MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,259
Sheria za kijinga kama hizi ndio tegemeo la magamba , hata hivyo tutapambana hadi tone la mwisho .
Hakuna Sheria ya Kijinga, Au Inakuwa ya Kijinga pale inapogusa eneo usilolitaka!
Sheria za kijinga kama hizi ndio tegemeo la magamba , hata hivyo tutapambana hadi tone la mwisho .
chadema baada ya kupoteza umaarufu na kujificha nyuma ya ukawa sasa imepata pigo wagombea wake wengi serikali za mitaa hawana sifa na wengi wamewekewa pingamizi . mitaa mingi ccm imepita bila kupingwa.
huwezi kuwa na chama ambacho kwenye mitaa na vijiji hakipo.
believe me 2015 litakua pigo na aibu kubwa ya karne kwa kupoteza wabunge wengi.
:msela::msela::msela:
.... Sijaelewa
So what?
Chadema wapo JF tu, mitaani huko patupu.
without zzk chadema is over.
CHADEMA baada ya kupoteza umaarufu na kujificha nyuma ya ukawa sasa imepata pigo wagombea wake wengi serikali za mitaa hawana sifa na wengi wamewekewa pingamizi . mitaa mingi ccm imepita bila kupingwa.
Huwezi kuwa na chama ambacho kwenye mitaa na vijiji hakipo.believe me 2015 litakua pigo na aibu kubwa ya karne kwa kupoteza wabunge wengi.