johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,897
- 141,832
Ndani ya CHADEMA, Mbowe wanamwita " MWAMBA" na ni mwamba kweli kweli kama Petro.
Hakuna jambo lililetwa na Mbowe au liliamuliwa awali na Mbowe kamati kuu ya CHADEMA ikagoma kulibariki.
Hata kesho tarehe 27/11/2020 siku ya Ijumaa saa 3.00 asubuhi Halima James Mdee akiithibitishia kamati kuu kwamba uteuzi wao una baraka za mwenyekiti Mwamba Mbowe, kamati kuu itaunga mkono baraka za mwenyekiti Mbowe na wabunge wote wa viti maalumu wataendelea na shughuli za bunge.
Mzee Shibuda alikuwa mbunge kupitia CHADEMA huku akiitumikia CCM lakini CHADEMA hawakuwahi kumfukuza hadi alipoondoka yeye mwenyewe.
Cecil Mwambe na David Silinde kadhalika.
Siasa ni sayansi, mwamba Mbowe pale CHADEMA ni kama MO Dewji pale Simba yaani ni zaidi ya kamati kuu.
Maendeleo hayana vyama
Hakuna jambo lililetwa na Mbowe au liliamuliwa awali na Mbowe kamati kuu ya CHADEMA ikagoma kulibariki.
Hata kesho tarehe 27/11/2020 siku ya Ijumaa saa 3.00 asubuhi Halima James Mdee akiithibitishia kamati kuu kwamba uteuzi wao una baraka za mwenyekiti Mwamba Mbowe, kamati kuu itaunga mkono baraka za mwenyekiti Mbowe na wabunge wote wa viti maalumu wataendelea na shughuli za bunge.
Mzee Shibuda alikuwa mbunge kupitia CHADEMA huku akiitumikia CCM lakini CHADEMA hawakuwahi kumfukuza hadi alipoondoka yeye mwenyewe.
Cecil Mwambe na David Silinde kadhalika.
Siasa ni sayansi, mwamba Mbowe pale CHADEMA ni kama MO Dewji pale Simba yaani ni zaidi ya kamati kuu.
Maendeleo hayana vyama