johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,839
- 141,756
Nimetoka kusikiliza hotuba mbalimbali za baba wa taifa Mwalimu Nyerere kwa namna alivyoiunganisha Tanzania.
Pia nimeona humu Jf makamanda wakidai Freeman Mbowe ndiye Mandela wa Tanzania na kwamba akitoka gerezani watamchagua kuwa Rais kunako 2030.
Ndio najiuliza kuna tofauti yoyote kati ya Kanda ya Kaskazini na ile kanda ya ziwa katika kubebana?
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Pia nimeona humu Jf makamanda wakidai Freeman Mbowe ndiye Mandela wa Tanzania na kwamba akitoka gerezani watamchagua kuwa Rais kunako 2030.
Ndio najiuliza kuna tofauti yoyote kati ya Kanda ya Kaskazini na ile kanda ya ziwa katika kubebana?
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!