Mbowe angefungwa zamani sasa hivi Upinzani Ungekuwa Umeshakufa. Na hii ndio namna Bora ya kutumia Akili kuzuia Jambo kuliko nguvu

Kama Mbowe angekuwa nje huo Moto wa Katiba Ungekuwa mkubwa sana na sijui nani angeuzima.

Mbowe ndie kiongozi pekee anayeweza kuubeba upinzani. Kwanza anabusara, Anaweza kuvumilia wanachama wake wanaokosea. Alishamtetea Zitto Mara kaadhaa.

Kuongoza upinzani Afrika na ukasimama nI zaidi ya kuwa Raisi. Unaongoza wasaliti, Viburi na wakosoaji haswa. Ukiteleza kidogo wanakumwaga. Muulize mrema, Jemsi Mapalala, Sheif Sharif au Mabele Malando. Utawala uliopita ulikosea kutaka kuufuta upinzani wakati kiongozi wao yupo nje.

Hii NI hatua muhimu.5
Kinachotushangaz ni kwamba CCm wapo wenyewe bungen, madiwani wote nchi nzima ni ccm na wenyevit wote wa mitaa/ vijiji ni ccm lkn wanamuogopa mbowe na chadema kukilo kitu chochote na wakisikia tunadai katiba mpya wanachanganyikiwa ukweli ccm ilishakufa zaman kimebaki tu kikundi fulani cha watu wanalinda maslai yao binafsi kutumia plc
 
Kama Mbowe angekuwa nje huo Moto wa Katiba Ungekuwa mkubwa sana na sijui nani angeuzima.

Mbowe ndie kiongozi pekee anayeweza kuubeba upinzani. Kwanza anabusara, Anaweza kuvumilia wanachama wake wanaokosea. Alishamtetea Zitto Mara kaadhaa.

Kuongoza upinzani Afrika na ukasimama nI zaidi ya kuwa Raisi. Unaongoza wasaliti, Viburi na wakosoaji haswa. Ukiteleza kidogo wanakumwaga. Muulize mrema, Jemsi Mapalala, Sheif Sharif au Mabele Malando. Utawala uliopita ulikosea kutaka kuufuta upinzani wakati kiongozi wao yupo nje.

Hii NI hatua muhimu.5
Tatizo ulishalibainisha kuwa ndie kiongozi pekee hivyo wengine ni lapulapu tu, tulia usijijaze gesi.
 
Mbowe atafungwa na upinzani utaendelea kuwepo.

Walikuwepo kina:
Masumbuko Lamwai
Mabere Marando
Bob Makani Dr. Silaa
Warid Kabourou
Waitara
Silinde
Lijuakali
Lwakatare
N.k
Wote hawa hawapo na upinzani upo.

Upinzani upo kwenye mioyo ya watu.

Wakati wa kampeni Tundu Lisu alienda Chato na akapokelewa kwa kishindo. Magufuli hakuamini macho na masikio yake!
Mku hawa wote walisajiliwa na nini na kufika hapo walipo mpaka ukawataja humu..
Pia kumbuka mm mwanaccm halisi.
Mwenye uwezo apewe uwezo wake kwani Mbowe ni zaidi ya kiongozi
 
Wewe katekeleze msemo wa aliekua Dc wa Iringa then njoo tena, yani KWa fikra zako Mbowe akifungwa na upinzani unakufa?

Sikia Chadema imepika watu na ina watu na ipo Sana kuliko jana, nyakati hazipo upande wa CCM Hata mkimfunga
Mm ni ccm ila mtu kama John Heche mmoja mtu ambaye anastahili
 
Kwa tafsili hii kusitegemee Mbowe kuachiwa ivi karibuni na hii itakuwa ndo mipango ya kuudhohofisha upinzani hapa nchini.....🤔

Siamini ila ngoja tuone maana siasa ni mchezo mchafu.
Alishindwa jiwe wataweza wao.
Unawabomolea machinga then unawalazimisha wakupende
 
Kama Mbowe angekuwa nje huo Moto wa Katiba Ungekuwa mkubwa sana na sijui nani angeuzima.

Mbowe ndie kiongozi pekee anayeweza kuubeba upinzani. Kwanza anabusara, Anaweza kuvumilia wanachama wake wanaokosea. Alishamtetea Zitto Mara kaadhaa.

Kuongoza upinzani Afrika na ukasimama nI zaidi ya kuwa Raisi. Unaongoza wasaliti, Viburi na wakosoaji haswa. Ukiteleza kidogo wanakumwaga. Muulize mrema, Jemsi Mapalala, Sheif Sharif au Mabele Malando. Utawala uliopita ulikosea kutaka kuufuta upinzani wakati kiongozi wao yupo nje.

Hii ni hatua muhimu.
Walikuwepo kina Kambona, Mtemvu tangu miaka ya sitini huko baada ya uhuru walikuwepo kina Kassanga Tumbo, wakaja kina Fundikira leo hii hawapo upinzani upo na utakuwepo hata CCM ikiondoka madarakani CHADEMA ikaongoza nchi bado wapinzani watakuwepo tu
 
Walikuwepo kina Kambona, Mtemvu tangu miaka ya sitini huko baada ya uhuru walikuwepo kina Kassanga Tumbo, wakaja kina Fundikira leo hii hawapo upinzani upo na utakuwepo hata CCM ikiondoka madarakani CHADEMA ikaongoza nchi bado wapinzani watakuwepo tu
Ambae hatakuelewa ni kichaa tu
 
Kwa tafsili hii kusitegemee Mbowe kuachiwa ivi karibuni na hii itakuwa ndo mipango ya kuudhohofisha upinzani hapa nchini.....🤔

Siamini ila ngoja tuone maana siasa ni mchezo mchafu.
Tulichelewa kujua uzuzu yaani upinzani ufe kwasababu ya mbowe?!
 
😁😁😁
AIgmal.jpg
 
Back
Top Bottom