Abunwasi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 5,486
- 3,468
Rais wetu ni egoistic, Mheshimiwa Mbowe naye unamuweka wapi????CalvinKimaro,
tunachojua ni kuwa Mbowe alimwelekeza rais afanye maridhiano na kambi ya upinzani na rais akatii bila ajizi.
tunajua Rais wetu ni egoistic, so hataki kuonekana amemtii Mbowe mbele ya mamilioni ya Watanzania tuliosikiliza ile speech ya Mbowe.
ndiyo maana rais ame mute mwaliko kwa Mbowe ambaye naye katoa condition kuwa hata akialikwa basi ni lazima aende na jopo lake lote la magwanda.
no drama!
'Double Standard'