hivi Kawawa alikuwa na elimu gani vile? Mrema nae ana elimu gani?.. Heri yeye alie na elimu ya kidato cha 6 kuliko hao mafisadi waliosomeshwa bure na serikali wakageuka manguli wa kufilisi nchi, mtasema sana lakini MBOWE NI ZAIDI YA PROFESA..

Mwanzoni mwa hoja yako ulianza vizuri sana,lakini kusema Mbowe ni zaidi ya Prof, hapa umenifanya niwe na mashaka na ubongo wako.

Usiwe kama msukule wa Mbowe mkuu, mpaka yeye mwenyewe ameona umuhimu wa kusoma ujue kweli elimu ameithamini.
 
Hao wenye elimu sisizo na mashaka wamesaidia nini hii nchi zaidi ya ufisadi? Hivi unajua chadema hakuna mbunge mweye elimu ya darasa la 7! Lakini ccm wako wengi sana, Maji marefu,kessy,Airo,Lusinde,wako zaidi ya 60! Sasa hivi Mulugo ana elimu gani? Na Lukuvi nae? Majaaliwa nae?makamba je?acha kubwabwaja..
HIVI KWANINI CHADEMA wanapenda viongozi wenye elimu duni au za MASHAKA?
 
Bwana Mbowe (kamanda wa anga) nae ana mpango wa kwenda shule ili ajiendeleze kwani amekuwa akidhalilishwa sana na watu hasa wana-CCM kuhusu ufaulu wake wa daraja sifuri (0).

Maamuzi haya magumu yamefikiwa na bwana Mbowe kutokana na hali ya fedheha hiyo ambayo amekuwa akiivumilia kwa muda mrefu sana, lakini pia hata ndani ya chama anacho kiongoza kumekuwa kuna minong'ono kama vile;

"akili ndogo kuongoza akili kubwa", "kipofu kuongoza njia wenye macho", "bwana zero", "ubaba mkwe dawa" n.k

Hivi vijembe vimekuwa vikitolewa nyakati tofauti tofauti ndani na hata nje ya chama chake, hali inayo mpelekea kukosa raha na kuona kama astahili kuwa mwenyekiti wa CHADEMA.

My take;

Ni mawazo na maamuzi mazuri sana bwana Mbowe, kwani kuna msemo usemao, "elimu haina mwisho", lakini pia kuna msemo usemao "ujinga haujifichi kwenye umri", misemo hii inaweza ikakutia moyo na kukupa zaidi nia na ghadhabu ya kwenda shule, kusoma kwa bidii na kuweza kuondoa ujinga.

Hongera sana bwana Mbowe.
Join Date : 15th March 2013 -
hump.gif
 
Acheni majungu! Hivi unaweza kupata 0 halafu ukafanya kazi BoT?Kwa taarifa yenu, mwasisi wa mageuzi nchini ana degree ya political science toka uholanzi! Nyambaf kabisa!

Acha kutoka povu, ni nani huyo muasisi wa mageuzi?

Kuhusu kufanya kazi benki kuu, sio tu mpaka mtu apate zero, hata kama hujasoma kabisa unaweza kufanya kazi BOT.

Hujui kama mzee Mtei alikuwa gavana wa benki kuu? ambae ndiye baba mkwe wa Mbowe, ukijumlisha na tabia ya uchaga ya kubebana makazini, nadhani umepata jibu Mbowe aliingiaje BOT.
 
Kwa kazi aliyoifanya inafaa awe doctor Mbowe.. Hivi kuitetemesha ccm yenye manguli wa kila aina mnadhani ni jambo la mchezo! Kusoma siyo credit ya kuongoza, hivi Kawawa alikuwa na elimu gani vile? Mrema nae ana elimu gani?.. Heri yeye alie na elimu ya kidato cha 6 kuliko hao mafisadi waliosomeshwa bure na serikali wakageuka manguli wa kufilisi nchi, mtasema sana lakini MBOWE NI ZAIDI YA PROFESA..

Hivi ni kwa nini likizuka suala la elimu kwa wana CHADEMA huwa mnapotezea kwa kisingizio cha uwezo wa mtu kuongoza hauhitaji elimu? Mbona kina fulani wa CCM huwa ikitokea elimu yake ni ndogo (yaani diploma ama ka digrii kalikopatikana kwa kuungaunga) huwa mnapiga kelele sana? Hivi ka digrii ka kuunga na division zero ya form six ipi ni kubwa?
Tunamjadili Mbowe wewe unarukia Kawawa!!!! Kwani elimu ya Kawawa na Mbowe iko sawa? Kawawa alifaulu bwana.....lakini mbowe alipata zero.........Usilinganishe kitu kisichokuwapo (non-existence) na kitu kilichopo. Hutafanya ulinganifu ulio sawa wewe......
Eti mbowe ni profesa......Profesa wa nini? Ujinga????!!!! au kutetemesha CCM? Mbona hata baridi inatetemesha mpaka maprofesa na marais ina maana na yenyewe ni profesa ama nayo ni rais???? Off point kabisa......Mapenzi mengine bwana.....
Halafu wewe acha kushabikia CHADEMA!!!!! Ni chama geresha tu ili Tanzania ionekane ina vyama vya upinzani tofautitofauti vyenye nguvu baada ya CUF....Lakini kuja kushika dola hilo labda Yesu arudi halafu afikie mlima Kilimanjaro!!!!!!!
Chama kitakachokuja kushinda uchaguzi wa rais si CHADEMA wala chama chochote bali ni chama ambacho hakijazaliwa kabisa mpaka muda huu. Mwisho utafikia umri wa kustaafu tu lakini hutakuja kushuhudia CHADEMA inashinda uchaguzi....Pole sana, maana hata majimbo yanayoshikiliwa na chama hiki mwaka 2015 yatapungua na si kuongezeka kama ngonjera za kwenye mitandao mnazojaribu kuimba....
 
Sema hana vyeti na sio maarifa ambayo wengi wameyatafuta hata kwa phd lakini hawajafikia maarifa aliyotapata mzee wa anga kwa kujishughlisha mitaani. Hata billgate hana vyeti.
 
Elimu ya mbowe ni ndogo sawa.. Lakini kumbuka elimu n kipaji ni vitu viwili tofauti.. Mbowe ana kipaji cha kiongozi..ana uzoefu kwenye siasa, angekuwa hafai asingeweza kuwaongoza watu kama akina Profesa Baregu profesa Abdallah Safari, profesa kalikayela kahigi, doctor Gervas mbassa,dk Kitila mkumbo, wakili Tundu lissu,dk slaa, Zitto,Wakili Mustapha Akunay,mwalimu wa chuo kikuu Suzan Lyimo,Ezekiel Wenje,Leticia Nyerere, kijanamsomi Joshua Nassar, kijanaa mwingine David silinde msomi wa chuo kikuu..peter msigwa, Mteiolojia Israel natse.. Ni wengi sana... Mbowe ni zaidi ya Professor!
Mwanzoni mwa hoja yako ulianza vizuri sana,lakini kusema Mbowe ni zaidi ya Prof, hapa umenifanya niwe na mashaka na ubongo wako.

Usiwe kama msukule wa Mbowe mkuu, mpaka yeye mwenyewe ameona umuhimu wa kusoma ujue kweli elimu ameithamini.
 
Wahenga walisema elimu haina mwisho.

Kitu cha maana ni pale unapojitambua kama una upungufu katika eneo fulani katika maisha yako na kuamua kulitatua.

Mh. Mbowe amegundua huu upungufu na ameamua kuchukua hatua kuuondoa.

Mh. Mbowe anastahili PONGEZI kwa kuchukua maamuzi magumu kimaisha na kisiasa lakini yenye neema kwake na kwa watu wanaomuweka katika kundi la ROLE MODEL.

He's getting ready for political inevitable to happen. Who knows, labda CDM inaweza kupewa nchi na wananchi wakati bado akiwa energetic na kushika moja ya nafasi katika hiyo serikali.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom