Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 6,860
- 12,291
Mzee wa urojo yule hajazoea misuko suko yoyote.Mwalimu mwenyewe kaishasanda, wanaopatanisha Bei wamekamilisha Kazi zamani uongozi upinzani NI kipaji. Yuko wapi Julius Mtatiro
Mzee wa urojo yule hajazoea misuko suko yoyote.Mwalimu mwenyewe kaishasanda, wanaopatanisha Bei wamekamilisha Kazi zamani uongozi upinzani NI kipaji. Yuko wapi Julius Mtatiro
Kinachotushangaz ni kwamba CCm wapo wenyewe bungen, madiwani wote nchi nzima ni ccm na wenyevit wote wa mitaa/ vijiji ni ccm lkn wanamuogopa mbowe na chadema kukilo kitu chochote na wakisikia tunadai katiba mpya wanachanganyikiwa ukweli ccm ilishakufa zaman kimebaki tu kikundi fulani cha watu wanalinda maslai yao binafsi kutumia plcKama Mbowe angekuwa nje huo Moto wa Katiba Ungekuwa mkubwa sana na sijui nani angeuzima.
Mbowe ndie kiongozi pekee anayeweza kuubeba upinzani. Kwanza anabusara, Anaweza kuvumilia wanachama wake wanaokosea. Alishamtetea Zitto Mara kaadhaa.
Kuongoza upinzani Afrika na ukasimama nI zaidi ya kuwa Raisi. Unaongoza wasaliti, Viburi na wakosoaji haswa. Ukiteleza kidogo wanakumwaga. Muulize mrema, Jemsi Mapalala, Sheif Sharif au Mabele Malando. Utawala uliopita ulikosea kutaka kuufuta upinzani wakati kiongozi wao yupo nje.
Hii NI hatua muhimu.5
Tatizo ulishalibainisha kuwa ndie kiongozi pekee hivyo wengine ni lapulapu tu, tulia usijijaze gesi.Kama Mbowe angekuwa nje huo Moto wa Katiba Ungekuwa mkubwa sana na sijui nani angeuzima.
Mbowe ndie kiongozi pekee anayeweza kuubeba upinzani. Kwanza anabusara, Anaweza kuvumilia wanachama wake wanaokosea. Alishamtetea Zitto Mara kaadhaa.
Kuongoza upinzani Afrika na ukasimama nI zaidi ya kuwa Raisi. Unaongoza wasaliti, Viburi na wakosoaji haswa. Ukiteleza kidogo wanakumwaga. Muulize mrema, Jemsi Mapalala, Sheif Sharif au Mabele Malando. Utawala uliopita ulikosea kutaka kuufuta upinzani wakati kiongozi wao yupo nje.
Hii NI hatua muhimu.5
Mku hawa wote walisajiliwa na nini na kufika hapo walipo mpaka ukawataja humu..Mbowe atafungwa na upinzani utaendelea kuwepo.
Walikuwepo kina:
Masumbuko Lamwai
Mabere Marando
Bob Makani Dr. Silaa
Warid Kabourou
Waitara
Silinde
Lijuakali
Lwakatare
N.k
Wote hawa hawapo na upinzani upo.
Upinzani upo kwenye mioyo ya watu.
Wakati wa kampeni Tundu Lisu alienda Chato na akapokelewa kwa kishindo. Magufuli hakuamini macho na masikio yake!
Mku sio nyuma kwani Mbowe aliwaona akawandaa kwa Mbowe ni zaidiNa ujue tu bila Mbowe sasaivi UPINZANI ungashaisha. Wote uliowataja walizimwa Kama taa ya umeme ndo. Ila Mbowe kaanzia nyuma Hadi Leo yupo juu
Mm ni ccm ila mtu kama John Heche mmoja mtu ambaye anastahiliWewe katekeleze msemo wa aliekua Dc wa Iringa then njoo tena, yani KWa fikra zako Mbowe akifungwa na upinzani unakufa?
Sikia Chadema imepika watu na ina watu na ipo Sana kuliko jana, nyakati hazipo upande wa CCM Hata mkimfunga
Alishindwa jiwe wataweza wao.Kwa tafsili hii kusitegemee Mbowe kuachiwa ivi karibuni na hii itakuwa ndo mipango ya kuudhohofisha upinzani hapa nchini.....🤔
Siamini ila ngoja tuone maana siasa ni mchezo mchafu.
Nafikili Mambo ya CHADEMA tuachie sie , tunajua Cha kufanya KILA wakati, ccm mtatapika dam mwaka huuMm ni ccm ila mtu kama John Heche mmoja mtu ambaye anastahili
Walikuwepo kina Kambona, Mtemvu tangu miaka ya sitini huko baada ya uhuru walikuwepo kina Kassanga Tumbo, wakaja kina Fundikira leo hii hawapo upinzani upo na utakuwepo hata CCM ikiondoka madarakani CHADEMA ikaongoza nchi bado wapinzani watakuwepo tuKama Mbowe angekuwa nje huo Moto wa Katiba Ungekuwa mkubwa sana na sijui nani angeuzima.
Mbowe ndie kiongozi pekee anayeweza kuubeba upinzani. Kwanza anabusara, Anaweza kuvumilia wanachama wake wanaokosea. Alishamtetea Zitto Mara kaadhaa.
Kuongoza upinzani Afrika na ukasimama nI zaidi ya kuwa Raisi. Unaongoza wasaliti, Viburi na wakosoaji haswa. Ukiteleza kidogo wanakumwaga. Muulize mrema, Jemsi Mapalala, Sheif Sharif au Mabele Malando. Utawala uliopita ulikosea kutaka kuufuta upinzani wakati kiongozi wao yupo nje.
Hii ni hatua muhimu.
Ambae hatakuelewa ni kichaa tuWalikuwepo kina Kambona, Mtemvu tangu miaka ya sitini huko baada ya uhuru walikuwepo kina Kassanga Tumbo, wakaja kina Fundikira leo hii hawapo upinzani upo na utakuwepo hata CCM ikiondoka madarakani CHADEMA ikaongoza nchi bado wapinzani watakuwepo tu
Tulichelewa kujua uzuzu yaani upinzani ufe kwasababu ya mbowe?!Kwa tafsili hii kusitegemee Mbowe kuachiwa ivi karibuni na hii itakuwa ndo mipango ya kuudhohofisha upinzani hapa nchini.....🤔
Siamini ila ngoja tuone maana siasa ni mchezo mchafu.